Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Wengine wataaamua kama tutafika!!
Kweli watu sasa tumechoka na porojo za Ngeleja.![]()
Wengine wataaamua kama tutafika!!
Mwanakijiji hapa umenivunja mbavu kwelikweli, umeme wa uhakika hapa Tanzania ni hadithi, inabidi Ngeleja na walarushwa wenzake waachie ngazi. FAISAFOX ameiona hiyo?![]()
Wengine wataaamua kama tutafika!!
MMk ngoja nitafute PowerPoint nikaifanyie Presentation pale bungeni fasta hio picha hapo kwa niaba yako
walioshika waya nadhani ni Pinda na Upande wa Pili ni Bunge na anayecheza ni Ngeleja...............duh
Duh!! Mzee hizo pylon za wapi tena? next time tuletee zinazo cheza rede!!!![]()
Wengine wataaamua kama tutafika!!
Unajua ukiingalia sana hii picha; kwanza huchoki. Pili inakufanya ujiulize maswali mengi kweli.
a. Ile nyumba pale pembeni ina umeme?
b. Je nikiwanda kidogo?
c. Huu muda wa nyaya kucheza wanautoa wapi?
d. Je yawekana kuna umeme wowote? Kama upo, kucheza kwao kunaathiri vipi upatikanaji wake?
e. Kwanini hizo nguzo kubwa mbili zimekubali kucheza na hako kanguzo kadogo?
f. Hilo li nguzo likubwa pembeni kwanini halikatazi hizo nguzo kufanya "mchezo"?
g. Je wakitoka hapo wanaweza kuwa wanaenda kucheza michezo mingine kama "tiari bado", "kombolela", "tule tumbakishie baba", "rede", "kioo kiooo" n.k?