Huwezi kushindana na Haji Manara

Huwezi kushindana na Haji Manara

IMG-20241115-WA0050.jpg
 
Haji Manara aka Haji Matrophy . Shareef El Buggati. Shareef Makombe.

Shareef Makarama.

Yanga itapaa kwa viwango vya juu sana. INJINIA na Haji sasa mambo powa.

Alichokisema Haji ni kwamba Hamtaki Gamondi Yanga.

Tabu iko pale pale.

# Haji ni mtoto wa Jini.

Uzi usiunganishwe please naleta madini soon.
Kwa akili kama hizi mpira wa Tanzania una safari ndefu sana
 
Nmegundua kwanini unapiga vita elimu bora
Kwa sababu elimu yako haijakusaidia. Huwezi kudili na mambo ya Simba na Yanga kwa kutumia akili kubwa. Mambo ya ujinga ujinga kama mambo ya mpira wa Simba na Yanga unadili nayo kwa kutumia akili ndogo. Jifuzne kusoma " energy" . Ukijua kusoma " energy" utajua kutofautisha between OVER ALL an ALL OVER.
 
huu uzi umenikumbusaha swali aliloulizwa Jinni mmoja wa hapa JF kuhusu Manara. Alijibu hivi:

Yupo sahihi kabisa. Manara katika ulimwengu wa roho sio mtu mdogo. Kitukuu wa Mtume yule.

Kuna kabila fulani njia ya kusini wana amini " Albino ni watoto wa majini" kama nataka kuwaelewa elewa vile.
 
Kwa sababu elimu yako haijakusaidia. Huwezi kudili na mambo ya Simba na Yanga kwa kutumia akili kubwa. Mambo ya ujinga ujinga kama mambo ya mpira wa Simba na Yanga unadili nayo kwa kutumia akili ndogo. Jifuzne kusoma " energy" . Ukijua kusoma " energy" utajua kutofautisha between OVER ALL an ALL OVER.
Mbona unajieleza sana mzee hebu tumia elimu kufupisha maelezo.
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Back
Top Bottom