Huwezi kutajirika kwa kutegemea mshahara, mishahara ni ya wa miaka 20s 30s na married women

Huwezi kutajirika kwa kutegemea mshahara, mishahara ni ya wa miaka 20s 30s na married women

Sasa hapo mkuu umeanza kutupiga kamba, mshahara wa raisi ni 36m balozi 30m mkuu wa mkoa 5m mkurugenzi wa shirika la ummah 5m to 10m. Sasa huyu ni zaidi ya watumishi wote, kama sio fisadi tu......wale wa IT experts wa mitando ya simu wanskua catogorised as rare specialist na wana ajiliwa kwa mda maalumu usio zidi miaka miwili
Unataka kusema CEO wa bank ya serikali analipwa 5M?
 
Unataka kusema CEO wa bank ya serikali analipwa 5M?
Serikali haina benki yake zote una ubia na watu, na ma benki mengi CEO anakua share holder gawio lake anapata vizuri sio mshahara.
 
Mkuu leta hoja sio matusi dhibitisha hayo unao sema mkuu acha hasira mshahara wa 113m na alliwance ya 7m kwa kijana wa miaka 30 hapa nchini ni kama chai mkuu we dhibitisha kwa kutupa mifano halisi.
Unataka nikuonyeshe contract yake au salary slip yake? Shida mmekaa tu serikalini hata makampuni makubwa mapya yanayolipa hamyajui. Nilikupa assignment tafuta watu wanaoitwa Lipton Teas and Infusions lakini kwakuwa umekazania kubishana tu hata hukufanya hivyo.

Wewe endelea kudumaa hapo serikalini uchukue laki zako tano ila ujue wenzako wanakula noti mzee.
 
Unataka nikuonyeshe contract yake au salary slip yake? Shida mmekaa tu serikalini hata makampuni makubwa mapya yanayolipa hamyajui. Nilikupa assignment tafuta watu wanaoitwa Lipton Teas and Infusions lakini kwakuwa umekazania kubishana tu hata hukufanya hivyo.

Wewe endelea kudumaa hapo serikalini uchukue laki zako tano ila ujue wenzako wanakula noti mzee.
Mkuu lipton ni kampuni za majani ya chai green tea, sidhani wanaweza kulipa kiasi hicho, hata Gold mine sio rahisi kulipa kiasi hicho, sawa unaweza ukawa alikuambia hivo ila uwe makini, sijui jinsia yako anyway, just be careful watu wa wongo wakiwa na la kwao.
 
Serikali haina benki yake zote una ubia na watu, na ma benki mengi CEO anakua share holder gawio lake anapata vizuri sio mshahara.
Kwahiyo kwa TCB huyu CEO aliyetoka DTB akaenda TCB yeye ni share holder?
 
Adam Mihayo
Huyu kapelekwa pale kusimamia hisa na intrest za serikali ni mtumushi wa ummah, analipwa kwa scale salaries za watumishi wa ummah, kwenye system ya share holders haumo sijamuona.
 
Mkuu mbona kila comment unaitaja serikali? Hujui kuna watu hawafanyi kazi serikalini? Halafu pia wala sio expert na wala sio specialist. Ni mbongo tu wa huko huko Nadonjuki tena mshkaji kijana tu wa 30s.
Jamaa kangangania serikalini kwakua experience yake Iko huko😂😂..Yani kachota maji baharini kwakutumia ndoo,akakuta ndani ya ndoo hakuna papa...ame conclude kuwa baharini hakuna papa😀😀
 
Huyu kapelekwa pale kusimamia hisa na intrest za serikali ni mtumushi wa ummah, analipwa kwa scale salaries za watumishi wa ummah, kwenye system ya share holders haumo sijamuona.
So aweza kua analipwa 5M kama unavyosema?
 
Nakupa mfano mdogo Sana!! Nmb anakopesha watumishi mpaka milioni 200!! Sasa mtu aliyechukua hizo 200 m !! Akanunua
1) rice grading mashine 35milion
2) akavuta tandam Moja 40mil
3) akavuta Massey fagason Moja 30 milioni
Akawekeza kwenye kilimo Cha mpunga na kuuchakata na kuupeleka Kenya na Uganda na south Sudan na sehemu akauza Michele DSM!! Unasemaje hapo!??
Twende taratibu mkuu. Ni watumishi wangapi wanaweza kukopesheka hadi mil 200?? Maana huyo anaye kopesheka kias hicho mshahara wake siyo chini ya mil 10 kwa mwezi
 
With master/CCIE or international certificates wapo wanalipwa net 10mil to 50mil and above hapa inategemea aina ya shirika na uzoefu wako wa kazi hapo ni nje ya bonus and marupurupu mengine watu wanakula hela wewe endelea kusema ni ya 20/30 useme hulipwi vzr
Hahahaaa Yani nyie jidanganyeni tuuuu
 
Back
Top Bottom