Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ndio maana nikakwambia hukuwahi kua muislam ama hukuujua uislam sababu kama ulikua muislam ukashindwa kujua jambo dogo tu kama hili la kua uislam haukuanzia kwa Waarabu wewe uliujuulia wapi uislam au ulikua muislam ganiHahahahaha kwahiyo wewe ulitaka ule uongo niliokaririshwa madrsa kuhusu allah niukiri hapa,Itakua na maana gan ya mimi kujitambua?,nimekuwekea na aya kabisa hapo halafu unakuja kuuliza eti sikuijua dini nisingeuliza kuhusu allah?!,acha ujinga watoto wako wakija kuona hizo comment halafu wakajua ni za baba yako watasikitika sana