SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Unaongeza nguvu za kiume.Hivi mpira una faida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongeza nguvu za kiume.Hivi mpira una faida gani?
Akamatwe harakaHuoni ukaaji wake anakalia tako moja, kazi ya Mzee Tozi wa bandarini hiyo.
Kuna mwamba mmoja humu alikuja na uzi akisema mpira wa ulaya umeshuka kiwango na kudai mpira wa bongo umekuwa kuliko wa ulaya 😂😂 kuna watu kweli wanachekesha humu 🤣🤣Ndio maana wengine hata kushabikia mpira wa bongo ni nadra sana, upumbavu mwingi tu hakuna lolote..
Ni kitu gani hicho mkuu?Kikichoendelea man u na Chelsea kwa muongo mmoja uliopita siyo ujinga ujinga?
Tanzania inazidi kupoteza watu wenye utimamu wa akili sasa ulichoaandika hapa kina mantiki gani ?Haji Manara aka Haji Matrophy . Shareef El Buggati. Shareef Makombe.
Shareef Makarama.
Yanga itapaa kwa viwango vya juu sana. INJINIA na Haji sasa mambo powa.
Alichokisema Haji ni kwamba Hamtaki Gamondi Yanga.
Tabu iko pale pale.
# Haji ni mtoto wa Jini.
Uzi usiunganishwe please naleta madini soon.
Yule wa mzee toziHaji Manara yupi???Au yule ambae mzee Magoma alisema akilewa huwa anajibinua na kujiangusha angusha?
Bongo in short kuna ushabiki bendera fuata upepo ila kinacho chezwa uwanjani ni vituko vitupuKwa akili kama hizi mpira wa Tanzania una safari ndefu sana
Mtaje huyo mtu tuanze kumsaka maana zama za ujinga ujinga hatutaki iendelee.Kuna mwamba mmoja humu alikuja na uzi akisema mpira wa ulaya umeshuka kiwango na kudai mpira wa bongo umekuwa kuliko wa ulaya 😂😂 kuna watu kweli wanachekesha humu 🤣🤣
Na nyote maswali yenu hayana '?'Niliambiwa mTanzania ukimuuliza swali na yeye anakuuliza swali ,🤣 sasa nimeamini..
Kweli kabisa.Na nyote maswali yenu hayana '?'
Mshafeli
Ualimu wa Hesabu na physics 🤣🤣🤣Kweli kabisa.
Ulisoma fani gani?
Huweki nukta mwishoni mwa sentensi.Na nyote maswali yenu hayana '?'
Mshafeli
Dahh umefanya nivute picha ya mikaobyakeHuoni ukaaji wake anakalia tako moja, kazi ya Mzee Tozi wa bandarini hiyo.
Sasa mbona unawazidi mbali waalimu wenzako wanaofundisha kiswahili na English, why?Ualimu wa Hesabu na physics 🤣🤣🤣
Mie sio mwalimu wa GenZSasa mbona unawazidi mbali waalimu wenzako wanaofundisha kiswahili na English, why?
TABORA
AZAM
Hiki kizazi sijui kikoje, yaani GenZ unaweza kumtambua Kwa mwandiko tu.Mie sio mwalimu wa GenZ