Kama sikosei mwaka jana madini yaliingizia serekali zaidi ya Tzs 600b kati ya hizo contribution ya wachimbaji wadogo ni 40%. Kama wachimbaji wetu wangepata support kidogo mtu, mapato kwa serekali yangelikuwa mara dufu. Hawa wachimbaji wakubwa wanaamisha tu utajiri wetu na watawala wetu - kwa upeo wao - wanaona ndiyo watu wakuletea nchi maendeleo.Hakuna Mzungu anakuja Afrika kuwekeza ili awasaidie Waafrika.
Tunaibiwa tu. Fukuza hawa wazungu tuchimbe madini yetu wenyewe. Tukishindwa bora yabaki ardhini vizazi vijavyo vitajua chakufanya
Hao wakezaji wakubwa ni kuangalia namna ya kuvunja mikataba yao hawana contribution yeyote kwenye nchiKama sikosei mwaka jana madini yaliingizia serekali zaidi ya Tzs 600b kati ya hizo contribution ya wachimbaji wadogo ni 40%. Kama wachimbaji wetu wangepata support kidogo mtu, mapato kwa serekali yangelikuwa mara dufu. Hawa wachimbaji wakubwa wanaamisha tu utajiri wetu na watawala wetu - kwa upeo wao - wanaona ndiyo watu wakuletea nchi maendeleo.
China wananyonga sana Wapigaji japokuwa upigaji upo lakini sio kama sisi Wabantu.China wamefika pale kwa vile serikali inamiliki asilimia kubwa ya biashara zote nchini
Unajifanya ulikuwa huoni kilichotokea ulikuwa ukimpa hata asante mtumishi wa uma anakataa anakuogopa labda ni mtego.Approach ya magufuli ilikuwa ya hovyo nikuulize swali mwisho wa siku ali-achieve nini
Mkapa alifanya uboya sana!Uwekezaji unaleta Maendeleo sema sisi ndio tunajiibia wenyewe ninakumbukuka Barrick walipoingia walikuwa wakitoa Mishahara minono sana Serikali ikawaambia wapunguze kwasababu Watumishi wa Umma wataacha kazi na kuhamia Migodini.
Hii ni System ya CCM kwao Wananchi wengi wasipokuwa Masikini wanaona kuwa hawawezi kudanganywa kwa Khanga Kofia na TishetiMkapa alifanya uboya sana!
Hakika!Hii ni System ya CCM kwao Wananchi wengi wasipokuwa Masikini wanaona kuwa hawawezi kudanganywa kwa Khanga Kofia na Tisheti
Mimi siongei mambo ya watumishi wa umma naongelea uwekezajiUnajifanya ulikuwa huoni kilichotokea ulikuwa ukimpa hata asante mtumishi wa uma anakataa anakuogopa labda ni mtego.
Ilikuwa ukiingia ofisi ya uma unaulizwa unashida gani nikusaidie! lakini manyang'au yakapita nae acha dozi ya waarabu iingie vizuri imeanzia TPA kule hali ni tete na sasa anaingia DART.
MkuuMiaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii...
Kwani kinachosababisha kutafuta muwekezaji si baada ya watumishi wameshindwa kuendesha mradi kwa sababu ya rushwa mkuu.Mimi siongei mambo ya watumishi wa umma naongelea uwekezaji
Huu wizi una mahusiano na uongozi. Kama viongozi wapatikana kwa wizi wa kura, unategemea watapata wapi nguvu ya kuzuia wizi? Kama viongozi wangekuwa wapatikana kwa njia halali, wangekuwa na moral authority ya kushughulikia wezi.Kwa mtazano wwngu kama inawezekana hata TRA ingebinafsishwa tu. Watanzania wanaua wenyewe mashirika yao halafu wanaanza kuwalaumu viongozi.
Wizi, uzembe tamaa ya mafanikio ya harakaharaka ndiyo iko miongoni mwa Watanzania wengi hata wale wanao join ajira kwa mara kwanza
Tatizo sio ubinafsishaji. Ipo mifano mingi ya wawekezaji wa nje kuchochea maendeleo ya nchi wanakowekeza. China ni mfano mmoja. Tangu walivyoachana na itikadi ya Mao na kuamua kukaribisha makampuni ya Marekani na Ulaya kuwekeza nchini mwao wamepiga hatua kubwa sana ya maendeleo hadi wanaitikisa hata Marekani katika nafasi ya kwanza kiuchumi duniani.Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Hao wanaowekea mosi sio wenye uwezo wa kuendesha shirika husika.Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Madini sio mali yetu sisi ni walinzi TU wao ndio wamiliki Wana KAZI nayo wanapanga bei.Hakuna Mzungu anakuja Afrika kuwekeza ili awasaidie Waafrika.
Tunaibiwa tu. Fukuza hawa wazungu tuchimbe madini yetu wenyewe. Tukishindwa bora yabaki ardhini vizazi vijavyo vitajua chakufanya