Cacopy na kafaidikaz now amejenga research centers za kutosha. Umeona mwaka jana tu mwishoni kampuni ya china ya research za quantum computing imetangaza breakthrough US kaipiga vikwazo. Unajua ni kwanini?Thanks. Kwa hiyo una-justify uchumi wa China siyo innovative kama Marekani na kwamba hiyo design haiku-fit US future needs but China π€£ π
Kwa hiyo tunavyoongea sasa hivi US ipo juu ya China, siyo?Sisomi story za vijiweni wala siko kwenye ushabiki. Bloombergy wenyewe wameitabiri China kumpita US by 2050, au nao ni kijiwe?
Mkuu hu ni utabiri au hali halisi? China ana uchumi strong sana katika nchi zilizo kuaga za kikominist lakini wawekezaji wake wakubwa wote ni kutoka nchi za Magharibi, ndio hao wamiliki ya viwanda almost vyote vikubwa, computer za Dell, mabasi ya Youtong, simu za Iphone na zenyewe (hasa hizi zinazo uzwa huku Africa ) wana assemple China, sasa sijui nchi gani nyingine ya Kikoministi yenye uchumi imara!ukomunist haujafa na ndo unaenda kua strong kuliko hata nchi za kidemokrasia
Sawa mkuu.ukomnist ulikufa wenyewe, hakuna alieuua.
history yako ya uchumi wa china inaanzia mwaka 2005 kuja juu wakati mimi yangu inaanzia 1934 kuja hadi leo.Mkuu hu ni utabiri au hali halisi? China ana uchumi strong sana katika nchi zilizo kuaga za kikominist lakini wawekezaji wake wakubwa wote ni kutoka nchi za Magharibi, ndio hao wamiliki ya viwanda almost vyote vikubwa, computer za Dell, mabasi ya Youtong, simu za Iphone na zenyewe (hasa hizi zinazo uzwa huku Africa ) wana assemple China, sasa sijui nchi gani nyingine ya Kikoministi yenye uchumi imara!
USKwani nani aliyefanya fitina hadi ukominist ukavunjika duniani!?
MMHhistory yako ya uchumi wa china inaanzia mwaka 2005 kuja juu wakati mimi yangu inaanzia 1934 kuja hadi leo.
ungelikuwa unajua ninachokijua mimi kuhusu uchumi wa china usingeliandika ulichokiandika.
furthermore uchumi wa china una sura na sifa nzima ya kibepali, hakuna ujamaa hata kidogo labda tu kwenye mgawanyo wa keki ya taifa ndiyo kuna ujamaa.
narudia tena, ukomunista wa china upo kwenye jina tu.
N/Korea ndiyo nchi pekee ya ujamaa dunian kwasasa.
kwenu hakuna wakubwa, wangelikuwepo ungeliniamini.
Ukoministi umevunjika lini?Kwani nani aliyefanya fitina hadi ukominist ukavunjika duniani!?
Mbona aliichukua crimea na hakuna mbuzi aliesogea uwanja wa vitaBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
usiseme awapige sema awapige tena maana kile kipigo alotoa kwa UKRAINE juu ya CRIMEA nadhani mpaka leo hii maumivu yake bado yapo sanaaah
Safi Sana,nadhani taarifa za Jimbo la Crimea kuchukuliwa alikua halijui,pia ajiandae kisaikolojia kuwa Donbas,Donesk na Luhansk yako njia kupewa Uhuru wake na Urusi toka kwa mkoloni wao Ukraine.usiseme awapige sema awapige tena maana kile kipigo alotoa kwa UKRAINE juu ya CRIMEA nadhani mpaka leo hii maumivu yake bado yapo sanaaa
Hoja yako Haina mashiko kabisa Rafiki.Ukitaka.kujua maana ya hiyo "lakini" basi Urusi iende kumega kipande cha ardhi huko Alaska kama jinsi ilivyoimega Crimea, hapo ndipo utajua America anaweza au hawezi.
Jibu linganifu kabisa hili.safi Sana.unakutupuka RUSSIA anafanya jambo kwamaslahi yake sasa akaimege ALASKA wakati haina maslahi nae
naukitaka kujua US hawezi nae mwambie akamege kipande chochote kwenye ardhi ya RUSSIA uone kitakachomkutia
Wizi wa technology ndio habari ya mjini (duniani)China, Russia and etc. Chinese zaidi ya wizi wa technology, copy and paste hana ubunifu wowote wa maana. Russia amebakia tu kutegemea gas and etc.
Hujui nilichoguniakwenu hakuna wakubwa, wangelikuwepo ungeliniamini.
Hoja yako Haina mashiko kabisa Rafiki.
Haya maneno yako yageuze hivi.
"Naye Marekani aende akamege kipande Cha ardhi huko vladvostok jinsi alivyoichukua Guam hapo ndio utajua Urusi anaweza au hawezi."
Lakini elewa kwamba Nato ni tawi tu la Marekani, na Marekani akiondoa ufadhilii wake pale hamna kitu chochote, na huo ndio ukubwa wenyewe wa Marekani.Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.