Huwezi kusema Simba waitwe Bungeni kupongezwa, wapongezwe kwa lipi?

Huwezi kusema Simba waitwe Bungeni kupongezwa, wapongezwe kwa lipi?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Simba kuishia robo ndiyo malengo yao, hakuna wa kushangaa kwa hicho walicho kivuna nafikiri hata kwenye maandalizi yao na benchi la ufundi ndiyo hicho.

Hakuna sababu ya kumpa pongezi mtoto ambaye Kila mwaka anakuwa wa kumi darasani hauwezi kumpa pongezi hata kidogo kwa maana hakuna maendeleo anayoyafanya.

Ila utampa pongezi Kama Kila siku unaona improvement (maendeleo) kutoka nafasi ya kumi kapanda mpaka nane (8) na kuendelea, hakika utakua mchoyo endapo usipo mpa pongezi (kumwagia maua yake).

Huwezi kusema kuwa simba waitwe bungeni wapongezwe Sasa wapongezwe kwa lipi? Ni hatua gani au record gani wameivunja ya kushangaza mpaka waitwe bungeni wapongezwe?

Tukubali tukatae Simba walijiandaa kisaikolojia kuishia pale wanapoishia kila siku (kila msimu).

Kauli ya kusema kuwa kutolewa tumetolewa lakini tumetolewa kwa mbinde hiyo siyo kauli thabiti katika football.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Simba kuishia robo ndiyo malengo yao, hakuna wa kushangaa kwa hicho walicho kivuna nafikiri hata kwenye maandalizi yao na benchi la ufundi ndiyo hicho.

Hakuna sababu ya kumpa pongezi mtoto ambaye Kila mwaka anakuwa wa kumi darasani hauwezi kumpa pongezi hata kidogo kwa maana hakuna maendeleo anayoyafanya.

Ila utampa pongezi Kama Kila siku unaona improvement (maendeleo) kutoka nafasi ya kumi kapanda mpaka nane (8) na kuendelea, hakika utakua mchoyo endapo usipo mpa pongezi (kumwagia maua yake) .

Huwezi kusema kuwa simba waitwe bungeni wapongezwe Sasa wapongezwe kwa lipi??
Ni hatua gani au record gani wameivunja ya kushangaza mpaka waitwe bungeni wapongezwe?

Tukubali tukatae Simba walijiandaa kisaikolojia kuishia pale wanapoishia Kila siku(Kila msimu).

Kauli ya kusema kuwa kutolewa tumetolewa lakini tumetolewa kwa mbinde hiyo siyo kauli thabiti katika football haina tofauti na baunsa aliyebakwa Kisha kusema kuwa wamenibaka kwa mbinde sana.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Inashangaza sana mkuu

Kolo hataki anapigwa akitaka atapigwa
1682746604440.jpg
 
Simba kuishia robo ndiyo malengo yao, hakuna wa kushangaa kwa hicho walicho kivuna nafikiri hata kwenye maandalizi yao na benchi la ufundi ndiyo hicho.

Hakuna sababu ya kumpa pongezi mtoto ambaye Kila mwaka anakuwa wa kumi darasani hauwezi kumpa pongezi hata kidogo kwa maana hakuna maendeleo anayoyafanya.

Ila utampa pongezi Kama Kila siku unaona improvement (maendeleo) kutoka nafasi ya kumi kapanda mpaka nane (8) na kuendelea, hakika utakua mchoyo endapo usipo mpa pongezi (kumwagia maua yake).

Huwezi kusema kuwa simba waitwe bungeni wapongezwe Sasa wapongezwe kwa lipi? Ni hatua gani au record gani wameivunja ya kushangaza mpaka waitwe bungeni wapongezwe?

Tukubali tukatae Simba walijiandaa kisaikolojia kuishia pale wanapoishia kila siku (kila msimu).

Kauli ya kusema kuwa kutolewa tumetolewa lakini tumetolewa kwa mbinde hiyo siyo kauli thabiti katika football.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vip kuhusu timu yako iliyo tolewa raudi ya pili ya mashindano?
 
Simba kuishia robo ndiyo malengo yao, hakuna wa kushangaa kwa hicho walicho kivuna nafikiri hata kwenye maandalizi yao na benchi la ufundi ndiyo hicho.

Hakuna sababu ya kumpa pongezi mtoto ambaye Kila mwaka anakuwa wa kumi darasani hauwezi kumpa pongezi hata kidogo kwa maana hakuna maendeleo anayoyafanya.

Ila utampa pongezi Kama Kila siku unaona improvement (maendeleo) kutoka nafasi ya kumi kapanda mpaka nane (8) na kuendelea, hakika utakua mchoyo endapo usipo mpa pongezi (kumwagia maua yake).

Huwezi kusema kuwa simba waitwe bungeni wapongezwe Sasa wapongezwe kwa lipi? Ni hatua gani au record gani wameivunja ya kushangaza mpaka waitwe bungeni wapongezwe?

Tukubali tukatae Simba walijiandaa kisaikolojia kuishia pale wanapoishia kila siku (kila msimu).

Kauli ya kusema kuwa kutolewa tumetolewa lakini tumetolewa kwa mbinde hiyo siyo kauli thabiti katika football.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Bingwa wa robo fainali.....teh teh.
 
Vip kuhusu timu yako iliyo tolewa raudi ya pili ya mashindano?
Yaani utadhani kutolewa kwenye hatua za mwanzo kwa Yanga kuna faida yoyote kwenye Simba kutolewa kwenye robo fainali..!!! Ambako wanatolewa mara ya ngapi sijui..!!

By the way, pongezi za kufika robo fainali, ni pale walipofanya hivyo kwa mara ya kwanza. Hiwezi pongezwa kwa kubaki pale pale kila siku..!!
 
Yaani utadhani kutolewa kwenye hatua za mwanzo kwa Yanga kuna faida yoyote kwenye Simba kutolewa kwenye robo fainali..!!! Ambako wanatolewa mara ya ngapi sijui..!!

By the way, pongezi za kufika robo fainali, ni pale walipofanya hivyo kwa mara ya kwanza. Hiwezi pongezwa kwa kubaki pale pale kila siku..!!
Upo sahihi mkuu [emoji3578]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom