Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Wewe kweli zuzu, niambie ndege ya abiria ambayo ina-operate duniani aliyoundwa China? Yaan America miaka ya 50 washaunda ndege za abiria China 2022 bado, niambie China Technology company ambayo inaweza kuzizidi Apple, Amazon na Google, bajeti ya USA ya jeshi ni Mara 10 ya China, US Noma sana
Wakomunist wachache wa Tanzania watakuelewa
 
Wewe kweli zuzu, niambie ndege ya abiria ambayo ina-operate duniani aliyoundwa China? Yaan America miaka ya 50 washaunda ndege za abiria China 2022 bado, niambie China Technology company ambayo inaweza kuzizidi Apple, Amazon na Google, bajeti ya USA ya jeshi ni Mara 10 ya China, US Noma sana
Wewe sasa ndo zuzu kabisa, kuwa wa kwanza kuunda vitu haimanishi huwezi kupitwa, china ashaanza unda ndege za abiria ila mpaka upewe kibali cha kuanza kuziuza kwa ajili ya usafirishaji kuna mchakato unapita, na unachukua miaka.
Ndehe za kivita ndo sasa katoa generation ya ndege zake ambazo wanasema ni superior kuliko hata ndege za kirusi.
China ndiyo nchi pekee duniani inayomiliki space station.
Ukitoa Marekani, na Urusi, China ndiyo one man show aliyeshusha vifaa mars. Hizo nchi za ulaya wana agency ya anga moja wanashirikiana.
Space station nyingine wanashirikiana russia, US, na nchi za ulaya.
Kwa roho mbaya ya marekani akataka wasimpe ruhusa china kuitumia hiyo space station, mchina akaona isiwe tabu ngoja nitengeneze yangu, na anayo na anazidi kuitanua iwe the biggest station huko angani.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kufanyia production china, jibu lake lilikuwa china ndo nchi ambayo ukitaka skilled labor ya watu wanaojua kitu flani, watajaa stadium, wakati US hawajai hata meza.
Speed ya China ya mabadiliko katika muda mfupi inatisha ni mabadiliko ya muda mfupi sana.
China ndiye mwenye train zenye speed kuliko train ya nchi yoyote, nadhan unajua kuhusu maglev technology, train inayoelea kwenye reli na kukimbia speed ya bullet.
US sasa anaigopa china ndo maana anahangaika na vikwazo kuipunguza speed navyo vina matokeo ya muda mfupi.
Huawei baada ya kuwekewa vikwazo, soon wanataka kuanza kuzalisha vifaa wenyewe kwa ajili ya electronics.
Kuna kampuni inadeal na mambo ya quantum computing mwaka jana imepata breakthrough, US kwa uoga kuwa ikifanikiwa inaweza hack na kubreak security zake kaipga vikwazo wakati ana makampuni kibao yanafanya research ya quantum computing.
Bado silaha, kala mfuatiliaji mwishoni mwa mwaka jana katest kifaa kikaenda into space kikarudi kwa speed kali sana lakini bado kikawa maneuvered kutua. Wataalam wa US wakashangaa maana hawana kifaa kama hicho, kifaa chochote kikiwa kwenye high speed from space kwenye reentry huwezi kukimaneuver kwa technology walionayo, iliwashangaza mchina kufanya hivyo. Na walikuwa hawajui ni kifaa cha kubeba wanaanga au silaha.
Baadae wanakuja kugundua ni kwa ajili ya vyote, inaweza tumika kubeba silaha au ikatumika kama rocket ya kupeleka vtu space.
Mchina anatengeneza drones, tena advanced drones za ulinzi.
It is a matter of time wale jamaa ni unstoppable.
Nawaogopa sana maana wakishakaa pale top kabisa wakatulia hii dunia itapata shida sana maana ni wanyonyaji haswa.
 
