Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

kama uhusiano wa UCHINA na KOREA ungekua unashaka KOREA isingeweza kuwepo mpaka muda huu
Isingekuwepo kwa sababu gani?

Mashaka kwenye uhusiano hayana uhusiano na Korea Kaskazini kuwepo ama kutokuwepo. Ukweli ni kwamba, China na Korea Kaskazini zimekwisha wahi kukorofishana mara kwa mara. Awali nilitumia neno "kuzinguana".

Pia nilisema, mshirika pekee wa muhimu na wa maana wa Korea Kaskazini ni China pamoja na kwamba kuna kasoro hizo nilizozitaja.
 
Russia's Council: Russia will likely consult with its allies China, Iran, India, Venezuela, Cuba and Nicaragua before taking a position on the US response.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ww jamaa ni zaidi ya comedy, eti China imeshaunga mkono vikwazo dhidi ya Korea kaskazini, yaani si tu muongo bali pia unandoto ambazo ni mzigo kichwani mwako [emoji16]
Unayajua maazimio yote ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) kuhusiana na Korea Kaskazini?

Unajua kwamba China ni miongoni mwa wanachama wa kudumu wa baraza hilo?

Unafahamu kuwa China ni miongoni mwa wapiga kura ya 'ndio' katika maazimio mbalimbali ya kuiwekea Korea Kaskazini vikwazo kutokana na masuala yake ya nyuklia na makombora?

Naona najadili na watu ambao hawajui chochote kile muhimu kuhusiana na masuala haya. Ndio maana kila nitakachosema itabidi niulize kama kuna swali. Kuna swali?
 
Mkuu baadhi ya nchi kama yenu ndio mnaletewa baadhi ya vitu fake ila ukienda hapo Rwanda kifaa kutoka China ni quality, jamaa wanatabaka ww ukitaka hata kiatu cha dola 1 utakioata China na ukitaka kiatu cha dollaer 1000 hichohicho utakipata
Ushawahi kwenda Rwanda au unaongea tu ushuzi?
 
Russia jinsi alivyo mbabe anazichukulia Marekani +NATO kama nchi moja tu.
Ingawa kiuhlisia hayo ni mabala mawili,yaani North America + Europe .
Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
 
Russia will turn to the yuan in case of a ban on transactions in dollars and euros, said the Deputy President of the Security Council of Russia, Dmitry Medvedev
 
Wadau kumbuka unapomsema USA ni kusema Israeli ,urusi alishaambiwa akijaribu kuivamia ukraine atapata madhara makubwa sana na kujutia, kashaambiwa diplomasia itumike kumaliza mgogoro huo ,yaani Israeli+uingereza+german+ufaransa+US A kiukweli amesisitiziwa ajaribu aone na wao wametega kujiona wapole ila wadau USA na washirika wake wameshajiandaa anasubiri tyu avamie,MUNGU mwenyewe hawezi ruhusu hii sayari ije kuongozwa na madikteta china na urusi,kushindwa kwa marekani na israeli ni kuifanya dunia iongozwe na madikteta urusi na china ,pata picha hii sayari ya dunia itakuaje,dunia lazima iongozwe kwa njia ya kidemokrasia sio kidikteta ili kila mtu afanye anachotaka pasipo kuingilia uhuru wa mtu.
Mtu mwenye ICBM unaanza kumpiga vipi? Manake ukimgusa raia wa nchi yako wajiandae. Urusi wale jamaa hawana show off ila balaa lake kwa nguvu za kijeshi na teknolojia yupo mbali sana.

US anapenda akipigana nchi yake isiguswe na ndio maana anabase nyingi duniani.Ila ICBM ukiwa na US lazima akuogope sababu anajua akigusa unauwezo wa kurusha ICBM.
 
Isingekuwepo kwa sababu gani?

