Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Rasilimali ziwe chini ya serekali maboss waajiriwe wazungu au mtu yeyote ambaye ni competent sio lazima awe chawa anasifia sifiaSawa kabisa. Sasa tujiulize , Je, sisi wabongo tunazo rasilmali kibao Tunakwama wapi lakini??
Serekali ya ccm mtu akiiba anahamisiwa sehemu nyingine hapo unategemea kutakua na ufanisiSawa kabisa. Sasa tujiulize , Je, sisi wabongo tunazo rasilmali kibao Tunakwama wapi lakini??
Umecheki recent report zao? Hawana hasara zaidi ya faidaMiaka 20 tokea hao wazungu warusiwe kuchimba madini kila siku wanasema wanapata hasara In short hiyo migodi hawana msaada wowote kwa nchi
Hivi watu wanashindwa kutofautisha mwekezaji na watoa misaada? mwekezaji anakuja kufanya biashara kupata faida, kazi yake kuhakikisha faida inapatikana na kazi ya serikali kukusanya kodi zake kwa mujibu wa sheria sasa shida iko wapi. Uwekezaji unaleta ufanisi sababu mashirika yanakuwa private yanakuwa na nidhamu ya kazi huku serikalini tume fail sana, hakuna shirika la serikali tunaweza kujivunia leo. Chukua mfano TTCL walivyo oza sasa TTCL mpe mwekezaji utaona kitakachotokea, shirika la Railway ona madudu. Mimi nilishawahi kuandika humu ukitaka SGR ifanikiwe usiruhusu shirika likaendeshwa kama shirika la uma weka private operator utaona ufanisi na ushindani. Hiyo mifano yako ya KSA na UAE lazima uje mfano UAE mashirka ya kutoa huduma za simu ni mali ya serikali Du la Dubai na Etisat ni Abudhabi hawaruhusu ushindani lakini kizuri wanaendesha kama private lakini ni la serikali hata Emirates airline own na Dubai lakini linaendeshwa kiprivate. Sisi tume fail tumeuwa mashirika yote.Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni.
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Wazungu, Wachina na Waarabu hawatuibii kwa nguvu au kutulazimisha. Dili zote za upigaji katika mikataba zinatengenezwa na kulazimishwa kwa hao wawekezaji wa nje na watawala/watumishi wa Africa. Watoa tenda, mikataba na vibali wakinyooka hata hao wawekezaji lazima watanyooka tu.Mna uwezo huo wa kuchimba wenyewe? Siwa support wazungu natamani waondoke lakini alternatives ikoje? Angalia track record ya watanzania ku run tu mashirika makubwa machache yote yameishia kufanya vibaya na kuletahasara, kama kujisimamia ni shida unadhani kuchimba mtaweza? Na mkiweza mtafaidika nyie au wanasiasa?
Dunia inaenda mbele haisimami, masuala ya kuacha rasilimali chini eti kisa wazawa hawajaweza ku extract ni ushamba. Maendele ni sasa
TanescoEmbu taja mfano wa shirika linaloendeshwa na serikali tuanzie kujadili hapo
Hiyo faida mbona hatuioni serekali kila siku inakopaUmecheki recent report zao? Hawana hasara zaidi ya faida
Ndo hapo sasa.Serekali ya ccm mtu akiiba anahamisiwa sehemu nyingine hapo unategemea kutakua na ufanisi
Report ya CAG inataja watu ni waizi lakin wanaendelea kufanya kazi na wengine wanahamishwa
Yeah! Vigezo na masharti kuzingatia. Kigezo cha Uchawa marufuku kisiwepo kabisa.Rasilimali ziwe chini ya serekali maboss waajiriwe wazungu au mtu yeyote ambaye ni competent sio lazima awe chawa anasifia sifia
Serikali ya mama ina affinity kubwa sana na UAE hasa Dubai. Hivi kwanini tunaamini hatuwezi? JPM alikuwa akiamini tunaweza.Miaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni, ili ni kosa instead serekali iajiri foreigner ambao wana exposure na sio hawa wasio na exposure na wengi wao ni machawa
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Hivi kuna Serikali ya mama au kuna Serikali yetu? Kuwa na ukaribu au affinity na nchi fulani sioni kama ni kosa au kasoro kwani Juliasi alikuwa na ukaribu na China na Cuba na walipanza kumlalamikia eti hana msimamo aliwaambia (Black n White) kwamba sio sahihi kutuchagulia marafiki.Serikali ya mama ina affinity kubwa sana na UAE hasa Dubai. Hivi kwanini tunaamini hatuwezi? JPM alikuwa akiamini tunaweza.
Kuna wakati unakuwaga huna akili? Nenda marekani almost 70% ya wawekezaji ni wachinaMiaka ya karibuni kumezuka matukio kadhaa kwa serekali kushindwa kuendesha mashirika yake na imepanga kuwapa wageni, ili ni kosa instead serekali iajiri foreigner ambao wana exposure na sio hawa wasio na exposure na wengi wao ni machawa
Mpaka sasa hivi mabosi wa mwendokasi wangetakiwa wawe na kesi ya kujibu kwa kusababishia serekali hasara umepewa monopoloy kwenye route na bado inakushinda kwelii.
Mashirika ya Tanzania yanakufa kwa sababu mtu anaharibu hapa anahamishiwa kule au hachukuliwi hatua zozote zile za kisheria.
Jambo ambalo watu wengi hawajui mzungu au mwarabu anayekuja kama mwekezaji hawezi kuwa na uchungu na Tanzania hata siku moja.
Kama serekali imeshindwa kuendesha mashirika yake basi ikubali tu haitaweza kuondoa huu umaskini uliotamalaki hapa Tanzania.
Ulaya kupitia ukoloni waliiba rasilimali na wakatengeneza nchi zao na wakaendelea; ile miji mizuri unayoiona ulaya imetokana na ukoloni hasa america kule ndo walivuna kisawasawa.
Mfano nchi za saudi arabia baada ya kuvumbua mafuta waliunda shirika lao la aramco kuendesha na kusimamia shughuli zote za uchimbaji wa mafuta matokeo yake aramco lilikua moja ya mashirika makubwa sana dunia yanayoingiza revenue kubwa na hii imepelekea saudi arabia kuendelea sana na kwa mda mfupi.
Ukienda Qatar, UAE rasilimali zao zote zinashikiliwa na makampuni ya serekali, njoo Nigeria moja ya nchi ambayo ina mafuta mengi utajiri wake wa mafuta iliwakabidhi shell mpaka navyoongea mpaka leo yale maeneo ambayo yapo makampuni ya kigeni yana umaskini wa kufa mtu.
Geita kuna mgodi mkubwa sana wa dhahabu lakini hakuna impact yoyote ambayo Geita imepata kutoka na uwepo wa madini.
Kama Afrika tunataka kuendelea ni kuyaondoa makampuni yote ya kigeni kwa makubaliano ya pande zote ya kuvunja mikataba mbili ili tunufaike na rasilima zetu tofauti na hapo ni uongo.
Kuna approach nyingi nchi itatumia ili kuendelea ila njia rahisi ya kuendelea ni kutumia rasilimali zake njia ya kutumia kodi ni ngumu kwa nchi maskini kama Tanzania.
Unafananisha marekani nchi ambayo rais anastakiwa na nchi ya Tanzania mbayo hadi speaker wa bunge ana kinga hivi una akili kweliKuna wakati unakuwaga huna akili? Nenda marekani almost 70% ya wawekezaji ni wachina