Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hii inaitwa suratul qaafiruun kijana inaeleza namna s a w anawaleza waarabu wa makka kama sijakosea hao waarabu na hawakuwa waislam 1. Sema: Enyi makafiri!1. Uislam uliletwa kwa waarabu kama unavyoeleza. Waarabu walikuwa na dini yao.
2. eleza ni aya inayosema lazima uislam uabudiwe kwa kiarab? Hata kurwan isitafsiriwe kwa lugha nyingine?
Hayo ni maamuzi ya mtu ukiamua kujenga unajenga na wala hakuna shida kwenye hilo mfano Kuna baadhi ya makanisa baada ya kutelekezwa yakanunuliwa na waislam haya kuongeza kitu kubwa yalitolewa tu misalaba na kuwa misikiti watu wanasaliHuna hoja 🚮,kwanin hayo majengo msiyajenge kwa muundo wa kanisa kama halihusiani na uarabu
Eti quruan ni tofauti na kiarabu!😂Labda pengine kama ulikuwa hujui ni kwamba Qurani ni tofauti na Kiarabu...
Kuna Waarabu wasiojua Quran....
Muktadha wa Yale yaliyoandikwa kwenye Quran kuanzia irabu mpaka silabi Una tofauti na ule wa lugha ya Kiarabu
Ili Kufahamu kuwa hizi dini zimekuja kwa majahazi sidhani kama inahitaji elimu unayoisema,kwahiyo unataka nikakae madrasa?Sana sababu kama huna elimu kubwa lazma utapuyanga
Kama sio tofauti kusingekua na waalimu wa kufundishia qur an kwa hao waarabuEti quruan ni tofauti na kiarabu!😂
Qur an lazma uijue na kuisoma kwa asili yake ingawaje ukijua na tafsiri yake kwa lugha unayo ielewa inakua kheri ZaidiUnaweza kutenganisha Uarabu na uislam Quran sio Lazima usome ya Kiarabu unaweza kusoma ya Kiswahili sio lazima uvae Kanzu mbona kuna Waarabu Wakristo na pia kuna Biblia ya Kiarabu
Alokwambia ukakae madrasa nani mzee hio juu yako mwenyewe na nafsi yako kama utakaa sawa usipokaa sawa ingawaje unatakiwa ukiwa muongo uwe na kumbu Kumbu ndio maana kule juu nilikwambia eidha wewe hujazliwa ndani ya uislam ama hujausoma na huujui kabisa hata huo uislam sasa unataka ukakae madrasa ufanye kipi wakati kule juu ulituelezea kua ulikaa na ukausoma uislamIli Kufahamu kuwa hizi dini zimekuja kwa majahazi sidhani kama inahitaji elimu unayoisema,kwahiyo unataka nikakae madrasa?
Hii inaitwa suratul qaafiruun kijana inaeleza namna s a w anawaleza waarabu wa makka kama sijakosea hao waarabu na hawakuwa waislam 1. Sema: Enyi makafiri!
2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
4. Wala sitaabudu mnacho abudu.
5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu.
6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Umesahau kwamba hata Allah wao mwenyewe anaongea na kusikia kiarabu tu. Ukifanya maombi kwake kwa lugha nyingine hasikii na haelewi.
Ni mambo ya ajabu sana.
ASSIMILATION POLICY ya mwarabuWengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.
Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.
1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.
2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu
3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu
4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu
5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu
6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni
7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu
8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu
9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.
10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.
Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.
CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
1 unaelewa maana ya ibada kwanza kijana 2 muanzilishi yupi wa uislam alikua muarabu kama unamaanisha s a w basi unakosea sababu uislam haukuanzia kwake 3 qur an kweli imeandikwa kwa kiarabu ila uislamu haukuanzia kwenye qur an vilipita vitabu vingi kabla ya qur an 4 uislam hauna majina maalum kijana la msingi Jina liwe zuri hata happy unaweza ukajiita uislam sio Jina kijana 5 waarabu hakua na utamaduni wa kuvaa kwakujistiri kabla ya ujio wa qur an walikua wanavaa vaa tu hovyo hovyo 6 Majengo ndio nini kijana uislam hauna hizo mambo ndio maana watu wanasali popote pale muhimu pawe Safi tu 7 uislam hauna ibada ya musiki wala nyimbo kijana 8 uislam hauna mapishi ya kiarabu kijana uislamu una ruhusu kula chochote maadam ni halali na kizuri 9 Muziki sio sehemu ya sherehe za waislam kijana acha kupotosha watu 10 kabla ya uislam waarabu walikua hawazikani walikua wanafukiana tuuu mwisho waarabu wasiokua waislam nao tunawaeka upande gani wenyewe
Unaweza kutenganisha Uarabu na uislam Quran sio Lazima usome ya Kiarabu unaweza kusoma ya Kiswahili sio lazima uvae Kanzu mbona kuna Waarabu Wakristo na pia kuna Biblia ya Kiarabu
Hio qur an mzee nimeileta ndani ya lugha adhwimAsante kwa hii nukuu. Sasa hizi zinatoka kwenye hadith na sunnah za mtume au kurwan?
Bado sio dhambi kama atakusalimia shkamoo au salamu yeyote ileSasa huku mtaani hujui ni kiarabu au kiswahili au kizaramo. Mtu anakusalimia "SAMALEKU"
Unajiuliza hiki ni nini?
Sio mstari sema sura ya ngapi mistari ama aya zake kama uzionavyo hapo ila ni sura ya 109 qur an kama sijakosea ila yaitwa suratul qaafiruun sasa ndugu yangu ulipata wapi ujasiri wa kuanzisha uzi kama huu ikiwa hata sura fupi kama hio hukuwahi kuijua uwe unafanya kwanza risachNipe ni mstari wa ngap
Ikiwa yesu hakuingia kanisani basi ni wazi hakuwa mkiristo watueleze alieanzisha kanisa ni nani na wanaoingia kanisani ni nani ama ni wafuasi wanani
Aliye anzisha kanisa ni Paulo na hawa wanao ingia kanisani kwa sasa ni wafuasi wa paulo na waasi wa kanisa lilio anzishwa na paulo.Ikiwa yesu hakuingia kanisani basi ni wazi hakuwa mkiristo watueleze alieanzisha kanisa ni nani na wanaoingia kanisani ni nani ama ni wafuasi wanani