Huwezi kufanya sherehe ya harusi kwa mke wa kurithi kama hukuhusika na kifo cha kaka yako

Huwezi kufanya sherehe ya harusi kwa mke wa kurithi kama hukuhusika na kifo cha kaka yako

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Katika jamii mbalimbali za Africa na hata kwenye biblia ilikuwa ni sehemu ya tamaduni kwa mdogo mtu kurithi mke wa kaka yake pindi kaka yake anapotokea kufariki dunia.

Lakini katika kutimiza mila hizo hakukuwa na harusi, sherehe, shamrashamra, kukusanya watu, kuvipa vyombo vya habari pesa ili visambaze sherehe hizo za mtu kumrithi mke wa Marehemu kaka yake.

Walikuwa hawafanyi hivi sababu ya huzuni ya kuondokewa na kaka yao.

Lakini ukiona mdogo mtu anaitisha harusi na kutaka kusifiwa kwa kumrithi mke wa kaka yake mwaka mmoja, miwili na kuendelea kwa sherehe na wakati tulimuamini auguze mgonjwa basi inatupa tafsiri kwamba huyu mdogo mtu wakati wa kumuuguza kaka yake itakuwa alimhujumu na ndio maana anasherehekea kifo cha kaka yake wala hana huzuni wala jitihada za kukumbuka kifo cha kaka yake.

Haya mambo katika tamaduni hayajawahi kutokea. Hivyo tunaamini mdogo wetu alikuwa sehemu ya kumuua kaka yake.

Kwa kuwa kushiriki mauaji ya kaka yake na kufanya sherehe ni laana basi hataishi kwa amani na mke atakayemrithi hata atumie kiasi gani cha pesa alizorithi kwa kaka yake kutafuta wapambe wa kumsifia wala kuvipa pesa vyombo vya habari kumsifia maana sisi ndugu wa Marehemu kaka yake tunaona huo ni ukiukaji wa mila na hakika mwisho wake ni mbaya sana. Ukiua kwa Upanga.
 
Katika jamii mbalimbali za Africa na hata kwenye biblia ilikuwa ni sehemu ya tamaduni kwa mdogo mtu kurithi mke wa kaka yake pindi kaka yake anapotokea kufariki dunia.

Lakini katika kutimiza mila hizo hakukuwa na harusi, sherehe, shamrashamra, kukusanya watu, kuvipa vyombo vya habari pesa ili visambaze sherehe hizo za mtu kumrithi mke wa Marehemu kaka yake.

Walikuwa hawafanyi hivi sababu ya huzuni ya kuondokewa na kaka yao.

Lakini ukiona mdogo mtu anaitisha harusi na kutaka kusifiwa kwa kumrithi mke wa kaka yake mwaka mmoja, miwili na kuendelea kwa sherehe na wakati tulimuamini auguze mgonjwa basi inatupa tafsiri kwamba huyu mdogo mtu wakati wa kumuuguza kaka yake itakuwa alimhujumu na ndio maana anasherehekea kifo cha kaka yake wala hana huzuni wala jitihada za kukumbuka kifo cha kaka yake.

Haya mambo katika tamaduni hayajawahi kutokea. Hivyo tunaamini mdogo wetu alikuwa sehemu ya kumuua kaka yake.

Kwa kuwa kushiriki mauaji ya kaka yake na kufanya sherehe ni laana basi hataishi kwa amani na mke atakayemrithi hata atumie kiasi gani cha pesa alizorithi kwa kaka yake kutafuta wapambe wa kumsifia wala kuvipa pesa vyombo vya habari kumsifia maana sisi ndugu wa Marehemu kaka yake tunaona huo ni ukiukaji wa mila na hakika mwisho wake ni mbaya sana. Ukiua kwa Upanga.
Wanaupita huu uzi kwa uchungu sana. Ukweli unauma mkuu.
 
Katika jamii mbalimbali za Africa na hata kwenye biblia ilikuwa ni sehemu ya tamaduni kwa mdogo mtu kurithi mke wa kaka yake pindi kaka yake anapotokea kufariki dunia.

Lakini katika kutimiza mila hizo hakukuwa na harusi, sherehe, shamrashamra, kukusanya watu, kuvipa vyombo vya habari pesa ili visambaze sherehe hizo za mtu kumrithi mke wa Marehemu kaka yake.

