Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Huwezi amini Wazungu ndio wanalisha Hoteli za Kitalii Tanzania, Hii aibu kuu

Jaribu set up 3 acres weka irrigation....weka hoho...nyanya bilinganya na kitunguu ....ah nyanya chungu ....mtafute soko....baada miezi 6 rudi tuongee zaidi ...supply supermarket hotel unatakiwa uwe contact supply mwaka mzima ....ndio maana unasikia acre 1000 amezigawa.....vizuri awe contact supply ....maintained quality ....ukileta ushabiki sawa.....
Umeongea point kubwa sana. Wanachotuzidi wenzetu cha kwanza ni mtaji, cha pili maarifa na cha tatu ni consistency na cha nne discipline. Biashara ya mbogamboga anayosema mtoa mada hata mtanzania anaweza kuifanya akiwa na hivyo vitu nilivyovitaja hapo juu.

Wenzetu haswa wamiliki wa mahoteli wanahitaji consistency and quality supply. Unakuta hotel kama Verde wanakuambia wanataka kuku wa nyama wenye kilo mbili na 500 kila wiki. Kuweza kulihudumia soko hilo unatakiwa uwe na uwezo wa kutoa kuku wenye viwango hivyo wakati wote. Hapo ndio inabidi muingie mkataba ili kila mtu afanye kazi yake kutokana na terms and conditions za mkataba. Ununuzi wa aina hiyo unafanywa pia na makampuni kama KFC, Supermarkets, Balozi au shule kama IST.

Tatizo linakuja sisi mitaji hatuna. Mfano nyanya mtu analima msimu kwa msimu kwa hiyo anashindwa kukidhi soko la hoteli za kitalii maana wao mikataba yao ni kuwauzia kiasi fulani cha mboga kila wiki.

Sisi tunakosa hivyo vigezo vya ubora na consinstency. Muuzaji anashindwa kuzalisha kwa wakati kwa visingizio vingi mara mtaji umekata mara mvua zimekata sijui vibarua wanatega yaani hapo ndipo MZUNGU anatupiga bao.

Unavyoona watu wanalima mboga mboga mtaani usidhani wanaweza soko la mahoteli ambapo wana taratibu zao mzigo uje umenyooka na pia kuwe na muda maalum wa kusambaziwa bila kukosa

Ndhani mmeelewa tunafeli wapi
 
Umeongea point kubwa sana. Wanachotuzidi wenzetu cha kwanza ni mtaji, cha pili maarifa na cha tatu ni consistency na cha nne discipline. Biashara ya mbogamboga anayosema mtoa mada hata mtanzania anaweza kuifanya akiwa na hivyo vitu nilivyovitaja hapo juu.

Wenzetu haswa wamiliki wa mahoteli wanahitaji consistency and quality supply. Unakuta hotel kama Verde wanakuambia wanataka kuku wa nyama wenye kilo mbili na 500 kila wiki. Kuweza kulihudumia soko hilo unatakiwa uwe na uwezo wa kutoa kuku wenye viwango hivyo wakati wote. Hapo ndio inabidi muingie mkataba ili kila mtu afanye kazi yake kutokana na terms and conditions za mkataba. Ununuzi wa aina hiyo unafanywa pia na makampuni kama KFC, Supermarkets, Balozi au shule kama IST.

Tatizo linakuja sisi mitaji hatuna. Mfano nyanya mtu analima msimu kwa msimu kwa hiyo anashindwa kukidhi soko la hoteli za kitalii maana wao mikataba yao ni kuwauzia kiasi fulani cha mboga kila wiki.

Sisi tunakosa hivyo vigezo vya ubora na consinstency. Muuzaji anashindwa kuzalisha kwa wakati kwa visingizio vingi mara mtaji umekata mara mvua zimekata sijui vibarua wanatega yaani hapo ndipo MZUNGU anatupiga bao.

