Huwenda Chadema ndicho Chama kilichokataliwa na Baba wa Taifa kushika hatamu kama ilivyokuwa kwa Lowasa?

Huwenda Chadema ndicho Chama kilichokataliwa na Baba wa Taifa kushika hatamu kama ilivyokuwa kwa Lowasa?

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
 
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
Ifike hatua tusimpe uungu mtu huyu baba yako wataifa.
 
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
Kama kuna kitu ccm kitaendelea kuwatesa ni hicho chama cha cdm. Ccm inalazimisha kuishinda cdm kwa hila, lakini bado haipati amani, maana inajua fika cdm ni chama kinachopendwa sana na wananchi, na hakuna namna ya kushindana nacho zaidi ya hujuma. Ukweli uko hivi, ccm sio chama cha kizazi hiki, hata ishinde kwa hila vipi, bado haiwezi kukubalika na umma.
 
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
Kwa taarifa yako, Nyerere alisifu sana sera za CHADEMA.
 
CHADEMA ndo chama pekee cha upinzani ambacho mwalimu Nyerere alikikubali.Alisema ndio Chama pekee chenye Sera .Pitieni hotuba za Nyerere,Technology haifichi kitu
Na huku kunyanyaswa sana kunatoka wapi mkuu au kuna nini ndani yake
 
Kama kuna kitu ccm kitaendelea kuwatesa ni hicho chama cha cdm. Ccm inalazimisha kuishinda cdm kwa hila, lakini bado haipati amani, maana inajua fika cdm ni chama kinachopendwa sana na wananchi, na hakuna namna ya kushindana nacho zaidi ya hujuma. Ukweli uko hivi, ccm sio chama cha kizazi hiki, hata ishinde kwa hila vipi, bado haiwezi kukubalika na umma.
True
 
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
wakati wa uhai wake baba wa taifa? Chadema ilikuwepo?
 
Jibu swali lililopo mezani,
Ndiyo ilikuwepo.

Na wakati nchi nzima mwaka 1995 wakiamini kuwa NCCR itakuwa chama kikubwa baada ya CCM. Mwalimu Nyerere kwa uhakika kabisa alisema CHADEMA ndicho kitakuja kuwa chama kikubwa mbele ya safari (Sasa?)
 
HUYO BABA YAKO WA TAIFA SIO MUNGU WALA MALAIKA NI BINADAMU KAMA WEW KAMA ALIKIKATAA NI MAWAZO YAKE YEYE. WA TZ WENG TUNAAKIR FUP KAMA WEW TUMEZEDIWA NA KENYA WANAJITAMBUA WANAFAHAMU HAK ZAO AWAVIABUDU VYAMA VYA SIASA
 
Chadema ndicho chama Kikuu cha upinzani Tanzania licha ya misukosuko mingi inayopitia, hiki ndicho nafahamu na jambo hili liko wazi!

Nimetafakari nikawaza na kuwazua mengi sana, na tafakari yangu ikanipa kuwaza hiki ninachouliza sasa

Chadema kimepitia na kinaendelea kupitia kwenye wakati mgumu sana kiasi cha mtu yeyote kuanza kufikiri nje ya box

Viongozi na wanachama wengi wa chama hiki, wameonja joto ya jiwe, Je,hii yote ni kukifanya chama hiko, watu waogope kukiunga mkono na kwamba huwenda kuna agenda ya siri isiyofahamika kwa wengi kwamba, chama hiko kuundwa kwake ndani yake kuna siri, na hiyo siri inafanya kiwekewe mizengwe ili kisiweko ndoto yoyote itakayokifanya kishike hatamu?

Najiuliza tu, maana siamini ninachokiona!

Kati ya watu mashuhuri ambao inasemekana, waliwekewa angalizo la kutokupewa Ikulu na Baba wa Taifa, ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu ndugu Edward Lowasa (RIP) kutokana na kuwa na ukwasi wenye mashaka

Je Chadema, kutokana na mambo tunayoyaona, mara kuenguliwa kwa Wagombea wake na kuwekewa mapingamizi, Je, hii ni ishara gani

Msingi wa Chadema na kuundwa kwake, Je kuna hila ndani yake kuihusu nchi yetu ama ni uwoga wa watawala?

Mwenye kujua haya, tafadhari
Baba yupi wa Taifa?
 
Back
Top Bottom