Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,517
- 1,044
Kabisa Mkuu huwa nautizima siumalizi...Huo mswaki ni noma sana.
Nimeshatumia miswaki mingine hapa katikati nikiwa na safiri ila haijadumu kabisa...
Sasahiv ata nikisafiri naondoka na mswaki wangu...