Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Na wewe tunga qur an yako tuuone uwo urahisi
Hiyo ilitungwa ikaenezwa kwa majambia plus back then watu walikuwa wanaamini kijuha kwa kuwa uelewa in general na reasoning plus hakukuwa na scientific/geographical knowledge kama ilivyo sasa kituko ni watu wa zama hizi kuendelea kuamini huo upuuzi.
 
Jifunze kutenganisha hoja kwa upande mmoja na mtoa hoja kwa upande mwingine. Shambulia hoja na si mtoa hoja.
Nikusaidie kitu, huu mjadala ni mwepesi mno na kuendelea kuelimishwa Kama unavyotaka ni miongoni mwa matumizi mabaya ya akili.
Yaani uje uulize swali Kama Hilo halafu uite mjadala? Sasa mtu kama vitu vidogo tu Kama mavazi, chakula na sijui nyimbo unazinasibisha na uislam sasa hapo kweli kwa wenye akili si washajua tu wewe ni majnun? Ungesema unataka kuelewa dhana ya hivyo vitu ungeeleweshwa ila wewe umekuja na hitimisho kwahiyo hata ukieleweshwa ni kazi bure tu.
 
Naam. Mwanzilishi anaweza kuwa ni mwarabu .....
 

Ni sawa. Ni maoni yako. Uko huru kuyatoa. Lakini nilitegemea kwa uwezo wako mkubwa unaodai kuwa nao katika mambo haya. Ungeutumia kutuelimisha sisi ignorance katika eneo hilo. Ungehakik8sha kila hoja tuliyoitoa ungeidadavua kwa undani ili tusibaki na chembe yoyote ya shaka. Lakini tofauti yake unaingia kwenye mtego wa kushindwa kudhibiti hisia, unaanza kuchambua watoa mada. Jambo ambalo halitasaidia katika mjadala huu.

Katika wahu ambao wanajitahidi kujadili hoja ni Bwana Utam pekee. Anajitahidi kudhibiti hisia na kujielekeza kwenye hoja. Licha ya kuwa nyakati fulani tuna tofautiana kwenye citing authority.
 
Hata ukristo ni utamaduni wa wazungu hujamsikia Papa Francis akibariki ushoga? Africa na ushoga wapi na wapi?
Hapo Zbar, Tanga, Mombasa kwenye waislam zaidi ya asilimia 90 ndio kitovu cha ushoga+ ufiraji
 
Hiyo ilitungwa ikaenezwa kwa majambia plus back then watu walikuwa wanaamini kijuha kwa kuwa uelewa in general na reasoning plus hakukuwa na scientific/geographical knowledge kama ilivyo sasa kituko ni watu wa zama hizi kuendelea kuamini huo upuuzi.
Hakuna sehemu uislam umeenezwa kwa jambia ndio ujue sasa kama uislam umenyooka zama hizo mnazo sema zilikua za giza na munadai watu walilazimishwa kuwa waislam kwa mapanga haya na watu wa zama hizi za Nuru nao walilazimishwa na nani uislam umenyooka kijana
 
Shida wewe una hoja zako ambazo hazina ukweli halafu unataka watu wazi amini wakati uongo tunakueleza kwamba waarabu kabla ya uislamu walikua na mila zao hutaki kwamba walikua na mungu yao hutaki kwamba walikua na mavazi yao akiwemo mke wa mtume walikua hawajistiri hutaki kwamba walikua walevi na kuna kipindi walikua wana Sali wakiwa wamelewa hutaki sasa sijui tukueleweshe tukiwambia kwamba uislam haukuanzia kwa s a w hutaki sasa unataka nini kama huutaki ukweli kijana mimi sio mwepesi kupanic yaani ili ni panic labda unipige kiasi cha kutishia uhai wangu ila kwa maneno maneno haya aaah sijawahi kupanic namshukuru Allah kwa hili kanijaalia uwezo wa kuzuia hisia zangu hata kwa ni sio ya penda
 

Kwanza kabisa. Huwezi lazimisha swali liulizwe katika namna ambayo wewe unataka. Pia hakuna swali la kijinga. Kwa maana anayeuliza anataka kujua. Ila jawabu linaweza kuwa lisilo la uelevu.

Pia jifunze kutenganisha hoja kwa upande mmoja na mtoa hoja kwa upande mwingine. Usishambulie mtoa hoja bali shambulia hoja. Hilo linahusisha kudhibiti hisia.

