Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hili jina anatakiw apewe mwanamke anae inspire wengine kwa kiasi kikubwa kama klyn Mengi, faraja nyarandu, Doris mollel ila Hawa wazee was kudanga ndo wanaligombania
HahahaWe have a long way to go. Huyu ndo mkuu wa mkoa anaongea upuuzi tu. Mwenyezi Mungu tulikukosea nini sisi watanzania kama hawa ndo viongozi wetu!
Maujinga ujinga tu yaan kuongelea vitu hata havina maana kwa sehemu alipo yeyemm leo ndo nnaaamin ana vichembechembe huyu..hizo teams waachiwe vijana..tena wasio na ajira wachambane weee!llakn dume zima kushadadia upupu jamani!..mm ndo nasikia kwako kumbe hamisa ndo sweetheart wa tz!🙂🙂 hongera zake
Kwa hiyo wewe hapa unapocomment huna la kufanya?mm siwez ifungua kwanza hii video kwasababu SIAMINI!hv makonda hana la kufanya jaman!yaan naye kajiweka kwenye matimu ya kipuuzi km haya???????? duh!
asante Mungu kwakunpa mume ambaye hana mauzauza km haya!ukute mkewe hana ht hizo team!dah!
HIVI NITIMAMU HUYU KWELI!amewadhadhalisha sana wasukuma huyu!//mxiew
Kabisa Mkuu!PAUL MAKONDA MWENYE DAR ES SALAAM YAKE.
anyway nje ya ukuu wa mkoa nae ni mwanadamu ana hisia zake pia katika maisha ya kawaida.Tusiwe tunahukumu kila jambo bila sababu
Linaongeagaga kama lina maji mdomoni!
Ulimi mzito hadi kichefuchefu kulisikiliza!
Kwa hiyo wewe hapa unapocomment huna la kufanya?
Tusijidanganya Mkuu wa mkoa sijui waziri wote ni binadamu wana vitu wanavipenda kwenye burudani. Kuna wengine wanapenda muziki, bongo movies na wengine mpira wa miguu. Kwa hiyo sishangai mkuu wa mkoa kuongelea hilo swala provided hajaongea kama mkuu wa mkoa ameongea yeye kama yeye binafsi, kwa wakati na mazingira sahihi na husika.
Tusitake kuwadisown viongozi wetu kwenye jamii. Unakuta mtu anasema Makonda anaongelea vitu vya kipumbavu unajiuliza je inamaana hata yeye anafuatilia upumbavu? Kweli unataka kusema wote tuliopo kwenye jukwaa hili ni wapumbavu? Wote tunaocomment hapa ni wapumbavu? Je ingekuwaje kama angekuwa ameongelea simba na yanga? Au mtibwa na Mbeya city? Au Ali kiba na Diamond?
Hao akina Wema na Hamissa ni Socialites mtu yeyote aliyepo mtandaoni na mpenda burudani anawafahamu. Why not Makonda?
Nashangaa watu pia wanaingiza siasa pia hivi mmesahau Wema alivyokamatwa na bangi viongozi wote wa upinzani walikuwa upande wake? Akina Tundu Lissu, Kibatala ndiyo waliokuwa wanakwenda kumtetea? Halafu mahakama ikawa inafurika akina mbowe, Lowassa, Mnyika, Bulaya, Mdee nk? Ilikuwa upumbavu? Mbowe alikuwa anashinda na Wema kama PS wake tushasahau.
Hahaha hongeramm siwez ifungua kwanza hii video kwasababu SIAMINI!hv makonda hana la kufanya jaman!yaan naye kajiweka kwenye matimu ya kipuuzi km haya???????? duh!
asante Mungu kwakunpa mume ambaye hana mauzauza km haya!ukute mkewe hana ht hizo team!dah!
HIVI NITIMAMU HUYU KWELI!amewadhadhalisha sana wasukuma huyu!//mxiew
ya nn tena dogoHahaha hongera
hahahahaa mm nahisig km ana ulimi mkubwa !hahaaaa umenichekeshaaaaaaaaaa!
Kwa ulichoshukuru hapo juuya nn tena dogo
Kwa ulichoshukuru hapo juu