Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Bila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
Mrusi keshampiga Ukraine nini kimetokea?? ushabiki maandazi
 
Bila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
koment ya hovyo kabisa
nyie ndio mmefanya yule mpuuzi alekichapo kule kwahuu uropokwaji wenu usokichwa wala miguu
mnapoiongelea RUSSIA mnaona kama mnaiongelea CHAD eeeh
mue mnaongea kwa akili
 
Kuna kitu hujakielewa mkuu. sio kwamba marekani hawezi kuingilia hii vita kijeshi big no.J biden na hata putin mwenyewe wameshaweka wazi kuwa marekani akisema aingilie kati kijeshi huu mzozo hiyo ni vita ya tatu ya dunia. na hakuna taifa lililo tayari kwa vita ya tatu ya dunia, siyo Russia wala USA na heshima yote hii unayoiona inatokana na uwepo wa silaha za nyuklia. ipo wazi Incase kutatokea kwa WIII basi silaha za nyuklia ni lazima zitumike na hakuna aliye tayari kwa hili. kwa namna yoyote ile marekani hawezi kuingilia kati hii vita zaidi ya kuweka vikwazo tu na hii haimaanishi kuwa hana uwezo la hasha.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama anaweza aingilie ukiona unaleta sababu zakutokuweza kwake ujue ndio hawezi hakuna zaidi
 
Siku ya tisa hatuoni chochote zaidi ya vikwazo.
Nimesoma mtandao mmoja kuwa warudi wamejuandaa kwa vikwazo.
Hakafu warusi wanatumua sana physocal money kuliko digital money.
Kingine wana mfumo wao q pisa waliouungsnisha na SISP wa wachina hivyo kuna biashara zitafanyika hata bika SWIFT.
Ngoja tuone kama Russia itafilisika au la.
Russia ikifilisika wazungu watatupelekesha watakavyo atbaki mchina peke ake ambae hatawaweza wazungu.
Mchina kwanza hata vita haviwezi wala propaganda.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Bila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
Vipi sasa kapigwa shoga yako unatamani ufute jumbe hii
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Remember it’s only democrat is party rely on NATO .Republicans no way
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Marekani anaiogopa russia sio kwasababu hana nguvu, bali ni kwasababu anajua maana na madhara ya nukes. alisha experience icho na ni ghost inayomhunt hadi leo anajilaumu kwanini alibonyeza ile batton (hiroshima and nagasaki). nuklia sio mchezo. hao wazungu wengine ni mbwa tu wanabwekabweka hawajui kitu.
 
marekani kwa mrusi ni sawa na mbwa Koko,anayepiga biti kwa kubweka huku anaangalia upenyo wa kutolokea .[emoji28]
 
Tatizo watu wa JF mnasikiliza Sana vyombo vya habari vya kimagharibi ......huwa havitoi Sana uwezo mkubwa wa kijeshi wa RUSSIA

ila Russia ni nchi inayomiliki silaha Kali zaidi kuliko nchi yoyote duniani that's y NATO wanajitahidi kukaa pamoja kumdhibiti coz Russia anamiliki hadi Robot za kivita ......ukiachana na ICBM ambazo zinaweza kukufikia popote pale duniani

Kama unabisha kuhusu USA kumuogopa RUSSIA rejea CUBAN NUCLEAR MISSILES. ......coz pale USA ilikaa na rais JF Kennedy wa USA aliomba yaishe wakae chin kusuruhisha hii Mambo

Na Russia kuzuia Ukraine kujiunga na NATO yuko sahihi coz ....baada ya kukaa chin walifanya agreement ya majeshi ya hiz nchi yasije kukaribiana .....kamwe ....

So USA kujiingiza Ukraine anataka kumu overtake mrussia
Watu mna chekesha someni historia. Walitoa hayo mabomu na bado marekani aliweka yake turkey na rusia hakusema lolote
 
hilo jina baya mnalonyie tu ila karibu dunia nzima inaelewa kama nipropaganda zenu dhidi ya UCHINA kama unaamini anajina baya mbona bado anafanya vyema kweye uga wabiashara ulimwenguni ndani ya UCHINA na nje ya UCHINA
Marekani ana uza silaa za billions of dilar wewe una uza earphones wapi na wapi
 
Bado Marekani huyohuyo amekusanya mataifa mengi wameungana kwaajili ya kuikabili Urusi lakini bado wameishia kwenye taarabu
Vita ya Urusi na Nato/Marekani itaipeleka dunia wapi? Nchi hizi zina mabomu ya nuclear mengi, na hakuna atayekubali kushindwa- labda mmoja amuwahi mwenzake na kuteketeza mitambo yote ya nuclear ya mwenzake- kitu ambacho si rahisi sana kutekeleza. Kuna mabomu kwenye manowari na madege yanayozunguka kila wakati angani. Viongozi wenye busara wanajaribu kuzuia dunia isiende huko, dunia itabadilika kabisa itakuwa haikaliki- mionzi ya nuclear itasumbua sana wakazi wa dunia. Dunia nzima itadhurika kwa joto na mionzi mikali itakayotokana na vita hiyo.
 
Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
NATO wameshatoa msimamo,Russia akiingia.......,NATO wameshaamza kujiandaa kwa battle.

Aisee NATO wameishia kuweka vikwazo na kitoa misaada ya silaha ila Ukraine wakajitetee wenyewe.wakajifie.
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.

Marekani peke yake asingeweza kumpiga saddam. Hapo ndipo udhaifu wa mmarekani unapoanzia
 
Back
Top Bottom