Unavyoona watu wanalima mboga mboga mtaani usidhani wanaweza soko la mahoteli ambapo wana taratibu zao mzigo uje umenyooka na pia kuwe na muda maalum wa kusambaziwa bila kukosa

Ndhani mmeelewa tunafeli wapi
Uko sahihi sana boss. Nimeshuhudia kwa mzungu mmoja maeneo ya Ifunda, ana kampuni inayoitwa Masifio. Jamaa anapanda mboga kila wiki japo ni kwenye eneo dogo tu. Mazao kama nyanya na matango anapanda kwenye green houses lakini mengi anapanda kwenye open space. Kiukweli analima mboga aina nyingi sana ikiwemo na uyoga.
Ambacho jamaa kafanikiwa zaidi ni aina ya wateja alionao. Kama ulivyobainisha, wateja wake ni supermarkets kubwa, hotels kubwa na watu binafsi (hasa wazungu wenzake). Jambo la msingi analofanya ni kugrade mazao yake na kuyaweka kwenye packages makini. Anaweza kuvuna karoti kilo ishirini ila first grade ikawa kilo tano. Ana certificate ya kuwauzia baadhi ya mazao KFC na supermarkets kama Butchers, Shopper's n.k.
Wana online platform ambako mtu yeyote anayehitaji bidhaa zake anaweza kufunguliwa account. Kila mwisho wa wiki wanatangaza mazao waliyonayo kwa wiki itakayofuata, na wateja huweka order zao mapema. Kwahiyo, anavuna kulingana na orders.
Kuna mengi sana lakini atakayependa kujifunza zaidi anaweza uliza. Haitumiki teknolojia ya ajabu hata na hana wataalam wa ajabu, ni cheap labourers tu na wenye shule wachache. Naamini hata sisi tunaweza tukiamua kuzingatia details muhimu kama mdau alivyosema hapo juu.
 
Hivi tunalima products zipi hasa? Make Hoteli za kitalii nyingi zinalishwa na Wazungu, kule Njombe kuna Wazungu kule wanalima kila aina ya Mboga ambazo husapply Arusha, Dar na Zanzibar.

Arusha kuna Wazungu, kuna wenye Mashamba kule West Kilimanjaro, yale mashamba yalio kuwa ya TBL wakilima shayri, wale wanalima balaaa tupu na wana offisi zao pale Arusha mitaa ya jirani na kiwanda cha Bia, wana lisha Hoteli nyingi sana za Arusha, na Polini, huwa nawauziaga netti fulani hivi hivyo natimbaga sana offisini kwao na huwa nasikitika sana.

Hilo shamba lao ni ni hekari 1000+ ni kubwa mno kwa kifupi.

Sisi tunazalisha products zipi hasa, au ni hizi za kuuziana sisi Kibongo bongo?

Hawa wazungu some time hata wanatudharau wako sahihi kabisa kwa asilimia 100 kama wanakuja na wanalima na wanalisha Mahoteli ya Kitalii na Camp whay sisi? hii ilikuwa ni kazi yetu ila hatuwezi.

Hio picha nilipiga mwenyewe kwenye offisi zao Arusha, na hizo Products zinatoka West Kilimanjaro.