Walikuwa hawafanyi hivi sababu ya huzuni ya kuondokewa na kaka yao.

Lakini ukiona mdogo mtu anaitisha harusi na kutaka kusifiwa kwa kumrithi mke wa kaka yake mwaka mmoja, miwili na kuendelea kwa sherehe na wakati tulimuamini auguze mgonjwa basi inatupa tafsiri kwamba huyu mdogo mtu wakati wa kumuuguza kaka yake itakuwa alimhujumu na ndio maana anasherehekea kifo cha kaka yake wala hana huzuni wala jitihada za kukumbuka kifo cha kaka yake.

Haya mambo katika tamaduni hayajawahi kutokea. Hivyo tunaamini mdogo wetu alikuwa sehemu ya kumuua kaka yake.

Kwa kuwa kushiriki mauaji ya kaka yake na kufanya sherehe ni laana basi hataishi kwa amani na mke atakayemrithi hata atumie kiasi gani cha pesa alizorithi kwa kaka yake kutafuta wapambe wa kumsifia wala kuvipa pesa vyombo vya habari kumsifia maana sisi ndugu wa Marehemu kaka yake tunaona huo ni ukiukaji wa mila na hakika mwisho wake ni mbaya sana. Ukiua kwa Upanga.
Hapa sitii neno ngoja nipite kimya kimya nikakae pale kona nisubiri comment za wadau ntarudi kukoment mwishoni.
 
Katika jamii mbalimbali za Africa na hata kwenye biblia ilikuwa ni sehemu ya tamaduni kwa mdogo mtu kurithi mke wa kaka yake pindi kaka yake anapotokea kufariki dunia.

Lakini katika kutimiza mila hizo hakukuwa na harusi, sherehe, shamrashamra, kukusanya watu, kuvipa vyombo vya habari pesa ili visambaze sherehe hizo za mtu kumrithi mke wa Marehemu kaka yake.

Walikuwa hawafanyi hivi sababu ya huzuni ya kuondokewa na kaka yao.

Lakini ukiona mdogo mtu anaitisha harusi na kutaka kusifiwa kwa kumrithi mke wa kaka yake mwaka mmoja, miwili na kuendelea kwa sherehe na wakati tulimuamini auguze mgonjwa basi inatupa tafsiri kwamba huyu mdogo mtu wakati wa kumuuguza kaka yake itakuwa alimhujumu na ndio maana anasherehekea kifo cha kaka yake wala hana huzuni wala jitihada za kukumbuka kifo cha kaka yake.

Haya mambo katika tamaduni hayajawahi kutokea. Hivyo tunaamini mdogo wetu alikuwa sehemu ya kumuua kaka yake.

Kwa kuwa kushiriki mauaji ya kaka yake na kufanya sherehe ni laana basi hataishi kwa amani na mke atakayemrithi hata atumie kiasi gani cha pesa alizorithi kwa kaka yake kutafuta wapambe wa kumsifia wala kuvipa pesa vyombo vya habari kumsifia maana sisi ndugu wa Marehemu kaka yake tunaona huo ni ukiukaji wa mila na hakika mwisho wake ni mbaya sana. Ukiua kwa Upanga.
Pesa za kaka mtu hurithiwa na mdogo mtu, badala ya watoto? Sio kweli
 
Sa unafananisha siasa na mbususu🤣🤣🤣 Anyway walikuwa wakirithi hawapigi show? Wanawaangalia tu hao wake wa kurithi? Watoto waliotokana na wake wa kurithi bado walipewa ubini wa marehemu kaka?🤣🤣
 
Katika jamii mbalimbali za Africa na hata kwenye biblia ilikuwa ni sehemu ya tamaduni kwa mdogo mtu kurithi mke wa kaka yake pindi kaka yake anapotokea kufariki dunia.

Lakini katika kutimiza mila hizo hakukuwa na harusi, sherehe, shamrashamra, kukusanya watu, kuvipa vyombo vya habari pesa ili visambaze sherehe hizo za mtu kumrithi mke wa Marehemu kaka yake.

Walikuwa hawafanyi hivi sababu ya huzuni ya kuondokewa na kaka yao.

Lakini ukiona mdogo mtu anaitisha harusi na kutaka kusifiwa kwa kumrithi mke wa kaka yake mwaka mmoja, miwili na kuendelea kwa sherehe na wakati tulimuamini auguze mgonjwa basi inatupa tafsiri kwamba huyu mdogo mtu wakati wa kumuuguza kaka yake itakuwa alimhujumu na ndio maana anasherehekea kifo cha kaka yake wala hana huzuni wala jitihada za kukumbuka kifo cha kaka yake.

Haya mambo katika tamaduni hayajawahi kutokea. Hivyo tunaamini mdogo wetu alikuwa sehemu ya kumuua kaka yake.

Kwa kuwa kushiriki mauaji ya kaka yake na kufanya sherehe ni laana basi hataishi kwa amani na mke atakayemrithi hata atumie kiasi gani cha pesa alizorithi kwa kaka yake kutafuta wapambe wa kumsifia wala kuvipa pesa vyombo vya habari kumsifia maana sisi ndugu wa Marehemu kaka yake tunaona huo ni ukiukaji wa mila na hakika mwisho wake ni mbaya sana. Ukiua kwa Upanga.
Marehemu kaka mtu na yeye si alikuwa anafanya tathimini kuwa tangu amuoe mwamamke huyo amufanyia mambo gani mazuri mke wake wacha naye bwana mdogo aliyemrithi mke huyo afanye tathimini ni mambo gani mazuri aliyomfanyia huyo mke wa kurithi kwanini asifurahie watoto anaozaa na huyo mke wa kurithi
 
Vipi kwani mke wa bwana yule karithiwa na mdogo wake? Sukuma gang mnaangaika kwa ngonjera,nahau na misemo ya kila aina.
Mama hana habari anaendelea kuupiga mwingi tu hayo mengine mtajua wenyewe.
 
abomination
C9E02FC4-956D-4C72-9D4A-F2E0F03013B8.jpeg
 
Vipi kwani mke wa bwana yule karithiwa na mdogo wake? Sukuma gang mnaangaika kwa ngonjera,nahau na misemo ya kila aina.
Mama hana habari anaendelea kuupiga mwingi tu hayo mengine mtajua wenyewe.
Tayari wa kwanza huyu hapa
 
Wanaupita huu uzi kwa uchungu sana. Ukweli unauma mkuu.
Kweli unafanya sherehe kumrithi mke wa kaka yako kama vile ulifurahia are urithi mkewe au mmeshirikiana na mkewe ili mumuue urithi?

Unasahahu hata kwenda kaburini wala kumkumbuka uko bize na mke wa kaka yako?
 
Hapa sitii neno ngoja nipite kimya kimya nikakae pale kona nisubiri comment za wadau ntarudi kukoment mwishoni.
Nami nasubiri.

Tena hutaki ajulikane ni mke wa urithi unasema huyu ni mke mpya wa awamu ya pili.
 
Moja ya mila za hovyo kabisa.
Kweli hizi mila za kurithi bila kupitia mchakato wa kuchumbia hazifai maana unapata mume mwenye uwezo mdogo wa kuendesha familia hatimaye madawa ya kulevya yanakuwa kwa wingi nyumbani na kuathiri watoto. Hatimaye mali za familia zinachukuliwa kiholela na wezi aliowadhibiti kaka.
 
Sa unafananisha siasa na mbususu🤣🤣🤣 Anyway walikuwa wakirithi hawapigi show? Wanawaangalia tu hao wake wa kurithi? Watoto waliotokana na wake wa kurithi bado walipewa ubini wa marehemu kaka?🤣🤣
Ndio inatakiwa wapewe ubini wa Marehemu sio kujifanya wapya
 
Kweli unafanya sherehe kumrithi mke wa kaka yako kama vile ulifurahia are urithi mkewe au mmeshirikiana na mkewe ili mumuue urithi?

Unasahahu hata kwenda kaburini wala kumkumbuka uko bize na mke wa kaka yako?
Katika kosa kaka alifanya ni kumwamini mdogo wake,kumpa siri zake kwa kudhani ni mdogo wake.Kumbe mwenzake alikuwa anamwonea kijicho kwa mkewe
 
Uwaambie majirani na ndugu wengine...sku hizi hakuna utamaduni...kwaamba....kaka anauawa tu na pia mke anarithiwa na bonge la harusi.....na baadhi ya watoto wake tunafukuza nyumbani...

Yeye si aliona ni bora kupora wake wadogo wa wenzie...na wengine kuwanunua.....kwa aftatu...


Famas hara nn!!!!
 
Back
Top Bottom