Kazi imeanza , Hawa ndo source ya shida zote.Tumewadaka majeshi wa marekani mda huu View attachment 2261954
Siku si nyingi Zelenscky atakubal yaishe[emoji41][emoji41][emoji41]Oyaaaaa leo nina furaha kuliko siku zote [emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
[emoji116][emoji116][emoji116]
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]2 former U.S. service members captured by Russian forces near Kharkiv[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
Mkuu umepotea sana kijiweni siku hizi.Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
Hii ndoto bado unaendelea kuota?Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
ππππππHii ndoto bado unaendelea kuota?