Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😹😹 ila nkamu umenishinda🤣🤣🤣Tulia wewe,nimetaka kuipumzisha kidogo I'd🥴
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹 ila nkamu umenishinda🤣🤣🤣Tulia wewe,nimetaka kuipumzisha kidogo I'd🥴
🤣🤣🤣 Nitarudi bhanaðŸ¤ðŸ˜¹ðŸ˜¹ ila nkamu umenishinda
Na mimi nimzabe km haliumi 😹Kofi la mpenzi haliumizi
Mwee hapo inatakiwa namba 5 tuu hizo zingine bado unaonyesha udhaifu mkubwa....sasa zawadi ya nini tena wakati kibamia tayati zawadi toshaSisi wanaume wa Kanda ya ziwa ni kosa la jinai kutamka samahani mbele ya mkeo au watoto hata ukosee vipi na kosa liwe wazi
Tunaamini kulitamka hilo neno ni udhaifu Kwa mwanaume
Huwa tunaomba msamaha Kwa vitendo sio Kwa kusema na mwanamke ataelewa kabisa kwamba Kwa matendo haya naombwa msamaha
Kwa mfano unaweza kujichanganya ukamzaba Kibao na kumuumiza mkeo na kweli ukagundua hili ni kosa
Kwetu Kanda ya ziwa wanaume Huwa tunaomba hivi msamaha bila kutamka neno nisamehe
1. Kumnunulia zawadi labda nguo mpya, simu n.k
Hapa mwanamke atagundua mume wake anamwomba msamaha hatahitaji atamke samahani.
2. Kuwahi kurudi nyumbani
Kama ulikuwa unamkwaza kurudi usiku, Sasa badala ya kumkosea Sasa utatumia week ya kumjali na kufika nyumbani saa 11 jioni
3. Kuongeza Kwa upole
4. Kuleta mboga ya maana
5 kupiga show ya maana kila usiku
Kama ulikuwa hujikamui ndo baada ya. Kugundua umemkosea Sasa jitahidi upige moto wa kugombea radhi
NB: hapa ni Mila zetu watu wa Kanda ya ziwa, ambao hatutamki samahani labda wakuuwe
Vipi wewe binafsi Huwa unatumia mbinu Gani kuomba samahani Kwa mwenza wako