Huwezi kutajirika kwa kutegemea mshahara, mishahara ni ya wa miaka 20s 30s na married women

Huwezi kutajirika kwa kutegemea mshahara, mishahara ni ya wa miaka 20s 30s na married women

Mkuu lipton ni kampuni za majani ya chai green tea, sidhani wanaweza kulipa kiasi hicho, hata Gold mine sio rahisi kulipa kiasi hicho, sawa unaweza ukawa alikuambia hivo ila uwe makini, sijui jinsia yako anyway, just be careful watu wa wongo wakiwa na la kwao.
Jamii forum wajinga ni wengi mno!? Mtu anakwambia kampuni binafsi zinalipa 30 milioni mwambie akutaijie kama ataweza
 
Aisee nchi imeharibiwa sana na Majizi ya CHADEMA yasiweza kuwapa Nyumbu feedback ya pesa za join the chain
Kwa kwel Mama atusaidie kuwadhibiti CHADEMA maana hawa CHADEMA wamepora ardhi ya wamasai na kuwapa waarabu huku wakiwatelekeza masai Msomera, CHADEMA wanalitumia jeshi la POLICE vibaya Kwa kuwateka makada wa CCM, CHADEMA wamekopa hadi deni la taifa limefika Trillion 91+++, CHADEMA wameongoza nchi Kwa zaidi ya Miaka 60 ya uhuru lakini mpaka Leo vyoo vya shule za msingi vinajengwa Kwa msaada wa Norway & Sweden, CHADEMA wamelihujumu taifa kwa muda mrefu Kwa kushindwa kuweka sera za muda mrefu za kulikwamua taifa kiuchumi, kuwasaidia vijana kupata ajira/ kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujiajiri hawa CHADEMA hawa💣
 
Kwa kwel Mama atusaidie kuwadhibiti CHADEMA maana hawa CHADEMA wamepora ardhi ya wamasai na kuwapa waarabu huku wakiwatelekeza masai Msomera, CHADEMA wanalitumia jeshi la POLICE vibaya Kwa kuwateka makada wa CCM, CHADEMA wamekopa hadi deni la taifa limefika Trillion 91+++, CHADEMA wameongoza nchi Kwa zaidi ya Miaka 60 ya uhuru lakini mpaka Leo vyoo vya shule za msingi vinajengwa Kwa msaada wa Norway & Sweden, CHADEMA wamelihujumu taifa kwa muda mrefu Kwa kushindwa kuweka sera za muda mrefu za kulikwamua taifa kiuchumi, kuwasaidia vijana kupata ajira/ kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujiajiri hawa CHADEMA hawa💣
Wajinga ndio waliwao,bora wewe umejitambua,endelea kuwaambia wenzie jinsi viongozi wa familia ya chadema wanavyowaibia wakiongozwa na Mbowe na mdogo wake wa kuzaliwa Bw.Lema.
Hongera sana kuukubali na kuorodhesha ukweli
 
Kuna watu wanalipwa zaidi ya 40mil kwa mwezi sijui hawa unawaweka kundi gani

Hao wanauza high value skills hawaulizwi na H.R kwa nini wamechelewa kazini.

Hivi unahisi H.R wa NMB ama CRDB anaweza muuliza Chief financial officer wa NMB ama CRDB kwa nini umechelewa kazini ?
 
Back
Top Bottom