bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Pana mashirika ya wabongo aliyapa tenda nyingi za ujenzi wa akachemka,akaona Bora awape wachina tuKipind cha JPM wapinzani walimuashia kunguni eti wanataka wawekezaji 😅😅 Nilikuwa nacheka hizo taasisi walisema JPM alikuwa anapiga pesa huko sasa ngoja waone balaa tena alikuwa Lissu.
Kuna mashirika walitaka yafutwe eti serikali haifanya biashara. Ndio maana nakuambia wanasiasa hawana wanachojua.
