Huwezi kujua ubaya wa kutawaliwa na CCM mpaka ujue kinachoendelea Kenya

Huwezi kujua ubaya wa kutawaliwa na CCM mpaka ujue kinachoendelea Kenya

Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
Salute sana
 
Kwamba Kenya ndio SI Unit ? (Hapo takwambia you are aiming for mediocrity) Why Kizazi cha Kenya Gen Z kimeshituka sasa ambapo huku huenda itakuwa Generation Alpha ? (Sababu wale vijana wao; hakuna ujira wala future prospects na gap ya have and have nots ni kubwa kuliko huku, they have reached point of no return).., huku ndipo tunapoelekea...

Now kuhusu CCM na upinzani; Politicians wote are out of touch na hawaaminiki kwahio huenda mtu anaona ni kupoteza muda na resources kubadilisha mvinyo kwenye chupa ileile..., By the way hata vyama vya Kenya kuchukua nchi vimekuwa ni vyama tofauti kwa majina kila mwaka ila ni characters walewale...

Kwahio kuhusu kinachotokea kule kutokea huku..., kama status qou haitabadilika tegemea soon rather than later na huu upuuzi ukiendelea yatatokea ya French Revolution... (It's a ticking time Bomb)
🎯🎯🎯💥
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.
Hizo sababu chache zinawatofautisha kwa umbali sana na waTanzania.
 
Mkuu acha kufananisha Nchi na kijiji.
 
ni kama tu ukitaka kujua ubaya wa CHADEMA muulize msigwa au Dr slaa au sumaye....

hebu jiulize tu....

inakuaje wanahubiri demokrasia na kupinga rushwa kwenye chaguzo, hali ya kwamba kwenye chama chao hawawezi kuishi hiyo demokrasia na wala kukemea rushwa kwenye chaguzi zao?🐒

mtu muaadilifu kama mchungaji msigwa, padre slaa, sumaye na wengineo wengi tu ambao wataondoka siku zijazo Chadema , hawawezi kuishi kwenye mazingira kama hayo tuwe wakweli tu Chadema Haifa hata kua na diwani au mbunge hata moja tu 🐒
Hata wewe siku ukitoka huko uliko utasema CCM wabaya sana na hv na vile ili uwafurahishe unakokwenda pengine upate uteuzi kama haujateuliwa. Hata siku ndoa yako ikikushinda utamsema mwenzio mabaya yake hata kama hayapo ili watu wakuone bora. Hautasema baya lako hata moja. Ndo Msigwa alikuwa ameshalamba dau ulitaka asemeje?. Na dhambi hiyo itamtafuna. Na anajua na anajutia unafiki wake. WOKOVU SIYO MCHEZO. "Shina la mabaya ya kila aina ni kupenda pesa" CCM alikoenda hakuna rushwa? Ataikomesha?
 
Hata wewe siku ukitoka huko uliko utasema CCM wabaya sana na hv na vile ili uwafurahishe unakokwenda pengine upate uteuzi kama haujateuliwa. Hata siku ndoa yako ikikushinda utamsema mwenzio mabaya yake hata kama hayapo ili watu wakuone bora. Hautasema baya lako hata moja. Ndo Msigwa alikuwa ameshalamba dau ulitaka asemeje?. Na dhambi hiyo itamtafuna. Na anajua na anajutia unafiki wake. WOKOVU SIYO MCHEZO. "Shina la mabaya ya kila aina ni kupenda pesa" CCM alikoenda hakuna rushwa? Ataikomesha?
that's politics s🐒

politics is all about interests 🐒
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
 
Siyo kwamba Wakenya ni tofauti Sana na wananchi wa nchi nyingine Afrika bali angalau wao Kila wakati wanaweka rekodi kuelekea jamii huru na yenye watu wenye utimamu wa akili.

Hebu jiulize:

Vyuo Vikuu vya Kenya vimezalisha kizazi cha Gen Z kilicho makini na chenye kupigania usawa kwenye nchi yao. Wakati vyuo vikuu vya Tanzania vinazalisha watu wa aina ya Mwijaku..

Mahakama ya Kenya iliwahi kufuta uchaguzi wa Rais, hapa kwetu mahakama imechukua miaka zaidi ya mitatu kujua tu Kama kina Halima Mdee wapo kisheria Bungeni ama lah!

Ukiona unafurahia CCM kuwepo madarakani, jua wewe ni yule mmoja kati ya wale watanzania wanne.
GSWMzCCWMAAKtIO.jpg
 
Back
Top Bottom