Huwezi tegemea wawekezaji wa kigeni ndiyo waendeleze nchi

Huwezi tegemea wawekezaji wa kigeni ndiyo waendeleze nchi

Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni

Mpaka sahivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kushababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii

Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria

Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja

Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania

Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa

Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi

Ukienda qatar, uae rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali njoo nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu

Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakin hakuna mpact yeyote ambayo geita imepata kutoka na uwepo wa madini

Kama afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo

Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania
Kwa mtazano wangu kama inawezekana hata TRA ingebinafsishwa tu. Watanzania wanaua wenyewe mashirika yao halafu wanaanza kuwalaumu viongozi.

Wizi, uzembe tamaa ya mafanikio ya harakaharaka ndiyo iko miongoni mwa Watanzania wengi hata wale wanao join ajira kwa mara kwanza
 
Kwa mtazano wwngu kama inawezekana hata TRA ingebinafsishwa tu. Watanzania wanaua wenyewe mashirika yao halafu wanaanza kuwalaumu viongozi.

Wizi, uzembe tamaa ya mafanikio ya harakaharaka ndiyo iko miongoni mwa Watanzania wengi hata wale wanao join ajira kwa mara kwanza
Hakuna sheria kali za kuwathibit waizi unategemea nini
 
Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.

Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.

Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.

Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.

Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.

Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.

Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.

Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.

Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.

Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.

Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Tanzania had an experience, tumeshaua mashirika mengi mno, ujinga huo haufai kuurudia tena, mwiko, tusonge mbele!
 
Kwamba kuwapa wazungu na warabu ndo suluhisho
Tulikuwa na mashirika mengi kweli, yoote yaliuwawa, wanapewa wageni kuendesha wakichanganyika na wazawa ili kurithisha uendeshaji sahihi wa shirika husika,wapo waliopewa enzi hizo kwa uaminifu mkubwa WAKAYAUA!
-wape watanzania wasio na ujuzi sahihi, wayaue na waje na visingizio kurasa nzima ya gazeti.
 
Uwekezaji unaleta Maendeleo sema sisi ndio tunajiibia wenyewe ninakumbukuka Barrick walipoingia walikuwa wakitoa Mishahara minono sana Serikali ikawaambia wapunguze kwasababu Watumishi wa Umma wataacha kazi na kuhamia Migodini.
Geita Mine serikali ilikataa wafanyakazi wasilipwe kwa dollar. Wakaona haitoshi wakaanza kukata kodi kila kitu hata allowances ambanzo watumishi wa umma hawakatwi
 
Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.

Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.

Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.

Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.

Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.

Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.

Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.

Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.

Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.

Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.

Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Unatwanga maji kwenye kinu. Kuanzia Mkapa abinasfishe mashirika ya umma inakaribia miaka 30 sasa na bado hakuna ufanisi wowote lakini bado serikali inahangaika kutafuta wawekezaji kutoka nje. Asingekuwa magufuli, ATCL na TRC zilikuwa zimeshakufa kifo cha mende.
 
Tatizo la Serikali na Chama chake ni kwamba Fedha nyingi zinaibwa na kupigwa kwa mfano Nyumba uliyoijenga wewe Serikali inajenga Nyumba kama hiyo kwa gharama mara Mia moja (100) ya gharama zako UPIGAJI.

Tusingekuwa tunajiibia sisi wenyewe na UPIGAJI Tanzania leo tungekuwa mbali sana sana.
Tatizo siasa ina nguvu kuliko utalaamu
 
Wazungu wanadanganya sana
Maendeleo sio swala la lelema watu wanaiba mabilion ya fedha za umma maksudi alafu uwachekee ndo maana afrika kuna umaskini wa kutisha

Watu wanaiba wanajua hakuna watakachofanywa
Wamejiwekea kinga wasishitakiwe utawafanya nini na tuna taasisi dhaifu haswa mahakama na bunge fake
 
Unatwanga maji kwenye kinu. Kuanzia Mkapa abinasfishe mashirika ya umma inakaribia miaka 30 sasa na bado hakuna ufanisi wowote lakini bado serikali inahangaika kutafuta wawekezaji kutoka nje. Asingekuwa magufuli, ATCL na TRC zilikuwa zimeshakufa kifo cha mende.
Ufanisi wa mashirika ya Mkapa upo. Angalia NMB, NBC, TBL, TCC, na mashirika ya Telecoms
 
Magufuli alikuwa akiwatumbua wapuuzi wa mali za uma na kuwasweka ndani mkasema anawaonea! tulieni dawa ya waarabu iwaingie vizuri.
 
Back
Top Bottom