CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Hasa wanasiasa wa Chadema wanaoiba mamilioni ya wachangishwaji michangoLabda sector binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa wanasiasa wa Chadema wanaoiba mamilioni ya wachangishwaji michangoLabda sector binafsi
Jamii forum wajinga ni wengi mno!? Mtu anakwambia kampuni binafsi zinalipa 30 milioni mwambie akutaijie kama atawezaMkuu lipton ni kampuni za majani ya chai green tea, sidhani wanaweza kulipa kiasi hicho, hata Gold mine sio rahisi kulipa kiasi hicho, sawa unaweza ukawa alikuambia hivo ila uwe makini, sijui jinsia yako anyway, just be careful watu wa wongo wakiwa na la kwao.
Kabisa, pia Kuna yale majizi ya CCM yanaiba rasilimali za nchi, wanauza wanyama & wanakopa mikopo Ili wakafanye festival walikozaliwaHasa wanasiasa wa Chadema wanaoiba mamilioni ya wachangishwaji michango
Hahahaha umemjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wakeKabisa, pia Kuna yale majizi ya CCM yanaiba rasilimali za nchi, wanauza wanyama & wanakopa mikopo Ili wakafanye festival walikozaliwa
Aisee nchi imeharibiwa sana na Majizi ya CHADEMA yasiweza kuwapa Nyumbu feedback ya pesa za join the chainKabisa, pia Kuna yale majizi ya CCM yanaiba rasilimali za nchi, wanauza wanyama & wanakopa mikopo Ili wakafanye festival walikozaliwa
Kwa kwel Mama atusaidie kuwadhibiti CHADEMA maana hawa CHADEMA wamepora ardhi ya wamasai na kuwapa waarabu huku wakiwatelekeza masai Msomera, CHADEMA wanalitumia jeshi la POLICE vibaya Kwa kuwateka makada wa CCM, CHADEMA wamekopa hadi deni la taifa limefika Trillion 91+++, CHADEMA wameongoza nchi Kwa zaidi ya Miaka 60 ya uhuru lakini mpaka Leo vyoo vya shule za msingi vinajengwa Kwa msaada wa Norway & Sweden, CHADEMA wamelihujumu taifa kwa muda mrefu Kwa kushindwa kuweka sera za muda mrefu za kulikwamua taifa kiuchumi, kuwasaidia vijana kupata ajira/ kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujiajiri hawa CHADEMA hawa💣Aisee nchi imeharibiwa sana na Majizi ya CHADEMA yasiweza kuwapa Nyumbu feedback ya pesa za join the chain
Hao tunaishi nao tuHahahaha umemjibu mpumbavu kulingana na upumbavu wake
Wajinga ndio waliwao,bora wewe umejitambua,endelea kuwaambia wenzie jinsi viongozi wa familia ya chadema wanavyowaibia wakiongozwa na Mbowe na mdogo wake wa kuzaliwa Bw.Lema.Kwa kwel Mama atusaidie kuwadhibiti CHADEMA maana hawa CHADEMA wamepora ardhi ya wamasai na kuwapa waarabu huku wakiwatelekeza masai Msomera, CHADEMA wanalitumia jeshi la POLICE vibaya Kwa kuwateka makada wa CCM, CHADEMA wamekopa hadi deni la taifa limefika Trillion 91+++, CHADEMA wameongoza nchi Kwa zaidi ya Miaka 60 ya uhuru lakini mpaka Leo vyoo vya shule za msingi vinajengwa Kwa msaada wa Norway & Sweden, CHADEMA wamelihujumu taifa kwa muda mrefu Kwa kushindwa kuweka sera za muda mrefu za kulikwamua taifa kiuchumi, kuwasaidia vijana kupata ajira/ kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujiajiri hawa CHADEMA hawa💣
Baso ni masikini tuKuna watu wanalipwa zaidi ya 40mil kwa mwezi sijui hawa unawaweka kundi gani
Kuna watu wanalipwa zaidi ya 40mil kwa mwezi sijui hawa unawaweka kundi gani
Ceo wa bank ya serikali analipwa milioni 15 kwa mweziUnataka kusema CEO wa bank ya serikali analipwa 5M?