ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Amejikoroga hvi?
Dah....360 ni hatari inadanganya sana hii.....
Huyo mchina ni balaa....watu usoni tumejaa chunusi na madoa ila unatoka hauna doa wala chunusi....Nilikuwa sijui 360 ni bidhaa ya kichina
Huyo mchina ni balaa....watu usoni tumejaa chunusi na madoa ila unatoka hauna doa wala chunusi....
Nimeitafuta kwenye store ya simu yangu sijaiona, nadhani itawekwa soon,
Ah na wew unataka ku fake....mim ipo ila siitumii......
mifano ipo
Kapendeza huyu dada jamaniii
Kama wanyama wanaweza kubadilika kulingana na mazingira basi binadamu naye lazima abadilike kulingana na mazingira yanayo mzunguka.
Huyu ni mtu au kinyago cha mpapuremifano ipo