Umetaja mambo mengi kuutafsiri uislam. Lakini bado huja cite authority. Hujaweka msingi wa mamlaka (cite authority), ili nasi fujielimishe. Umeongelea mambo mengi ambayo hayana msingi wenye mamlaka.

Binafsi bado nina maswali mengi tu. Lkn baadhi ni haya.
1. Vitabu vingine kabla ya Muhammad vilikuwa katika lugha zingine siyo kiarabu. Lakini vitabu hivyo vimetafsiriwa katika lugha zingine na bado mnaviamini. Lkn kwa kurwan ni marufuku kutafsiri. Kwa nini iwe hivyo?
2. Kwa nini ibada zenu kwa 99% zinaendeshwa kwa lugha ya kiarabu?
3. Pia majina ya waumini lazima yawe ya kiarabu, jambo linalopelekea kuua asili yao. Hapo ningeelewa endapo tu kurwan ingebaki kwa kiarab lkn majina yangebaki ya asili yao, hususan kwa waislam waishio nje ta ulimwengu wa kiarabu.
4. Kwa nini nabii Muhammad anasujudiwa zaidi kuliko nabii watangulizi wake? Nanabii wengine hawasikiki popote ila Muhammad anatajwa mara 5 kwa siku.
 

Haya mbona umeniambia kila wakati? Ninachotaka ni mamlaka ya kuonesha hayo unayoyasema. Yaani ushahidi.

Pia eleza ni aya inasema lazima uislam uabudiwe kwa kiarab? Hata kurwan isitafsiriwe kwa lugha nyingine?

Nijibu hayo kwa maelezo mafupi kabisa
 
Haya mbona umeniambia kila wakati? Ninachotaka ni mamlaka ya kuonesha hayo unayoyasema. Yaani ushahidi.

Pia eleza ni aya inasema lazima uislam uabudiwe kwa kiarab? Hata kurwan isitafsiriwe kwa lugha nyingine?

Nijibu hayo kwa maelezo mafupi kabisa
Unayataka ushahidi kwenye engo gani tuanzie hapa kwanza unajua maana ya kuabudu kijana na kuhusiana na qur an imetasiriwa kwa lugha zaidi ya 25 mzee
 
Unayataka ushahidi kwenye engo gani tuanzie hapa kwanza unajua maana ya kuabudu kijana na kuhusiana na qur an imetasiriwa kwa lugha zaidi ya 25 mzee

1. Uislam uliletwa kwa waarabu kama unavyoeleza. Waarabu walikuwa na dini yao.


2. eleza ni aya inayosema lazima uislam uabudiwe kwa kiarab? Hata kurwan isitafsiriwe kwa lugha nyingine?
 
Unataka kusema kwenye kujadili hizi dini mbili nayo inahitaji elimu kubwa?
 
Jifunze kutenganisha hoja kwa upande mmoja na mtoa hoja kwa upande mwingine. Shambulia hoja na si mtoa hoja.
Wafia dini ndivyo walivyo hususani wavaa makobazi,wakishazidiwa na hoja wameacha kuchangia hoja wanamshambulia mtoa hoja,so watu wa hivyo tumewazoea
 
1. Uislam uliletwa kwa waarabu kama unavyoeleza. Waarabu walikuwa na dini yao.


2. eleza ni aya inayosema lazima uislam uabudiwe kwa kiarab? Hata kurwan isitafsiriwe kwa lugha nyingine?
Kwanza kabla ya kuku jibu swali la kwanza unatakiwa ujue kwanza uislam haukuanzia kwa waarabu halafu zije nyenginezo na swali la pili liulize vyema kijana maana halija nyooka sababu uislam una ibada nyingi na ibada nyingi zinafanywa kwa lugha mbali mbali ukitoa tu ibada ya Sala sasa kwako unaongelea ibada zote ama unaongelea ibada ya Sala nyoosha maswali
 
Shida unashindwa kutofautisha majambo hizo architecture wala hazina nafasi yeyote kwenye uislamu uislam hata ukiamua kusali uwanjani unasali muhimu tu mahala unaposalia pawe Safi tohara hayo majengo ni kupendezesha tu wala hayana ulazima
Huna hoja 🚮,kwanin hayo majengo msiyajenge kwa muundo wa kanisa kama halihusiani na uarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…