Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Hata mtu wenu alipigwa na karma na ilikuwa mbaya sana!!

Mama ameletwa ili kukamilisha hasira ya Mungu kwa wote waliotenda ubaya!!

She is far better kuliko yule jamaa wa chato aliyekula 1.5 Trilion na bado hela ya Plea bargaining haijulikani ilipo!! Jambazi la kimataifa!
hv unahisi 1.5T ubahisi ni sawa na 41B , tuoneshen alichoacha huyo mzee chenye hata nusu thaman ya hiyo 1.5T ,mkiwa mnaitwa sokwe huko ughaibuni msilalamike , leo mnamsingizia USA kwa nyiny kumuua Ghadaf , the same hapa mnasema JPM aliiba 1.5T halaf hata nyumba yake haifiki thaman ya 500m na yule mzee hajaacha sheli za mafuta kila wilaya Tz nzima wala hajaacha share kweny UDA pia hana hisa huko kweny mwendokasi pia hana magari ya mizigo wala mabus ya mikoa , Sijui hizo 1.5T alipeleka wap maana hiyo ni bajet ya nchi nying sana kwa mwaka
 
Upigaji haujawahi kuisha,ni bora upigaji unaofichuliwa,kuliko upigaji unaofichwa kwa kuwapiga faini wasemaji,iwe tv,redio au magazeti labda kama ni mwana umoja party/sgang itakataa hili,25ml,faini kamata kamata ya akina P,fungia akina Mwanahamisi na wengine zote zilikuwa juhudi za kuunga mkono ufisadi wa aw5[emoji848]
kama Ndugai sio? hapo mama hajahusishwa ndio maana kaweka waz kama kuwapa onyo , ila angekuwa mzalendo asingekubalu kuwaacha kweny system watu wanaofikiria kupiga ela ndefu hivyo bila rais kujua
 
thibitisha uwepo wa mali yoyote kaacha huyo mtu inayofikia hata nusu ya 1.5T , jmn kuna uongo mwingine unajionesha , alipostaf JK tuliona matajir wakidaiwa kodi mpk 1B , pia tuliona wafanyakaz hewa. , pia tuliona mtu mmoja kupokea mishahara 17 , KWANINI AWAMU HII IMEKUWA NA SHUTUMA ZA MDOMONI TU
kwaiyo Assad ni muongo?
OK fine tufanye ni shutuma za mdomoni
bac na kichele ni muongo amejitungia case closed
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Hebu niwekee majina ya walioletwa na Mama Samia na kiasi walichopiga kadri ya ripoti ya CAG.

Tusiandikie mate wakati wino upo!!
 
Utateseka sana kama ulitarajia lolote la maana kwenye awamu hii..
Nyerere aliongoza kwa kisasi? Dhidi ya nani? Tulifika wapi? Mwinyi je dhidi ya nani ? Tulifika wapi? Mkapa? Dhidi ya nani tulifika wapi? Jakaya je? Dhidi ya nani? Tulifika wapi? Jpm aliongoza kwa kisasi sana tu na Hatujafika popote pale msidanganye watu.
Mama aachwe affanye kazi yake mwenye malalamiko akalie chato
 
onesha mali au kitu kaacha chenye thaman hata nusu ya 1.5 T , ( usiseme unabaguliwa ukiitwa majina ya kima huko magharibi sabab wanaona vichwa vyenu akili fupi unaambiwa uongo unaonekana ila kisa humpend mtu fulan bas unaubeba na kueneza uongo huo , ndio maana vita Afrika haziish sio kisa mabeberu bali kisa akili zetu bado zinahitaj msaada wa daktari tunapenda uvumi kuliko ukwel )
Kwann asad aliondolewa kuwa CAG?
 
hv unahisi 1.5T ubahisi ni sawa na 41B , tuoneshen alichoacha huyo mzee chenye hata nusu thaman ya hiyo 1.5T ,mkiwa mnaitwa sokwe huko ughaibuni msilalamike , leo mnamsingizia USA kwa nyiny kumuua Ghadaf , the same hapa mnasema JPM aliiba 1.5T halaf hata nyumba yake haifiki thaman ya 500m na yule mzee hajaacha sheli za mafuta kila wilaya Tz nzima wala hajaacha share kweny UDA pia hana hisa huko kweny mwendokasi pia hana magari ya mizigo wala mabus ya mikoa , Sijui hizo 1.5T alipeleka wap maana hiyo ni bajet ya nchi nying sana kwa mwaka

Nenda kwenye account zake China na Malyesia ndo utajua ulikwapua au hajakwapua!!
 