Mashaka kwenye uhusiano hayana uhusiano na Korea Kaskazini kuwepo ama kutokuwepo. Ukweli ni kwamba, China na Korea Kaskazini zimekwisha wahi kukorofishana mara kwa mara. Awali nilitumia neno "kuzinguana".

Pia nilisema, mshirika pekee wa muhimu na wa maana wa Korea Kaskazini ni China pamoja na kwamba kuna kasoro hizo nilizozitaja.
kama meno mdomoni yanatafunana na ulimi kasoro ndogo ndogo kwa KOREA NORTH na UCHINA haziwezi kukosekana nandio nature ipo hivi
kwahio sidhanii kama kuna jipya hapo juzi tu hapa tuliona mgogoro rarely kabisa baina ya US na FRANCE
kwahio same same kwa UCHINA na NORTH ila haiondoi ukweli mahusiano yao niimara zaidi kuliko tofauti zao
 
Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
anaeweza kumpiga RUSSIA ni RUSSIA pekee acha kujitoa ufahamu
 
kama meno mdomoni yanatafunana na ulimi kasoro ndogo ndogo kwa KOREA NORTH na UCHINA haziwezi kukosekana nandio nature ipo hivi
kwahio sidhanii kama kuna jipya hapo juzi tu hapa tuliona mgogoro rarely kabisa baina ya US na FRANCE
kwahio same same kwa UCHINA na NORTH ila haiondoi ukweli mahusiano yao niimara zaidi kuliko tofauti zao
Ninakubaliana na wewe hapo uliposema kwamba mahusiano yao ni imara zaidi kuliko tofauti zao. Ndio maana nilisema kwamba mshirika muhimu zaidi na wa maana wa Korea Kaskazini ni China pekee.

Nilichopingana na wewe ni pale mwanzoni uliposema kuwa uhusiano wao "hauna hata chembe ya shaka".
 
Mtu mwenye ICBM unaanza kumpiga vipi? Manake ukimgusa raia wa nchi yako wajiandae. Urusi wale jamaa hawana show off ila balaa lake kwa nguvu za kijeshi na teknolojia yupo mbali sana.

US anapenda akipigana nchi yake isiguswe na ndio maana anabase nyingi duniani.Ila ICBM ukiwa na US lazima akuogope sababu anajua akigusa unauwezo wa kurusha ICBM.
Urusi ni moja ya nchi vinara katika teknolojia ya makombora ya masafa ya mbali (ICBM). Lakini, haimaanishi kuwa nchi yoyote ile yenye ICBM haiwezi 'kupigwa'.

Hii dunia ni kubwa sana, hivyo sio kila ICBM ina uwezo wa kwenda ama kufika mahali popote pale duniani. Pia, mahali ambapo ICBMs zinahifadhiwa kwa ajili ya kurushwa/kufyatuliwa ni mahali ambapo panaweza kufahamika kiwepesi na adui hivyo zinaweza kushambuliwa na adui hata kabla hazijafyatuliwa.

Kwa maoni yangu, SLBM (submarine-launched ballistic missile) ni bora zaidi kuliko ICBM sababu SLBM inaweza kufyatuliwa kutokea mahali popote pale duniani ambapo submarine itakuwepo huku kukiwa na ugumu zaidi wa kutambua mahali ambapo kombora hilo limefyatuliwa.

Moja ya sifa muhimu sana ya submarine ni kuhama kutoka eneo moja kwenda jingine na kutotambulika kirahisi hivyo inaweza kufanya shambulizi karibu kabisa na mipaka ya adui kwa ufanisi zaidi huku adui akibaki na muda mchache sana wa kujiandaa na shambulizi.

Hizi ni miongoni mwa sababu ambazo nchi kama Urusi iliamua kuzipakia ICBMs kwenye malori na kisha kuzunguka nazo sehemu mbalimbali ili zisijulikane kirahisi na adui mahali zilipo ukizingatia jinsi ambavyo jiografia ya Urusi ilivyo. Hata hivyo, bado ufanisi wake si mkubwa kama wa SLBM ukiacha sababu zingine.
 
