Huwezi kuamini picha hii ya tatizo la umeme nchini...

Huwezi kuamini picha hii ya tatizo la umeme nchini...

0008054bciz.gif


Wengine wataaamua kama tutafika!!


jamani mbavu zangu!
 
Unajua ukiingalia sana hii picha; kwanza huchoki. Pili inakufanya ujiulize maswali mengi kweli.

a. Ile nyumba pale pembeni ina umeme?
b. Je nikiwanda kidogo?
c. Huu muda wa nyaya kucheza wanautoa wapi?
d. Je yawekana kuna umeme wowote? Kama upo, kucheza kwao kunaathiri vipi upatikanaji wake?
e. Kwanini hizo nguzo kubwa mbili zimekubali kucheza na hako kanguzo kadogo?
f. Hilo li nguzo likubwa pembeni kwanini halikatazi hizo nguzo kufanya "mchezo"?
g. Je wakitoka hapo wanaweza kuwa wanaenda kucheza michezo mingine kama "tiari bado", "kombolela", "tule tumbakishie baba", "rede", "kioo kiooo" n.k?

kama kuna mbunge humu na anataka kurudi mjengo mwaka 2015 madesa hayo hapo kaulize mjengoni
kama hii wizara katibu kafanya haya madudu waziri halikuwa wapi? huo ni uzembe tosha ina maana katibu hiyo bajeti ilikuwa ina muhusu kuliko ngereja aliyekwenda kuisoma bungeni
please tusifanyene watoto mambo ya mshikwa na nguzi ndio mwizi tutafunga wasio na hatia wezi wakitanua mtaani na kuendelea kula madili kama kawaida.

huu mchezo ni mara ya kwanza au hata katika mawizara mengine unatumika
 
Mwanakijiji nilikuwa na kuheshimu sana lakini kwa hii post yako nimekutoa thamani.Unatakiwa uwaze na uandike mambo muhimu na si u.puu.zi. kama huu.
mods peleka p.u.mba.hizi kule kwenye jukwaa la jokes au mpigeni BAN huyu Mwanakijiji.Aache UCDM wake.
 
Mods nimewakosea nini?au mwanakijiji hairuhusiwi kukosolewa poa bwana !
 
Aisee!!! MM Umeniacha hoi huu utani mwingine lakini unauma sana lol!!! Nikiangalia hizo nguzo kuna nguzo moja yenyewe wala haichezi iko busy kuangalia nguzo zinazocheza halafu imetulia tu si ajabu hiyo nguzo iliyotulia kwa tafsiri yangu ya haraka ni (Kikwete), halafu si ajabu hiyo nyumba iliyopo hapo kwenye picha haina umeme.
 
Mwanakijiji nilikuwa na kuheshimu sana lakini kwa hii post yako nimekutoa thamani.Unatakiwa uwaze na uandike mambo muhimu na si u.puu.zi. kama huu.
mods peleka p.u.mba.hizi kule kwenye jukwaa la jokes au mpigeni BAN huyu Mwanakijiji.Aache UCDM wake.
Sio lazima ku-post na haujalazimishwa kama unaona inakukera piga kimya halafu unasepa ukachangie thread zingine
 
maarifa siyo tu yadarasani bali akili ya kuzaliwa ni muhimu zaidi maana nchi yetu inakosa maarifa ya kuzaliwa darasani sio tatizo maana siku hizi tunawasomi wengi sana Professors, Phd, Masters, Bsc, etc huwezi linganisha nakipindi cha nyerere bali hapa ni uhuni na tamaa ndizo zinalifikisha taifa hapo.
 
yesaaa yesaaa yesaaaa yeeeeeeeh. Yesa tena........x 2.
haha hhhhaaa. Duh Noumaa
 
0008054bciz.gif


Wengine wataaamua kama tutafika!!
kaka unalaana walai mpka basi tumecheka nahisi kufungulia maana nilikuwa na saumu ya kujivua gamba dhambi zangu wiki hii aisee we mwisho angalia ngeleja asiione hii
 
Mwanakijiji nilikuwa na kuheshimu sana lakini kwa hii post yako nimekutoa thamani.Unatakiwa uwaze na uandike mambo muhimu na si u.puu.zi. kama huu.
mods peleka p.u.mba.hizi kule kwenye jukwaa la jokes au mpigeni BAN huyu Mwanakijiji.Aache UCDM wake.


Yaani kama umeshindwa kuitafsiri picha na kuioanisha na hali halisi ya watanzania kulazwa gizani kila siku basi wewe ni kilaza wa mwaka.
 
Yaani wenzao tunalala giza wenzetu wanatumia kamba za umeme "kuchidika mputa" (meaning kucheza mchezo wa kuruka kamba). Hii nchi basi tena.
 
Hii kali kabisa!
Tunakoelekea sikujui.
Kama Tanzania ingekuwa mada katika grammmar, basi ingekuwa "Imperfect Future".
 
Back
Top Bottom