Huwezi fanikiwa kwa chochote bila maombi tena usiku wa manane

Huwezi fanikiwa kwa chochote bila maombi tena usiku wa manane

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Ndugu zangu kwenye jambo lolote unalofanya hutafanikiwa bila kuomba ndugu zangu.

Fanya hilo jambo unalofanya lakini omba sana.

Kila unaye mwona amefanikiwa katika jambo fulani anaomba sio kuombewa kuomba mwenyewe.

Na mkiristo anaye omba yeye kama yeye kuombea jambo lake ndio anafanikiwa.

Sawa unaomba unaombea jambo gani.

Kwanini wakiristo hawafanikiwi ni kwasababu wao hawaweki miguu miwili kwenye ukiristo miguu miwili.

Fanya biashara lakini omba pia ndugu yangu.
Fanya siasa lakini kumbuka hiyo nafasi kuna watu pia wanaihitaji kwa hiyo kama huombi wataichukua tu.
Hicho kiti cha ofisini kama hukiombei kitachukuliwa na mwingine.

Nakoreza wino:
NOTE: Kama huna hirizi kiunoni au mkononi alafu humwombi Mungu aliyeziumba Mingu na nchi kwa bidii tena kwa kumaanisha wewe umekwisha hapo sahau kufanikiwa.
 
Ndugu zangu kwenye jambo lolote unalofanya hutafanikiwa bila kuomba ndugu zangu.

Fanya hilo jambo unalofanya lakini omba sana.

Kila unaye mwona amefanikiwa katika jambo fulani anaomba sio kuombewa kuomba mwenyewe.

Na mkiristo anaye omba yeye kama yeye kuombea jambo lake ndio anafanikiwa.

Sawa unaomba unaombea jambo gani.

Kwanini wakiristo hawafanikiwi ni kwasababu wao hawaweki miguu miwili kwenye ukiristo miguu miwili.
Na cha ajabu wasio kuwa na muda wa kuomba ndio wametusua maisha
 
Ndugu zangu kwenye jambo lolote unalofanya hutafanikiwa bila kuomba ndugu zangu.

Fanya hilo jambo unalofanya lakini omba sana.

Kila unaye mwona amefanikiwa katika jambo fulani anaomba sio kuombewa kuomba mwenyewe.

Na mkiristo anaye omba yeye kama yeye kuombea jambo lake ndio anafanikiwa.

Sawa unaomba unaombea jambo gani.

Kwanini wakiristo hawafanikiwi ni kwasababu wao hawaweki miguu miwili kwenye ukiristo miguu miwili.

Fanya biashara lakini omba pia ndugu yangu.
Fanya siasa lakini kumbuka hiyo nafasi kuna watu pia wanaihitaji kwa hiyo kama huombi wataichukua tu.
Hicho kiti cha ofisini kama hukiombei kitachukuliwa na mwingine.
Hz religious formulas, huwa zinawadhuru waafrika tu!? Tena waliopo global South! Hazina madhala wala sio applicable kwa anglo Saxon(wazungu), wa Asia nk!
Eron musk, bakheresa, diamond, wanafanya hiki unachokisema? Au ni, upuuzi tu unaouamini!
Unakesha kwnisani, unaomba kwa makelele, asubuh unaenda kwa mchina kufanya kazi, mchina ambaye hwendi kanisani wala msikitini, baada ya muda wa kazi, anapenda kucheza kamari!Ila wewe "mtu wa Mungu" Unategemea upate ajira kutoka kwake!
 
Imani ni kitu muhimu sana...

Hata sisi atheists tunatumia imani kama kawaida tu.

Unakuta una jambo lako unataka liende sawa umeshafanya yote yaliyomo ndani ya uwezo wako, kinachobaki ni kuamini tu kwenye juhudi na dhamira zako.

Hauwezi kujitabiria matokeo mabaya ipo hivyo tu, binadamu tunaishi kwa imani. We need to believe everything will be okay somehow in the end...
 
Hz religious formulas, huwa zinawadhuru waafrika tu!? Tena waliopo global South! Hazina madhala wala sio applicable kwa anglo Saxon(wazungu), wa Asia nk!
Eron musk, bakheresa, diamond, wanafanya hiki unachokisema? Au ni, upuuzi tu unaouamini!
Unakesha kwnisani, unaomba kwa makelele, asubuh unaenda kwa mchina kufanya kazi, mchina ambaye hwendi kanisani wala msikitini, baada ya muda wa kazi, anapenda kucheza kamari!Ila wewe "mtu wa Mungu" Unategemea upate ajira kutoka kwake!
Kuomba sio kwenda kanisani. Au kukesha kanisani kuomba hata wewe unaomba moyoni hata saivi mambo yako yaende sawa. Hayo ndio maombi yanayo takiwa.
 
Imani ni kitu muhimu sana...

Hata sisi atheists tunatumia imani kama kawaida tu.

Unakuta una jambo lako unataka liende sawa umeshafanya yote yaliyomo ndani ya uwezo wako, kinachobaki ni kuamini tu kwenye juhudi na dhamira zako.

Hauwezi kujitabiria matokeo mabaya ipo hivyo tu, binadamu tunaishi kwa imani. We need to believe everything will be okay somehow in the end...
Ni kweli
 
Na cha ajabu wasio kuwa na muda wa kuomba ndio wametusua maisha
Changamoto ni kutokujua kuomba kwenyewe.
Biblia imefundisha vizuri kuomba na kujitofautisha na watu wa mataifa ambao hudhani watasikiwa kwa maneno yao kuwa mengi.
Hatuhitaji muda mrefu kuomba. Mungu anayajua mahitaji yetu hata kabla ya kuomba. Cha muhimu ni Imani na kumtegemea.
Wengi wanaojifanya kuomba sana wana Imani haba na hawamtegemei Mungu wa kweli.
 
Back
Top Bottom