Wakomunist wachache wa Tanzania watakuelewa
Kuna kipindi britain iliwahi kuwa workshop of the world, iko wapi sasa? Kuwa juu hakumaanishi utakaa daima. Japan, iliwahi kuwa ya pili kwa uchumi iko wapi sasa, uchumi wake umekuwa stagnant toka mwaka 1994 haikui.
Hivyo, siwezi kushangaa US kuja kupitwa na China, kwasababu China now ana export vitu vingi. Kila kampuni kubwa utakuta inazalisha bidhaa China, tena hizo kampuni za kimareknai kwasababu ana skilled labor.
Hizo ndege mnazosema, mchina ashaanza kuzalisha ndege za abiria, nyingine ziko.kwenye majaribio na nyingine soon ataanza kuzitumia kwenye soko lake la ndani. Za kivita ndo kabisa anazalisha ndege za kivita. Kwanza kuna ndege za jeshi alituuzia hapa kipindi cha kikwete.
Biashara ya ndege za kiraia zina propaganda sana, russia amekua akiunda ndege za abiria miaka na miaka, lakini siyo famous kama za wamarekani.
 
Wewe kweli zuzu, niambie ndege ya abiria ambayo ina-operate duniani aliyoundwa China? Yaan America miaka ya 50 washaunda ndege za abiria China 2022 bado, niambie China Technology company ambayo inaweza kuzizidi Apple, Amazon na Google, bajeti ya USA ya jeshi ni Mara 10 ya China, US Noma sana
Imebaki historia........chant down babylon
 
O
Vita ni gharama, kama unaweza kupata wapambe wa kukuunga mkono kupunguza gharama basi unafanya hvyo.
Sema Marekani siku hizi anabweka sana bika kung'ata
Marekani ipi ya kuogopa gharama za Vita?
Kumbuka Marekani imeiacha Urusi mbali kiuchumi,Sasa hiyo iliyoachwa kiuchumi haiogopi chochote kwa huyo mwenye uchumi mkubwa.
Tena basi ni kama muunganiko wa matajiri dhidi ya nchi moja na inazitisha.
 
Kwa taarifa yako NATO, bila USA, ni jibwa koko tu, ila USA, bila NATO, bado ni mbabe tu, unakumbuka kipindi cha trump alipotaka kuiondoa nchi yake kwenye NATO?Kwa kulalamika kuwa mzigo mkubwa wa kufedha anaubeba yeye, nini kilitokea kwa viongozi wengine wa NATO?!Siasa za URUSI ni za kishamba sana, na kwa sasa hawezi kuachwa na kufanya anavyotaka kwa kutaka kulazimisha tena Umoja wa soviety!!ni mikwala tu, kwani juzi ameambiwa na USA ana option mbili tu kuivamia Ukraine, nakuwa tayari kulipa ghalama za uamuzi huo, au kuacha!!
Vipi kule Afghanstan US na NATO wamekimbia nini huko? Mimi bila ushabiki huwa natarajia US na NATO waiambie Russia irudishe jimbo la Crimea kwa Ukraine! Kama hawezi kwa hilo,US anapiga kelele za Uoga kwa Russia ndiyo maana anahaha kuwashirikisha washirika wake wamuunge mkono kuiadhibu
Russia!
 
O

Marekani ipi ya kuogopa gharama za Vita?
Kumbuka Marekani imeiacha Urusi mbali kiuchumi,Sasa hiyo iliyoachwa kiuchumi haiogopi chochote kwa huyo mwenye uchumi mkubwa.
Tena basi ni kama muunganiko wa matajiri dhidi ya nchi moja na inazitisha.
We wadhani vita mchezo? Vita isiyokuwa na faida ni gharama kwa uchumi wa nchi yoyote. We wadhani kwanini mmarekani vita yote aliyopigana hata alipoenda mvamia sadam aliomba collabo ya nchi wanachamanwa NATO? Vita ni gharama sana na Marekani siku hizi anajiepusha na vita kwasababu hiyo.
Kuwa na uchumi mkubwa haimaanishi utapigana tu,
 
Marekani akili nyingi. Akisema NATO,anamaanisha ni yeye asilimia kubwa. Anajificha nyuma ya kivuli cha NATO. Pia NATO wamemtegemea USA kwa kiwango kikubwa kuipa nguvu NATO iwe kwa lasilimali hata kijeshi.
 
