Huwezi kugombea Kiti kwa kumpaka matope mwenye Kiti, utapoteza hata kidogo ulichonacho

Huwezi kugombea Kiti kwa kumpaka matope mwenye Kiti, utapoteza hata kidogo ulichonacho

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Hiyo ni character assassination.

Tangu Lissu atangaze nia ya kugombea sijawahi kumsikia akiwapongeza viongozi wenzake waliopo as if hakuna kitu walichofanya, yeye ni lawama tu.

Lissu angekuwa na ustaarabu hata robo, angeanza kwanza kwa kupongeza juhudi zilizofanywa na mtangulizi wake Mbowe kwa miaka 33 hadi kukifikisha chama kilipo, then angeingiza sera zake.

Unapoanza kuwapaka matope viongozi uliowakuta na kudharau mipango ya chama unachotaka kukiongoza definitely unakosa halali wa kuwa kiongozi bora.

Lissu akubali kakosea, gia aliyoingia nayo siyo na kama kuna mtu alimshauri hivyo kampotosha, na akiendelea kushupaza shingo atakosa hata kidogo alichonacho.
 
Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣

Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.

Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.

CHADRAMA

Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..

Mie 🍿🍿🍿
 
Hiyo ni character assassination.

Tangu Lissu atangaze nia ya kugombea sijawahi kumsikia akiwapongeza viongozi wa Chadema waliopo as if hakuna kitu walichofanya, yeye ni lawama tu.

Lissu angekuwa na ustaarabu hata robo, angeanza kwanza kwa kupongeza juhudi zilizofanywa na mtangulizi wake Mbowe kwa miaka 33 hadi kukifikisha chama kilipo, then angeingiza sera zake.

Unapoanza kuwapaka matope viongozi uliowakuta na kudharau mipango ya chama unachotaka kukiongoza definitely unakosa halali wa kuwa kiongozi bora.

Lissu akubali kakosea, gia aliyoingia nayo siyo na kama kuna mtu alimshauri hivyo kampotosha, na akiendelea kushupaza shingo atakosa hata kidogo alichonacho.
CC: TAL
 
Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣

Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.

Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.

CHADRAMA

Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..

Mie 🍿🍿🍿
Inawezekana wame plan iwe hivyo lkn on the other hand kwanini watoe hadi siri za ndani za chama?

Ila nauona mwandiko wako unalaza kama wa Tlaatlaah .
 
Chadema sio chama cha uanaharakati sio chama cha mihemko sio chama cha kihuni ni chama cha siasa za kistaarabu.
Endeleeni kufanya Siasa za Kistaarabu huku mkiambulia kura asilimia 0.87 Serikali za Mitaa wakati wenzenu CCM ikipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99 🤗
 
Hiyo ni character assassination.

Tangu Lissu atangaze nia ya kugombea sijawahi kumsikia akiwapongeza viongozi wenzake waliopo as if hakuna kitu walichofanya, yeye ni lawama tu.

Lissu angekuwa na ustaarabu hata robo, angeanza kwanza kwa kupongeza juhudi zilizofanywa na mtangulizi wake Mbowe kwa miaka 33 hadi kukifikisha chama kilipo, then angeingiza sera zake.

Unapoanza kuwapaka matope viongozi uliowakuta na kudharau mipango ya chama unachotaka kukiongoza definitely unakosa halali wa kuwa kiongozi bora.

Lissu akubali kakosea, gia aliyoingia nayo siyo na kama kuna mtu alimshauri hivyo kampotosha, na akiendelea kushupaza shingo atakosa hata kidogo alichonacho.
Chengine kipi cha kutegemea kutoka kwa ndugu "LOPOLOPO"?!!

Si akili yake ,bali SAIKOLOJIA yake ndugu Tundu Lissu ni hatari sana kuwa nayo kiongozi mkubwa ndani ya familia....sembuse chama kikuu nchini ?!!!

Lissu ni "LOPOLOPO"
 
Hili kosa watu wengi wanafanya hata baba marehemu wa kule kanda ya ziwa alifqnya hili kosa,na hata kwenye dini na mdhehebu,soka viongozi wengi hufanya makosa ya kuponda waliopita.Mimi sio mtu wa siasa,ila hata sisi wenyewe kwenye maisha tujue kuna waliotangulia kwa wema na sisi tunaweza kukosea zaidi yao
 
Hiyo ni character assassination.

Tangu Lissu atangaze nia ya kugombea sijawahi kumsikia akiwapongeza viongozi wenzake waliopo as if hakuna kitu walichofanya, yeye ni lawama tu.
Awapongeze kwa kuhongwa na abdul? Pumbavu kweli wewe.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Hiyo ni character assassination.

Tangu Lissu atangaze nia ya kugombea sijawahi kumsikia akiwapongeza viongozi wenzake waliopo as if hakuna kitu walichofanya, yeye ni lawama tu.

Lissu angekuwa na ustaarabu hata robo, angeanza kwanza kwa kupongeza juhudi zilizofanywa na mtangulizi wake Mbowe kwa miaka 33 hadi kukifikisha chama kilipo, then angeingiza sera zake.

Unapoanza kuwapaka matope viongozi uliowakuta na kudharau mipango ya chama unachotaka kukiongoza definitely unakosa halali wa kuwa kiongozi bora.

Lissu akubali kakosea, gia aliyoingia nayo siyo na kama kuna mtu alimshauri hivyo kampotosha, na akiendelea kushupaza shingo atakosa hata kidogo alichonacho.
Lsu amelewa sifa!
 
Gia ya Lisu ilinishangaza sana,sijui alipatwa na nini

Unataka uenyekiti kwa kumshambulia hadharani Mwenyekiti na mipango ya chama chako
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Gia ya Lisu ilinishangaza sana,sijui alipatwa na nini

Unataka uenyekiti kwa kumshambulia hadharani Mwenyekiti na mipango ya chama chako
Kipaji chake cha "ulopolopo"...

TL ni bingwa wa KUROPOKA...

Sifa zake hizo ...
 
Subirini, uzuri uwe CDM au nani, Habari za LISSU mnazielewa na mnamwelewa vizuri tu.Katika watu ambao hutakiwi kufatilia shaka ni TUNDU LISSU.


Mwamba alopambana na wazungu wa Nyamongo ,ingali ni Wakili tu hata hajulukani, aliamua kupanda Bus, akaingia Mara, kwenda kuipambania Haki za Wakurya.

Ndo LISSU huyo , hapoi, hakubali kushindwa anapokuja katika kweli yake, na hapendi kuona MTU anaonewa.
 
Inawezekana wame plan iwe hivyo lkn on the other hand kwanini watoe hadi siri za ndani za chama?

Ila nauona mwandiko wako unalaza kama wa Tlaatlaah .
pepo la jpili limekuzongaee gentleman,

hata hivyo nimekuombea, hiyo hali itakwisha tu :pedroP:
 
Back
Top Bottom