Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Sukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.



View attachment 2581868
Asee! Tumefika huku watuna sapoti wizi mkubwa vile hadharani?
Hivi hujui kuwa unaweza kutengeneza watu wanaojitoa mhanga?
Au mnadhani watanzania hawawezi kubadilika?Msijidanfanye
 
Asee! Tumefika huku watuna sapoti wizi mkubwa vile hadharani?
Hivi hujui kuwa unaweza kutengeneza watu wanaojitoa mhanga?
Au mnadhani watanzania hawawezi kubadilika?Msijidanfanye
Mm siupendi ubabaifu. Wakati jiwe analiibia taifa hili kwa kuchota hela atakavyo ( trilion 1.5), kwa kumuweka mpwa wake kuwa paymaster general, kwa kupora hela za wafanyabiashara kwenye maduka ya fedha za kigeni, kwa kubambikia watu kesi na kutaka wakiribkisa na kutoa hela kucha kutwa mlikuwa mnamsifia.

Wizi alioufanya jiwe ni wizi mkubwa, alifanya mauaji makubwa, alifanya utekaji mkubwa na alipiga watu risasi, mbona hamkusema???
 
Back
Top Bottom