Kuna haja ya kujiuliza tunalima nini hasa sisi?
View attachment 2604810
Uwezo wetu ni mdogo sana kuhusu kilimo cha kisasa, ndhani hapa ndio Mh Bashe angesimamia hawa wazungu wakulima wapo wengi tu hapa tanzania wanamiliki maeneo makubwa mpaka utashangaa, wengine wanafuga ng'ombe ambao hapa Tanzania ni wao tu wanao na pia kuna wengine wanafuga kuku na hao wote soko lao ni mahoteli makubwa ya watalii huko mbugani na maduka makubwa ya vyakula hapa Afrika ya Mashariki, wanaaweza hivyo sababu wao wana uwezo mkubwa wa mitaji, hawategemei mbolea na pembejeo za hati fungate sijui hati za ghala au Amcos, wanajua wanafanya nini wanalima kisasa kwenye magreen house ,wana matractor wana mabwawa kwa ajili ya kumwagilia mazao yao,hawategemei mvua za msimu, wana maloli yenye kuhifadhi ubaridi, malori yanatoka iringa hadi Airport na mzigo kwenda Zanzibar au huko Arusha sasa sisi unategemea usafirishe nyanya na fuso lililowazi, mazao yao yana kiwango cha kimataifa, na mwisho mzungu anamwamini mzungu mwenzake- ukitaka kuamini hilo utashangaa unapoona mzungu anaenda hoteli ya mzungu mwenzake ambayo hata haina sakafu ya marumaru wala swimming pool ukilinganisha na hoteli ya mzawa mweusi ambaye ana bonge la hoteli kulinganisha na hoteli ya mzungu.pale Mbeya na Songwe wakulima wakubwa wa kahawa ni wazungu na wamarekani weusi, hao ndio pia wenye migahawa mikubwa ya kahawa jijini Dar,Arusha na Zanzibar hawa ndio wanauza kahawa yao Marekani,Ujerumani na nchi nyingine za bara la Ulaya, wanapoamua kulima au kufanya biashara tayari wanakuwa wamekuwa na soko,tofauti na sisi ukilima mahindi au mpunga wako huruhusiwi kuuza nje,serikali inakuamulia lakini kwa hawa wazungu serikali haiwagusi kwa kuwaita ni wawekezaji, wakati si kweli wengi wao wamezaliwa hapa hapa baba zao walikuja miaka ya 50s na wengine wapo hapa hasa kuanzia miaka ya 90 walikuja kama watalii wengine kama wafanyakazi kwenye maofisi mbalimbali na waliweza kununua maeneo makubwa kwa pesa kiduchu na sasa ni matycoon, hawa hutawaona kwenye mikutano ya kisiasa bali utakuta viongozi wetu ndio hufanya ziara za''mafunzo'' kwenye mashamba yao mara utawaona wajumbe wa kamati za bunge wakifanya ziara huko mashambani na sijui wanajifunza nini.
 
Uwezo wetu ni mdogo sana kuhusu kilimo cha kisasa, ndhani hapa ndio Mh Bashe angesimamia hawa wazungu wakulima wapo wengi tu hapa tanzania wanamiliki maeneo makubwa mpaka utashangaa, wengine wanafuga ng'ombe ambao hapa Tanzania ni wao tu wanao na pia kuna wengine wanafuga kuku na hao wote soko lao ni mahoteli makubwa ya watalii huko mbugani na maduka makubwa ya vyakula hapa Afrika ya Mashariki, wanaaweza hivyo sababu wao wana uwezo mkubwa wa mitaji, hawategemei mbolea na pembejeo za hati fungate sijui hati za ghala au Amcos, wanajua wanafanya nini wanalima kisasa kwenye magreen house ,wana matractor wana mabwawa kwa ajili ya kumwagilia mazao yao,hawategemei mvua za msimu, wana maloli yenye kuhifadhi ubaridi, malori yanatoka iringa hadi Airport na mzigo kwenda Zanzibar au huko Arusha sasa sisi unategemea usafirishe nyanya na fuso lililowazi, mazao yao yana kiwango cha kimataifa, na mwisho mzungu anamwamini mzungu mwenzake- ukitaka kuamini hilo utashangaa unapoona mzungu anaenda hoteli ya mzungu mwenzake ambayo hata haina sakafu ya marumaru wala swimming pool ukilinganisha na hoteli ya mzawa mweusi ambaye ana bonge la hoteli kulinganisha na hoteli ya mzungu.pale Mbeya na Songwe wakulima wakubwa wa kahawa ni wazungu na wamarekani weusi, hao ndio pia wenye migahawa mikubwa ya kahawa jijini Dar,Arusha na Zanzibar hawa ndio wanauza kahawa yao Marekani,Ujerumani na nchi nyingine za bara la Ulaya, wanapoamua kulima au kufanya biashara tayari wanakuwa wamekuwa na soko,tofauti na sisi ukilima mahindi au mpunga wako huruhusiwi kuuza nje,serikali inakuamulia lakini kwa hawa wazungu serikali haiwagusi kwa kuwaita ni wawekezaji, wakati si kweli wengi wao wamezaliwa hapa hapa baba zao walikuja miaka ya 50s na wengine wapo hapa hasa kuanzia miaka ya 90 walikuja kama watalii wengine kama wafanyakazi kwenye maofisi mbalimbali na waliweza kununua maeneo makubwa kwa pesa kiduchu na sasa ni matycoon, hawa hutawaona kwenye mikutano ya kisiasa bali utakuta viongozi wetu ndio hufanya ziara za''mafunzo'' kwenye mashamba yao mara utawaona wajumbe wa kamati za bunge wakifanya ziara huko mashambani na sijui wanajifunza nini.
Tatizo letu sisi kila kitu ni politicalized na ubabaishaji mwingi kilimo ni jambo kubwa na lenye kuhitaji seriousness kitaifa lakini serikali imeingiza siasa matokeo yake hakuna la maana sera bila vitendo ni bure, hizo biashara green house akifanya mswahili ile serious utaona maofisa wa mamlaka husika watakavyomsumbua.