Kazi yeyote ya utawala, especially anapoingia kiongozi mpya ni kuweka watu watakaoendana na matakwa ya huyo kiongozi mpya. Hivyo usishangae. Kila Rais mpya anapoingia madarakanu anakuja na team cream yake inayoendana na haiba na namna ya kuongoza. Hii hutengeneza loyalty kwa kiongozi husika
 
kwahiyo hz 41B walikuwa wanataka kuzitunza tu ? upo uozo mwing watu wanalinda usalama wao
Akina Chiembe wanaojidai leo ndio wanaamka usingizini na kuyaona ya wakati ileee😂
 
Sasa hivi ni kusugua magoti tu ndugu zangu, na Mwenye Enzi Mungu aingilie kati walahi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Tanzania shamba la bibi ,wanavuna wasio panda,wawaonee huruma walipa kodi jaman

Kwa muda mchache tu maana siku yao ya kulamba mavumbi ina kuja walahi
Karma is a bitch[emoji2962][emoji2962][emoji2962]
 
Kazi yeyote ya utawala, especially anapoingia kiongozi mpya ni kuweka watu watakaoendana na matakwa ya huyo kiongozi mpya. Hivyo usishangae. Kila Rais mpya anapoingia madarakanu anakuja na team cream yake inayoendana na haiba na namna ya kuongoza. Hii hutengeneza loyalty kwa kiongozi husika
Hovyo kabisaa..hovyo kabisa ..hovyoooo...
 
hv unahisi 1.5T ubahisi ni sawa na 41B , tuoneshen alichoacha huyo mzee chenye hata nusu thaman ya hiyo 1.5T ,mkiwa mnaitwa sokwe huko ughaibuni msilalamike , leo mnamsingizia USA kwa nyiny kumuua Ghadaf , the same hapa mnasema JPM aliiba 1.5T halaf hata nyumba yake haifiki thaman ya 500m na yule mzee hajaacha sheli za mafuta kila wilaya Tz nzima wala hajaacha share kweny UDA pia hana hisa huko kweny mwendokasi pia hana magari ya mizigo wala mabus ya mikoa , Sijui hizo 1.5T alipeleka wap maana hiyo ni bajet ya nchi nying sana kwa mwaka
Halafu kuna msoga anashell kila kona ya nchi na share kibao kila kampuni Wabongolala hutasikia wanaongea!
 
Visasi vinaendelea kuliangamiza taifa. Tutaishije...!!..??

Ataefuata litakuwa ni Pigo kwa taifa . Then the whole of us will be shed ...
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.

Mliivamia Zanzibar mkaifisidi , mkauwa maelfu ya watu na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi. Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi, hii ni karma inaipiga Tanganyika chini ya Jinamizi CCM , hamna chengine , usitafute mchawi.
Hata mfanye nini mumuweke mama, Bibi , Babu , haitosaidia mpaka mtuwache huru na mtuombe msamaha.
 
Mliivamia Zanzibar mkaifisidi , mkauwa maelfu ya watu na mnaendelea kutuuwa kila ufikapo uchaguzi. Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi, hii ni karma inaipiga Tanganyika chini ya Jinamizi CCM , hamna chengine , usitafute mchawi.
Hata mfanye nini mumuweke mama, Bibi , Babu , haitosaidia mpaka mtuwache huru na mtuombe msamaha.
Hehh..🥵🥵
 
Back
Top Bottom