Hii ndani ya miaka kadhaa ijayo China ataipiku USA tumeanza kuisikia muda mrefu lkn haifiki tuu.
Hii siyo speed ya magari, kwamba yanapitana ndani ya muda mfupi. China katoka alikotoka huko kapita nchi zote mpaka kuwa namba mbili, now anamsaka alieko hapo juu. Karibu ashafanikiwa katika mengi amebaki kumdondosha.
Yani ukigusa kokote mchina kwa sasa yuko vizuri.
Iwe technologu, uchumi, jeshi, anga, culturual influence, n.k
Huku ndo tunamchukulia poa, Marekani hamchukulii poa hata kidogo ndo maana kila kitu anamsingizia mchina. Yani kwasasa Mchina ndiye anacompete moja kwa moja na US
 
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.


Anaweza kuikabili Urusi lakini gharama ya hayo makabiliano ni kubwa sana, Marekani imeshaingia gharama nyingi sana katika vita sehemu mbalimbaki duniani na isingependa kujiingiza katika vita zingine za aina hiyo na ndio maana anataka NATO itoe ushirikiano katika suala hilo la Ukraine kwani Ukraine ni mwanachama mtarajiwa wa NATO.
 
Wewe sasa ndo zuzu kabisa, kuwa wa kwanza kuunda vitu haimanishi huwezi kupitwa, china ashaanza unda ndege za abiria ila mpaka upewe kibali cha kuanza kuziuza kwa ajili ya usafirishaji kuna mchakato unapita, na unachukua miaka.
Ndehe za kivita ndo sasa katoa generation ya ndege zake ambazo wanasema ni superior kuliko hata ndege za kirusi.
China ndiyo nchi pekee duniani inayomiliki space station.
Ukitoa Marekani, na Urusi, China ndiyo one man show aliyeshusha vifaa mars. Hizo nchi za ulaya wana agency ya anga moja wanashirikiana.
Space station nyingine wanashirikiana russia, US, na nchi za ulaya.
Kwa roho mbaya ya marekani akataka wasimpe ruhusa china kuitumia hiyo space station, mchina akaona isiwe tabu ngoja nitengeneze yangu, na anayo na anazidi kuitanua iwe the biggest station huko angani.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kufanyia production china, jibu lake lilikuwa china ndo nchi ambayo ukitaka skilled labor ya watu wanaojua kitu flani, watajaa stadium, wakati US hawajai hata meza.
Speed ya China ya mabadiliko katika muda mfupi inatisha ni mabadiliko ya muda mfupi sana.
China ndiye mwenye train zenye speed kuliko train ya nchi yoyote, nadhan unajua kuhusu maglev technology, train inayoelea kwenye reli na kukimbia speed ya bullet.
US sasa anaigopa china ndo maana anahangaika na vikwazo kuipunguza speed navyo vina matokeo ya muda mfupi.
Huawei baada ya kuwekewa vikwazo, soon wanataka kuanza kuzalisha vifaa wenyewe kwa ajili ya electronics.
Kuna kampuni inadeal na mambo ya quantum computing mwaka jana imepata breakthrough, US kwa uoga kuwa ikifanikiwa inaweza hack na kubreak security zake kaipga vikwazo wakati ana makampuni kibao yanafanya research ya quantum computing.
Bado silaha, kala mfuatiliaji mwishoni mwa mwaka jana katest kifaa kikaenda into space kikarudi kwa speed kali sana lakini bado kikawa maneuvered kutua. Wataalam wa US wakashangaa maana hawana kifaa kama hicho, kifaa chochote kikiwa kwenye high speed from space kwenye reentry huwezi kukimaneuver kwa technology walionayo, iliwashangaza mchina kufanya hivyo. Na walikuwa hawajui ni kifaa cha kubeba wanaanga au silaha.
Baadae wanakuja kugundua ni kwa ajili ya vyote, inaweza tumika kubeba silaha au ikatumika kama rocket ya kupeleka vtu space.
Mchina anatengeneza drones, tena advanced drones za ulinzi.
It is a matter of time wale jamaa ni unstoppable.
Nawaogopa sana maana wakishakaa pale top kabisa wakatulia hii dunia itapata shida sana maana ni wanyonyaji haswa.
Asipoelewa atakuwa na mind problems
 
Mrussi mpk sas ameweka wanajeshi laki Moja mpka wa uraine na urusi pmj na vifaru vizito za kijeahi kana kwamba muda wowte atamvamia .naona Vita vikubwaa vinaenda kuibuka na ss watu wabadi tutateseka Sana Africa mnk tuko tuko tu ilimradi
 
Back
Top Bottom