Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mwanayanga..Endeleeni kumjaza...
Kwanini mkuuWe ni mwanayanga..
Kwa akili kama hizi mpira wa Tanzania una safari ndefu sanaHaji Manara aka Haji Matrophy . Shareef El Buggati. Shareef Makombe.
Shareef Makarama.
Yanga itapaa kwa viwango vya juu sana. INJINIA na Haji sasa mambo powa.
Alichokisema Haji ni kwamba Hamtaki Gamondi Yanga.
Tabu iko pale pale.
# Haji ni mtoto wa Jini.
Uzi usiunganishwe please naleta madini soon.
Anawavutisha shisha na kuwatongozea mademuMi naona kama wachezaji wanamkubali Manara hivyo wanaamua tu kucheza under perfomance kama mgomo kutaka Manara abaki kwenye timu, huyo Manara kama ana nyota hio asaidie tupate kombe la dunia.
Niliambiwa mTanzania ukimuuliza swali na yeye anakuuliza swali ,🤣 sasa nimeamini..Kwanini mkuu
Mimi najulikana humu humu nipo mrengo gani..ndo maana nikataka kujua sbb. 🤣 🤣 🤣 🤣Niliambiwa mTanzania ukimuuliza swali na yeye anakuuliza swali ,🤣 sasa nimeamini..
Wachezaji ni kama hawakumtaka kocha, hakuna cha Manara ana nyota...Anawavutisha shisha na kuwatongozea mademu
Kwa kweli huendani na Yanga... Kama upo yanga hama haraka...Mimi najulikana humu humu nipo mrengo gani..ndo maana nikataka kujua sbb. 🤣 🤣 🤣 🤣
Huoni ukaaji wake anakalia tako moja, kazi ya Mzee Tozi wa bandarini hiyo.Manara ni kama shoga ivi
Kwa sababu elimu yako haijakusaidia. Huwezi kudili na mambo ya Simba na Yanga kwa kutumia akili kubwa. Mambo ya ujinga ujinga kama mambo ya mpira wa Simba na Yanga unadili nayo kwa kutumia akili ndogo. Jifuzne kusoma " energy" . Ukijua kusoma " energy" utajua kutofautisha between OVER ALL an ALL OVER.Nmegundua kwanini unapiga vita elimu bora
Yupo sahihi kabisa. Manara katika ulimwengu wa roho sio mtu mdogo. Kitukuu wa Mtume yule.huu uzi umenikumbusaha swali aliloulizwa Jinni mmoja wa hapa JF kuhusu Manara. Alijibu hivi:
Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho
Heri, Wote tulizaliwa tukijua tumegawanyika sehem tatu yaani roho,nafsi na mwili kwa mujibu wa kitabu.Ila kusudi la Muumba lilikuwa wote tuwe MOYO (moyo safi) kwa mujibu wa mathayo 5:8 (Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.) na mithali 4:23 (Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo...www.jamiiforums.com
Kwa leseni ya ukocha niliyonayo usirudie tena kusema hivyowewe ndio huna akili ya mpira
Mbona unajieleza sana mzee hebu tumia elimu kufupisha maelezo.Kwa sababu elimu yako haijakusaidia. Huwezi kudili na mambo ya Simba na Yanga kwa kutumia akili kubwa. Mambo ya ujinga ujinga kama mambo ya mpira wa Simba na Yanga unadili nayo kwa kutumia akili ndogo. Jifuzne kusoma " energy" . Ukijua kusoma " energy" utajua kutofautisha between OVER ALL an ALL OVER.
Kikichoendelea man u na Chelsea kwa muongo mmoja uliopita siyo ujinga ujinga?Ndio maana wengine hata kushabikia mpira wa bongo ni nadra sana, upumbavu mwingi tu hakuna lolote..