Huwezi kufanya sherehe ya harusi kwa mke wa kurithi kama hukuhusika na kifo cha kaka yako

Afrika yetu hii
 
Fanyeni maandamano,
 
Ndio inatakiwa wapewe ubini wa Marehemu sio kujifanya wapya
Marehemu ndo katungisha mimba? Aliyekufa kafa jamani, maisha lazima yaendelee, mke atarithiwa na atapewa mimba nyingine, watoto alowaacha watamtii na kumuita Baba huyo aliyemrithi mama Yao.
 
Naona sukuma gang wanampiga mafumbo bi shungi wakati wanajua kabisa mama hizo lugha ni sehemu ya utamaduni wake. Tukubali tu kuwa imeshatokea na yameshapita hayo mambo.
 
Jiwe gizani, watakurupuka huko mazima waanze mentioning wakati hakuna alotajwa names humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…