Huwezi kujua ubaya wa kutawaliwa na CCM mpaka ujue kinachoendelea Kenya

Huwezi kujua ubaya wa kutawaliwa na CCM mpaka ujue kinachoendelea Kenya

Kuachana na ccm tu..ni ngumu sana kutambua mbongo anataka nini..? Muda wote ana shida ukijaribu kumtatulia atakubeza tena.,,kwa kifupi kila mtu abebe msalaba wake na familia yake...ikifika uchaguz vijana utazani wanaishi America..,full uchawa
Kitu muhimu sasa kwa watanzania siyo vyama, ni kujielewa, kujua haki zao na wajibu wao.

Mimi ni mwanaccm tangu asilia, ambapo binadamu wote ni ndugu na Tanzania pia Africa ni moja.

Hata hivyo, wanaobagua ni wanyama ambao tunatakiwa tuwadhibiti kwa gharama yoyote.
 
Mhh Kenya ina mengi

1. Uhuru wa Kenya ulikuja kwa ncha ya upanga,walimwaga damu nyingi sana ndio Mau maua.

Tanganyika ilipata uhuru ilikuwa kwa barua ya kusema sasa nimekuwa, nipe kilichochangu.

2.Kenya tokea Mkoloni ilitengenezwa kuwa kituo cha biashara,usafirishaji, viwanda,taasisi za fedha kwa Africa Mashariki na kati.

3. Lakini pammoja na hayo,imekuwa man eat man society.

4. Licha ya kutunga katiba ya vyama vingi lakini yasadikika kiongozi wa upinzani Laila Odiga ameshinda zaidi ya mara tatu lakini akiibiwa kura,na kusababisha ghasia uharibifu wa mali na mauwaji ya watu wengi.

5. Nachoshangaa Kenya ni kwanini siku zote itumike nguvu nyingi ya kupata haki zao?Wakati wao wametunga katiba nzuri yenye marekebisho au maboresho kadhaa?
 
ni kama tu ukitaka kujua ubaya wa CHADEMA muulize msigwa au Dr slaa au sumaye....

hebu jiulize tu....

inakuaje wanahubiri demokrasia na kupinga rushwa kwenye chaguzo, hali ya kwamba kwenye chama chao hawawezi kuishi hiyo demokrasia na wala kukemea rushwa kwenye chaguzi zao?🐒

mtu muaadilifu kama mchungaji msigwa, padre slaa, sumaye na wengineo wengi tu ambao wataondoka siku zijazo Chadema , hawawezi kuishi kwenye mazingira kama hayo tuwe wakweli tu Chadema Haifa hata kua na diwani au mbunge hata moja tu 🐒
 
Vijana wa kenya waje Tanzania na tuwape uraia fasta
Wanafaa sana... Salute kwao.
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
Dogo kwanini wewe usilianzishe ukawa sole Tanzanian Gen Z? Au na wewe ni zao lilelile la akina Mwijaku? Ahahahahaha!!!
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
MKUU HATA UKIWA NA MKE MSUMBFU UKIAMUA KUTKKA NJE TAFUTA MZURI ZAIDI YAKE

SASA NA UKUBWA HUUU MPAKA SASA KUNA CHAMA GAN CHA UPINZANI UNAWEZA KABIDHI ILE IKULU AMA UNATAKA TIPATE LAANA ZA WAJUKUU ZETUUUU???


N HAWA WAHUNI WANASHINDAN VYEO KANDANI??NI HAWA WAHUNI IKIBAKI MWAKA MMOJA WA UCHAGUZI UNASIKIA VYAMA VYA UPINZANI KUUNGANA

N HAWA HAWA WAHUNI IKIKARIBIA UCHAGUZI BAADHIYAO WANATOKA NA KUJENGA CHAMA.KIPYA WANABET KAMA WANAWEZA PATA MB WAKE RUZUKU

MKUUU KWA HILI KIDOGO UTUACHE NA CCM YETU

CCMMOYEEEEEE
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.

Ukiona unafurahia CDM kuongozwa na Div 0 ya Form 6, jua kabisa wewe ni pumbaf, kihiyo, zero brain, empty minded..!!

Kenya umeona walivyoharibu nchi yao na hakuna nchi Africa ina corruption kama Kenya, tena ishukuru sana CCM.