Mfano; wewe mzawa fungua tu kiwanda kidogo uone usumbufu utakao pata wakati unafanya shughuli zako mara kwa mara maofisa wa Nemc,Osha, Tra,Tbs,Tmda, halmashauri nk kutwa wanakuja kutafuta kasoro ili uwaonge na ukishaanza waonga basi tayari unakuwa ni mrija wao wa kujipatia pesa... lakini same business akifanya mgeni hapati usumbufu huo kabisa... wanaogopa
 
Tatizo letu sisi kila kitu ni politicalized na ubabaishaji mwingi kilimo ni jambo kubwa na lenye kuhitaji seriousness kitaifa lakini serikali imeingiza siasa matokeo yake hakuna la maana sera bila vitendo ni bure, hizo biashara green house akifanya mswahili ile serious utaona maofisa wa mamlaka husika watakavyomsumbua.

Mfano; wewe mzawa fungua tu kiwanda kidogo uone usumbufu utakao pata wakati unafanya shughuli zako mara kwa mara maofisa wa Nemc,Osha, Tra,Tbs,Tmda, halmashauri nk kutwa wanakuja kutafuta kasoro ili uwaonge na ukishaanza waonga basi tayari unakuwa ni mrija wao wa kujipatia pesa... lakini same business akifanya mgeni hapati usumbufu huo kabisa... wanaogopa
Sina cha kuongeza umemaliza kila kitu, lakini kwa wazungu wala huwaoni halafu wazungu wanawatumia sana wenyeji masikini kuwafanyisha kazi ngumu kwa malipo kidogo sana na hugeuka wao kama ndio wanawasaidia hao wenyeji, huku kuna uonevu mkubwa na hizo mamlaka ulizozitaja wakienda kumuona mzungu huufyata na kuambulia kupiga nao picha. Kwa wazawa nchi hii ngumu sana kufanya si kilimo au biashara tu bali kila jambo, wenye mamlaka warasimu sijapata kuona.
 
Mtanzania aka Mwafrika mweusi hajawahi kuwa serious na kitu chochote cha maana. Hilo mbona lipo wazi kabisa.

Ukitaka kujua tabia halisi ya mtu mweusi soma hili andiko hapo chini. (Nimekopi sehemu).


I used to criticize African companies like Dangote Group for hiring so many Indians when there are many unemployed Africans, but now I understand their painful decision.
The biggest challenge in our manufacturing businesses is neither power nor infrastructure: the biggest challenge is getting honest staff.
Everyone we hire seems to be on a mission to steal: many inflate invoices as much as possible and record less than the actual number of units produced.

The worst part about this is that all the fraud we have uncovered is not committed by one person. It is usually many staff members colluding with each other, from production to sales and accounting. This includes management members.

I had to review my management staff 3 times in one year. It got so bad at one point that my main criteria for hiring staff were no longer competence or degrees, but honesty. The skills and abilities can be acquired, but once you are dishonest, you are beyond repair.
Imagine if Africa’s biggest challenge was off the table…

We always complain about the economy and the fact that there are no jobs. I know people abroad who would love to start job-creating businesses in Africa but can’t because they can’t get someone they trust to run it.

I know people in Africa with so much money, who’d want to start factories and other job-creating businesses, but they can’t because they are busy elsewhere and can’t get someone, they trust enough to run the business. So instead of investing in fruitful sectors and creating jobs, such people buy treasury bills, while the thieves scream no jobs or food.

I am convinced big African organizations like Dangote Group can set up shops in any African country and therefore create millions of jobs. However, I bet corruption and dishonesty at the top of government is what keep them from helping Africa.

Africa would birth many great companies if we could engage in partnerships, but we can’t because few can be trusted.
This is an advantage that the Indians and Lebanese have over us, inhabitants of Africa.
They can pool resources and do mega-businesses, unlike Africans. Since we can’t partner, one person has to do everything. As a result, we end up with small and very small businesses in Africa.

This also concerns siblings. The closing down of super stores in East Africa (which could’ve become the African Walmart) is a great example of why siblings can’t do business together.

Typical examples of theft in business in Africa
Start a poultry farm and employees steal your eggs. Some will even go ahead and kill the chickens so they are allowed to take them home.
Start an entertainment/viewing/gaming center and they will pocket your money. On the days you are on the premises, the money made will be ten times more than when you are not there.

Because they are spending your money and eating their future.
Buy and lease a vehicle to a driver, and watch as they finish you off.
Start a restaurant, and the same thing will happen. More than half of the total food ingredients will end up in their personal kitchens.
Even ordinary grocery stores or kiosk attendants will find a way to steal from small investors.

Worst of all: they even dare quoting their perversity by saying, “if you can’t beat them, join them!“
Imagine them justifying stealing at work, killing their own jobs and the development of Africa.
You will witness such employees pointing their twisted fingers at politicians when they are no different.

I believe that the reason most Africans have not stolen billions of government money is simply because of the lack of opportunity.
Development with dishonesty is impossible

To the few honest Africans, both in government and in the private sector, who are considered as stupid: You are not stupid. You are exactly what Africa desperately and painfully needs.

How are we going to evolve when those who are supposed to oversee and manage stores, kiosks, supermarkets, factories, schools, hospitals, waterworks, road construction, street cleaning, power plants, bus fleets, parking collections, building construction, etc., are the ones who conspire to steal from small local investors, large local investors, governments and foreign investors?

By what means will we develop ourselves when our school principals are the ones plotting to steal school supplies, school fees and school food from the canteens, etc.?
How can we improve when our hospital officials are the ones who plot to steal medicine, beds, sheets, blankets, food, consultation fees, etc.?

How? Indeed, how? Our beloved continent is mourning.
How can Africa grow when the officials responsible for ensuring and enforcing standards and reducing cost estimates, are the ones conspiring with local and foreign contractors to inflate costs and reduce work standards in order to steal public money for their personal gain?
At all levels, Africans are Africa’s problem.

Honesty starts from the leadership
In my opinion, the reason why Rwanda is a rising star in Africa is that Rwandans and foreign development partners and investors know that the country’s top leadership cannot accept dishonesty in both the public and private sectors.

We must replicate such leadership standards continent-wide.
Imagine we had 54 Paul Kagame as the head of all African countries!!! No wonder the so-called Western countries do not want that, as they know that Africa would be FIRST within 10 years.

We Africans need to wake up and rethink Africa.
Regardless of the jobs – from the sweeper to the craftsman, the salesman, the storekeeper, the driver, the tea or coffee or flower picker, the purchasing manager, the head of the governor, the nurse, the doctor, the cook, the painter, the builder, the senator and the minister – Africans must be honest for the sake of Mother Africa.

By being dishonest, we violate our beloved Africa. Foreign elements know and are very well aware of our dishonesty. So they come to Africa to steal our vast natural resources mercilessly and give a few crumbs of bread to those Africans in charge of running our countries. All this is at the great expense of our development and self-sufficiency.
Who will save us from ourselves?
Africa can rise again.
Let Africa rise.

Stand up and be counted as a people. It is time to CHANGE…
ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom