Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unataka kura nyingi 99% jiunge na akina mchengerwa wa CCM hata mkitaka asilimia 100 mnazipata tu.Endeleeni kufanya Siasa za Kistaarabu huku mkiambulia kura asilimia 0.87 Serikali za Mitaa wakati wenzenu CCM ikipata ushindi wa kishindo wa asilimia 99 🤗
Unataka ligi ya matusi.Awapongeze kwa kuhongwa na abdul? Pumbavu kweli wewe.
Seriously huwa sielewi unaandikaga utoto gani.Mie naona hao drama 🤣🤣🤣🤣tu wameweka wapate attention ya wananchi then.............. Walete walichopanga iwe mshituko tena ati wanatoa 🤣🤣🤣🤣
Iweje Mwenyekiti (na wenye Chama) wasimsishushe cheo Makamu wake hadi leo au kufanya lolote aache kupiga mdomo wake tangu aanze.
Sijui katiba yao kutoana kukoje ila Mkiti angesukuma iwe hivyo tanguuuuuu kwa njia yoyote.
CHADRAMA
Nawaonea huruma mnaojipiga wa navyotaka kuwa jadili asubuhi hadi asubuhi.. hadi mmoja humu jana eti maisha sijui nini kisa chama hiki..
Mie 🍿🍿🍿
Kwani lazima ashinde yeye.CHADEMA imekuwa ya Kipuuzi sana, Na kama asiposhinda Lissu basi ndo itakuwa mwisho wa CHADEMA.
Kwani lazima ashinde yeye
Unalinganisha Chadema na Chauma.Nani kasema lazima ashinde?
Kwani lazima Chama kuendelea kupumua?, Akina CHAUMA nao si wapo na wanakula ruzuku
Hakika, nami nitajiunga nao soon kuelekea Uchaguzi Mkuu MwakaniKama unataka kura nyingi 99% jiunge na akina mchengerwa wa CCM hata mkitaka asilimia 100 mnazipata tu.
Unataka niilinganishe na Kwaya ya Mt. Gaudiosa au??Unalinganisha Chadema na Chauma.
Seriously huwa sielewi unaandikaga utoto gani.
Inawezekana wame plan iwe hivyo lkn on the other hand kwanini watoe hadi siri za ndani za chama?
Ila nauona mwandiko wako unalaza kama wa Tlaatlaah .
Walimdanganya apime kina cha maji ya mto kwa miguuLissu aliingia kupima upepo kwa kutangaza anayoita Mageuzi makubwa ndani ya chama - sasa wana CDM hawako hivyo kwamba hata kwa mabaya aliyofanya Mbowe anza basi walau kupongeza kazi nzuri ya Viongozi wenzako, baada ya hapo ndiyo utoe tamka unalotaka kusema.
Kifupi hakutoa tamko la nia bali yake yalikuwa ni mashambulizi na specifically kwa Mbowe.
Sasa Demokrasia itaamua CDM itaongozwa na nani.