Urusi ni moja ya nchi vinara katika teknolojia ya makombora ya masafa ya mbali (ICBM). Lakini, haimaanishi kuwa nchi yoyote ile yenye ICBM haiwezi 'kupigwa'.

Hii dunia ni kubwa sana, hivyo sio kila ICBM ina uwezo wa kwenda ama kufika mahali popote pale duniani. Pia, mahali ambapo ICBMs zinahifadhiwa kwa ajili ya kurushwa/kufyatuliwa ni mahali ambapo panaweza kufahamika kiwepesi na adui hivyo zinaweza kushambuliwa na adui hata kabla hazijafyatuliwa.

Kwa maoni yangu, SLBM (submarine-launched ballistic missile) ni bora zaidi kuliko ICBM sababu SLBM inaweza kufyatuliwa kutokea mahali popote pale duniani ambapo submarine itakuwepo huku kukiwa na ugumu zaidi wa kutambua mahali ambapo kombora hilo limefyatuliwa.

Moja ya sifa muhimu sana ya submarine ni kuhama kutoka eneo moja kwenda jingine na kutotambulika kirahisi hivyo inaweza kufanya shambulizi karibu kabisa na mipaka ya adui kwa ufanisi zaidi huku adui akibaki na muda mchache sana wa kujiandaa na shambulizi.

Hizi ni miongoni mwa sababu ambazo nchi kama Urusi iliamua kuzipakia ICBMs kwenye malori na kisha kuzunguka nazo sehemu mbalimbali ili zisijulikane kirahisi na adui mahali zilipo ukizingatia jinsi ambavyo jiografia ya Urusi ilivyo. Hata hivyo, bado ufanisi wake si mkubwa kama wa SLBM ukiacha sababu zingine.
Hata hizo SLBM anazo so Urusi anaweza kupigwa ila hizo nchi zitakazo Mgusa zitaachiwa madonda makubwa ambayo hayatoponyeka au itawachukua karne kurudi kwenye ubora wao.

Halafu cha pili maswala ya kijeshi mengi ni siri na Urusi hanaga sana show so mtu msiri kumjua ana miliki nini ni kazi sana utaishia kubahatisha.
 
Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
Ndugu kitu ambacho napenda ufahamu ni kwamba Urusi Wala hakutangaza kama anataka kuivamia Ukraine.
Pili hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo ipo tayari kuingia vitani na Urusi.Kwa sababu,
Vita Kati ya NATO na Urusi sio Vita ya bunduki,Bali ni Vita ya makombora,
Sasa nitajie nchi moja katika upande wa NATO ambayo iko tayari kutoweka katika ramani ya Dunia kwa sababu ya Ukraine tuu.?
Ambae Wala sio Mwanachama wao.
Lakini kaa ukijua linapokuja suala la ulinzi wa mipaka nchi yoyote haifanyi majaribio.sasa suala la NATo kutaka kulazimisha kujitanua ni sawa na kuruhusu adui avamie Urusi.So Urusi akiona hawaheshimu hali hiyo Wala hawezi kutishwa na NATo,yaani maana yake Yuko tayari kuingia vitani na yoyote.
Na hali hii sio kwa Urusi tu,hata Marekani au nchi yoyote haiko tayari kuhatarisha usalama wake.
Kwa hiyo ikifika wakati wa kuvamia atavamia.na nakuhakikishia NATO hawatakuwa tayari kuingia vitani na Urusi.Vuta ya NATO na Urusi na maangamizi na huenda ikawa na muonekano wa Vita ya tatu ya Dunia..
Nikupe mfano tu unafukiri kutakua na uvumilivu au subira ya kutumia silaha za maangamizi,hamna Hawa watu hawatachelewa kutumia silaha kubwa kwa sababu za kutoaminiana kwamba labda ataniwahi,labda ataniwahi mwisho wanarushiana makombora mazitomazito ya maangamizi.
Sasa nitajie vi nchi kama uingereza ambavyo ni vidogo kwa eneo vinahutaji makombora mangapi kuvifuta katika uso wa duniaa?
Je ni nchi gani ulaya iko tayari kwa hilo?
Kisa Ukraine na sbabu yenyewe ni interest za Marekani kutaka kujitanua Kijeshi?
 