CCM imekupa uhuru, unaongea mitandaoni utakavyo, kwa furaha zako, saa hizi uko huru kwa amani tena una fanya utakalo, shukuru sana, bila CCM ungekuta saa hizi uko barabarani miguu mitupu, unakimbia, huna amani, usalama wa maisha yako haupo, njaa, ungekuwa hata kujua familia yako iko wapi usingejua, ungekuwa kama Sudan, Somalia, CAR, Mali, Gabon, Libya, Burkina Faso, Misri, Eretria, huko kote amani haipo kabisa, usifikiri wao hawataki amani na kuishi kwa uhakika, walikosea, walikuwa na akili kama zako za CHADEMA

Hivyo, ishukuru sana CCM na iombee kwa Mwenyezi Mungu, sisemi CCM is the perfect political party, no, ina matatizo yake kama Chama kingine chochote cha siasa duniani, hakuna Chama kiko perfect, but tukiangalia hali yetu na majirani zetu, sisi CCM NDIO MFANO BORA KABISA WA KUIGWA BARANI AFRICA NA NCHI ZINGINE DUNIANI, najua sbb hujatembea nchi mbalimbali duniani, huna exposure, uko narrow minded in practical politics za kujua uhalisia, unacheki You Tube, TV, online, unajua labda sisi Tz tuko vibaya sana, kumbe hujui mambo vema..

Ishukuru CCM na Serikali yake sana, leo usingekuwa hata humu una chat, nakwambia kabisa
 
Natamani indaliwe, thread hapa ya haya mambo ya CCM, sijui imefanya hivi imefanya vile. Twende nayo sawa. Tuwaelewe mnataka nini, natamani mtu afungue tutete kidogo. Tujue msimamo wenu.
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
Tuitoe CCM tuweke chama gani?
 
Kenya haiwezi kuwa standard yetu. Sisi tuliisha elewa UBAYA wa CCM miaka mingi sana ndiyo maana CCM wanaingia na Kuunda serikali kwa WIZI/MABAVU kila mwaka wa Uchaguzi.

Hata mwaka huu itakuwa hivyo hivyo tu.
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
This is a very big mis guidance

Wakenya wana serious gap between the poor and rich

Waziri wao anakwenda kwenye national tv kujisifia mkanda wa suruali wa milioni moja na saa ya 20m

Kenya history ni uzak wa ubepari , ukabaila na ukabila

You can’t learn from kenya

Please bring some rational analysis of our situation ndio uweke judgement

Critical analysis shows kwamba Kenya haijawahi BADILI chama, ime adili branda - uhuru, raila, ruto, mudavadi, saitoti, etc ni zao la Kanu na watandelea kufa wala hadi wakenya waamke
 
Watanzania wengi ni mazezeta sababu kubwa ni CCM.

Nyerere aliangamiza hi nchi kwa ujamaa uchwara.

Mkapa na Kikwete wakairudisha nchi kwenye reli, akaja Magufuli ndyo akaizika kwa udikteta uchwara.

Ukifanya tasmini ya haraka majimbo yaliyokuwa yanaongozwa na upinzan yalipata mwamko wa maendeleo
Pole zezeta
 
Tulisifia sana demokrasia, uchaguzi na katiba ya Kenya

Why si the house on fire?
 
Kwamba Kenya ndio SI Unit ? (Hapo takwambia you are aiming for mediocrity) Why Kizazi cha Kenya Gen Z kimeshituka sasa ambapo huku huenda itakuwa Generation Alpha ? (Sababu wale vijana wao; hakuna ujira wala future prospects na gap ya have and have nots ni kubwa kuliko huku, they have reached point of no return).., huku ndipo tunapoelekea...

Now kuhusu CCM na upinzani; Politicians wote are out of touch na hawaaminiki kwahio huenda mtu anaona ni kupoteza muda na resources kubadilisha mvinyo kwenye chupa ileile..., By the way hata vyama vya Kenya kuchukua nchi vimekuwa ni vyama tofauti kwa majina kila mwaka ila ni characters walewale...

Kwahio kuhusu kinachotokea kule kutokea huku..., kama status qou haitabadilika tegemea soon rather than later na huu upuuzi ukiendelea yatatokea ya French Revolution... (It's a ticking time Bomb)
 
Nyie mnayo hii?
 

Attachments

  • IMG_8159.jpeg
    IMG_8159.jpeg
    254.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom