bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Pana mashirika ya wabongo aliyapa tenda nyingi za ujenzi wa akachemka,akaona Bora awape wachina tuKipind cha JPM wapinzani walimuashia kunguni eti wanataka wawekezaji π π Nilikuwa nacheka hizo taasisi walisema JPM alikuwa anapiga pesa huko sasa ngoja waone balaa tena alikuwa Lissu.
Kuna mashirika walitaka yafutwe eti serikali haifanya biashara. Ndio maana nakuambia wanasiasa hawana wanachojua.
Tatizo ni sisi wenyewe waswahili serikali inatamani sana kuwapa kazi waswahili lakini shida upigaji,ujanja ujanja mwingi,kazi chini ya kiwango,visingizio kibao.Mtanzania ni bora aone mgeni ananeemeka na anaishi maisha mazuri kuliko kuona mTanzania mwenzie, sijui hii roho mbaya tuliitoa wapi.
Mtu anaona ni bora hata muhindi, muarabu au mzungu anaishi maisha ya kifahari na kufuru lakini kuona mwenzake hata ile ana kula milo mi3 kwa siku, anasomesha watoto shule nzuri, ana biashara zake basi inakuwa ni vita.
Hata serikali ndivyo ilivyo.
Shida ni udhaifu wa wasimamizi wa Sheria zetu wameweka njaa mbele ukiwa na pesa upo juu ya Sheria,human rights sio kwa uvunjifu wa sheria.Wazungu wanadanganya sana wanavyolazimisha mambo yao ya human rights hadi kwa mtu ambaye ni mwizi wazi wazi
Maendeleo sio swala la lelema watu wanaiba mabilion ya fedha za umma maksudi alafu uwachekee ndo maana afrika kuna umaskini wa kutisha
Watu wanaiba wanajua hakuna watakachofanywa
Shida sio mgodi ni halmashauri kula pesa zitolewazo na mgodiHuo ndo ukweli
Angalia uwepo wa geita gold mining iliyopo geita hakuna chochote kile walichofanya mji wa hovyo yaan kuna mambo yanatia hasira
Wakiulizwa wanasema wanapata hasara mwaka wa ishirini huu
Wezi wapo juu ya Sheria,kesi ni biashara bongo,jela ni kwa ajili ya watu masikini.Hakuna sheria kali za kuwathibit waizi unategemea nini
Maslai duni,mishahara mbuzi Tena ya ubuguzi wanaovaa suti hawawanyi kazi sana wanavuta nyingi,uadilifu na tija vitoke wapiKwani kinachosababisha kutafuta muwekezaji si baada ya watumishi wameshindwa kuendesha mradi kwa sababu ya rushwa mkuu.
Hivi wangekuwa wangekuwa wanafanya kazi kwa uadilifu wanatoa huduma vizuri unafikiri kungekuwa na haja ya kuleta wawekezaji?
Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Akina Pengo wengi.Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Mnaletewa dawa ya Chanjo ya Malaria, sijui ni mpaka tugundue wenyewe. Yaani Afrika nzima imeshindwa Kutafuta suluhisho la malaria, licha ya kujua kuwa ni ugonjwa hatari ktk bara la Afrika. Subiri miaka 60 mingine upate akili.Naunga mkono hoja. Ni kweli ukiona umeshaingiza mambo ya siasa kwenye shughuli za kiuchumi ambazo huwa zina Formula zake ujue kwa uhakika ww kwisha habari yako.
π πChina wananyonga sana Wapigaji japokuwa upigaji upo lakini sio kama sisi Wabantu.
Ni humuhumu kwenye vya kupewa/misaada tunapigiwamo. Kwani Malaria haitibiki kwa dawa za kawaida?? Ni mpaka chanjo? Yan vitu vingi tunajitakia tuu kwa matamanio yetu ya kuishi peponi (kwa raha bila mahangaiko) tukiwa bado hapa duniani. Tutachezewa sana aisee.Mnaletewa dawa ya Chanjo ya Malaria, sijui ni mpaka tugundue wenyewe. Yaani Afrika nzima imeshindwa Kutafuta suluhisho la malaria, licha ya kujua kuwa ni ugonjwa hatari ktk bara la Afrika. Subiri miaka 60 mingine upate akili.
Uwekezaji sio msaada, ni biashara. Mwekezaji yeyote, awe mzungu au mweusi mwenzetu anawekeza ili apate faida, sio asaidie watu.Hakuna Mzungu anakuja Afrika kuwekeza ili awasaidie Waafrika.
Tunaibiwa tu. Fukuza hawa wazungu tuchimbe madini yetu wenyewe. Tukishindwa bora yabaki ardhini vizazi vijavyo vitajua chakufanya
SahihiUwekezaji unaleta Maendeleo sema sisi ndio tunajiibia wenyewe ninakumbukuka Barrick walipoingia walikuwa wakitoa Mishahara minono sana Serikali ikawaambia wapunguze kwasababu Watumishi wa Umma wataacha kazi na kuhamia Migodini.
Umeongea point ya muhimu sana mfumo wa kupata viongozi ni mbovu sanaHuu wizi una mahusiano na uongozi. Kama viongozi wapatikana kwa wizi wa kura, unategemea watapata wapi nguvu ya kuzuia wizi? Kama viongozi wangekuwa wapatikana kwa njia halali, wangekuwa na moral authority ya kushughulikia wezi.
Hiko ndo kitu ambacho watu wwngi hawakijiuUwekezaji sio msaada, ni biashara. Mwekezaji yeyote, awe mzungu au mweusi mwenzetu anawekeza ili apate faida, sio asaidie watu.
Basi umaskin utaendelea afrika mpaka watakapo jitambuaKipi cha mswahili kilichofanyika kwa ufasaha.
Mswahili huyu huyu anaeamini ndumba kwenye business ndio aweze endesha uchumi wa nchi.
Africa nzima uchumi unaendeshwa na wahindi au waarabu.
Labda useme wapewe wazawa ambao ni wahindi au waarabu.
Mna uwezo huo wa kuchimba wenyewe? Siwa support wazungu natamani waondoke lakini alternatives ikoje? Angalia track record ya watanzania ku run tu mashirika makubwa machache yote yameishia kufanya vibaya na kuletahasara, kama kujisimamia ni shida unadhani kuchimba mtaweza? Na mkiweza mtafaidika nyie au wanasiasa?Hakuna Mzungu anakuja Afrika kuwekeza ili awasaidie Waafrika.
Tunaibiwa tu. Fukuza hawa wazungu tuchimbe madini yetu wenyewe. Tukishindwa bora yabaki ardhini vizazi vijavyo vitajua chakufanya
Na kuwaweka machawaNi hatari sana. Kama kitendo cha kusema uwape Mwendokasi wageni ni sawa sawa tu na kuchoma moto akiba ya pesa zako za kigeni. Huo mradi hata serikali ikiamua leo iuendeshe kiufanisi zaidi ya kampuni binafsi inaweza, tatizo ni kuchekeana chekeana.
Sawa kabisa. Sasa tujiulize , Je, sisi wabongo tunazo rasilmali kibao Tunakwama wapi lakini??Hiko ndo kitu ambacho watu wwngi hawakijiu
Nchi za gulf rasilimali zao zote hawakumpa mwekezaji walisimamia wao wenyewe
Miaka 20 tokea hao wazungu warusiwe kuchimba madini kila siku wanasema wanapata hasara In short hiyo migodi hawana msaada wowote kwa nchiMna uwezo huo wa kuchimba wenyewe? Siwa support wazungu natamani waondoke lakini alternatives ikoje? Angalia track record ya watanzania ku run tu mashirika makubwa machache yote yameishia kufanya vibaya na kuletahasara, kama kujisimamia ni shida unadhani kuchimba mtaweza? Na mkiweza mtafaidika nyie au wanasiasa?
Dunia inaenda mbele haisimami, masuala ya kuacha rasilimali chini eti kisa wazawa hawajaweza ku extract ni ushamba. Maendele ni sasa