Ninakubaliana na wewe hapo uliposema kwamba mahusiano yao ni imara zaidi kuliko tofauti zao. Ndio maana nilisema kwamba mshirika muhimu zaidi na wa maana wa Korea Kaskazini ni China pekee.

Nilichopingana na wewe ni pale mwanzoni uliposema kuwa uhusiano wao "hauna hata chembe ya shaka".
hauna chembe ya shaka maana yangu nikwamba wanamahusiano imara kabisa
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Sio kuogopa! Hakuna nchi isiyoogopa vita duniani.
Wamarekani wanafanya maamuzi yao kwa akili sana inapokuja kwenye vita.
Sababu kubwa nchi kubwa hazipigani ni kwa sababu 1. Hata ukishinda bado kutakua na uharibifu mkubwa kwako pia 2. Uchumi utashuka.
Hivi vitisho kati ya Russia na USA kwa sehemu kubwa ni siasa tu. Na hata Russia juu chini hawataki ugomvi na USA
 
Well said👍
Ndugu kitu ambacho napenda ufahamu ni kwamba Urusi Wala hakutangaza kama anataka kuivamia Ukraine.
Pili hakuna hata nchi moja ya NATO ambayo ipo tayari kuingia vitani na Urusi.Kwa sababu,
Vita Kati ya NATO na Urusi sio Vita ya bunduki,Bali ni Vita ya makombora,
Sasa nitajie nchi moja katika upande wa NATO ambayo iko tayari kutoweka katika ramani ya Dunia kwa sababu ya Ukraine tuu.?
Ambae Wala sio Mwanachama wao.
Lakini kaa ukijua linapokuja suala la ulinzi wa mipaka nchi yoyote haifanyi majaribio.sasa suala la NATo kutaka kulazimisha kujitanua ni sawa na kuruhusu adui avamie Urusi.So Urusi akiona hawaheshimu hali hiyo Wala hawezi kutishwa na NATo,yaani maana yake Yuko tayari kuingia vitani na yoyote.
Na hali hii sio kwa Urusi tu,hata Marekani au nchi yoyote haiko tayari kuhatarisha usalama wake.
Kwa hiyo ikifika wakati wa kuvamia atavamia.na nakuhakikishia NATO hawatakuwa tayari kuingia vitani na Urusi.Vuta ya NATO na Urusi na maangamizi na huenda ikawa na muonekano wa Vita ya tatu ya Dunia..
Nikupe mfano tu unafukiri kutakua na uvumilivu au subira ya kutumia silaha za maangamizi,hamna Hawa watu hawatachelewa kutumia silaha kubwa kwa sababu za kutoaminiana kwamba labda ataniwahi,labda ataniwahi mwisho wanarushiana makombora mazitomazito ya maangamizi.
Sasa nitajie vi nchi kama uingereza ambavyo ni vidogo kwa eneo vinahutaji makombora mangapi kuvifuta katika uso wa duniaa?
Je ni nchi gani ulaya iko tayari kwa hilo?
Kisa Ukraine na sbabu yenyewe ni interest za Marekani kutaka kujitanua Kijeshi?
 
Vita vya sasa ni kutishana tu Cost na Collateral Damage ni kubwa sana..., hivyo mwisho wa siku ni vigumu sana watu kupigana kwa vitendo...

The supreme art of war is to subdue the enemy without fighting. Sun Wu
Mkuu ninacho iki kitabu kidogo ivi cha kijani umenifanya nikirudie kidogo# peace#
 
ngoja nisome majibu ya warusi wa bonyokwa na waamerika wa uyole[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom