Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

Wengi hawafahamu ya kuwa uislam ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Nachelea kusema hivyo kwa sababu wenyewe waislam wanasema uislam is a total way of life.

Kwa maana nyingine ni utamaduni jumla wa maisha ya watu. Mambo yafuatayo ndiyo yanayonifanya niamini kwamba uislam ni mpango wa waarabu ku assimilate watu wengine wafuate mila za kiarabu.

1. Lugha inayotumika kufanya ibada yao ni kiarabu.

2. Muanzilishi wa dini yao alikuwa muarabu

3. Kitabu chao kimeandikwa kwa lugha ya kiarabu

4. Majina ya waumini wao ni ya kiarabu

5. MAvazi ya waumini wao ni ya tamaduni za kiarabu

6. Majengo yao ya ibada yana mtindo au architectural design ya uarabuni

7. Ala za muziki zinazotumika katika nyimbo za ibada zao ni za asili ya kiarabu

8. Vyakula au mapishi (cuisine) ni ya kiarabu

9. Namna ya kucheza muziki wa sherehe zao ni za kiarabu.

10. Mirathi, ndoa na maziko ni desturi za kiarabu
Kuna mambo mengi ambayo ukiyachunguza yanaenda zaidi ya imani. Yana taka yawe katika ujumla wote wa maisha ya Mtanzania.

Changamoto ni kwamba, kwenye secular state ni ngumu sana kutekeleza desturi hizo, kwa maana serikali yetu haifungamani na dini yoyote.
Karibuni wadau katika kujadili hili mkiwa na akili huru.

CC: Bwana Utam kahtaan FaizaFoxy Kosugi
Kama hwezi tenganisha Uislam na Uarabu je Unawezaje kutenganisha Ukristo na Uzungu ?? Wakat wazungu nd namba moja katik kueneza Ukristo dunian na hata mamn mengi ya kikristo yanafanyw kimila za kizungu, ikiwemo hata hii christmass, mazehebu karibia yote ya kikristo yameanzishw na wazungu, mbona mnausakama sana Uislam alaf mnajisahau wenyew
 
Kama hwezi tenganisha Uislam na Uarabu je Unawezaje kutenganisha Ukristo na Uzungu ?? Wakat wazungu nd namba moja katik kueneza Ukristo dunian na hata mamn mengi ya kikristo yanafanyw kimila za kizungu, ikiwemo hata hii christmass, mazehebu karibia yote ya kikristo yameanzishw na wazungu, mbona mnausakama sana Uislam alaf mnajisahau wenyew

Ukristo hautumii desturi za kizungu, hususan lugha na majina.
Tofauti na uislam ambao ni uarabu kabisa
 
Kama hwezi tenganisha Uislam na Uarabu je Unawezaje kutenganisha Ukristo na Uzungu ?? Wakat wazungu nd namba moja katik kueneza Ukristo dunian na hata mamn mengi ya kikristo yanafanyw kimila za kizungu, ikiwemo hata hii christmass, mazehebu karibia yote ya kikristo yameanzishw na wazungu, mbona mnausakama sana Uislam alaf mnajisahau wenyew
Shangaa na wewe mkuu
 
Shangaa na wewe mkuu

Kurudia rudia maneno yale yale mara 5 kwa siku kwa lugha isiyo eleweka inafanya wengi wahisi ni namna ya ibada yenye ubaguzi. Inabagua watu wasiojua lugha ya kiarabu
 
Back
Top Bottom