Huwezi ng’ang’ania TZ Sweetheart baada ya kuachwa, tumia hata Buguruni Sweetheart – RC Makonda

Huwezi ng’ang’ania TZ Sweetheart baada ya kuachwa, tumia hata Buguruni Sweetheart – RC Makonda

Hehehe
Hili akili halina, haliwezi kuji-behave kama mwanaume tena kiongozi na majukwaa ya kike sijui linatafta nini, tuseme ndo linataka kwenda basi ongea kama kiongozi napo hawezi.

Tulikosea sana 2015 kuwachagua wasukuma maana wanaendelea kudhihilisha ulimbukeni wao.
Kabisaaaaa
 
sasa kuna kibushuti mmoja hapo juu kanitolea povu,...tatzo waweza bishana na vitoto havielewi ht "eskisi" za uongozi!naumia sana kulidhalilisha kabila langu😡😡😡😡😡!its true hayo majukwaa yana watu wao...kwakweli wana moyo!
Yaani nimeona aibu Mimi...Magufuli akubali akatae amefeli mnooo kwa makonda!!!
 
Duuuuuuhh kuna mambo ya kutuachia wadada sio kila jambo la kuvamia [emoji17][emoji17][emoji17]
Yaani nimeshangaaa mnooo!!!hivi daahh!nimejiskia vibaya sana

Yaani huyu baba kweli hajasoma huyu na upeo wake ni finyuuu!!
 
Alikua na mengi ya kuongelea badala ya kelele za insta [emoji35][emoji35][emoji35]
Sana tena mnoooo!!ule ujinga aliongea pale kwa kweli[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]!!!
 
We have a long way to go. Huyu ndo mkuu wa mkoa anaongea upuuzi tu. Mwenyezi Mungu tulikukosea nini sisi watanzania kama hawa ndo viongozi wetu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa kauli yake juu ya mvutano unaoendelea kati ya Wema Sepetu na team Hamisa Mobetto juu ya jina la TZ Sweetheart. Mkuu huyo alikuwa mmmoja kati ya wageni waliohudhuria Birthday Gala ya mwanadada huyo wa filamu mwenye mvuto nchini Tanzania
Tunguli zimenibamba eee, mobetto
 
Sana tena mnoooo!!ule ujinga aliongea pale kwa kweli[emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom