Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Huwezi ukaongoza nchi kwa visasi ukafanikiwa. NEVER!

Kwann hamkumzodoa alipoiba?
Acha kuruka ruka km kuku anaetaka kutaga, jibu hoja mmeshindwa nn kuzirudisha hizo 1.5T alizoiba mwaka wa 3 huu tangu alale?
By theway mambo ya kuzodoana ni mambo yenu wanawake wa uswahilini, wanaume hua hatufanyi huo ujinga wenu, ukishamzodoa then what?
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Bila kaudikiteta dikiteta ka kuzilinda mali za Umma za Nchi hii hatufiki popote !!
 
Acha kuruka ruka km kuku anaetaka kutaga, jibu hoja mmeshindwa nn kuzirudisha hizo 1.5T alizoiba mwaka wa 3 huu tangu alale?
By theway mambo ya kuzodoana ni mambo yenu wanawake wa uswahilini, wanaume hua hatufanyi huo ujinga wenu, ukishamzodoa then what?
Huwa sibishani na sukuma gang. Maana bado yana majonzi
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Acha uongo!Umekunywa "kyai"?
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/
Yani kama vile simple toka nduki toka lesi/
Ka risasi ya bunduki au jeti/
No kunyuti no kuketi, wape nafasi wakushoot/
Kama Malcolm X usikubali kubaki/
Uwe pimbi upewe kesi/
Ikibidi jitose ndani ya dimbwi la kinyesi/
Sio suala la uoga,kuogopa ukunguru/
Ila Bora kurogwa kuliko kukosa uhuru/
Wapi Shemponda wapi Jenerali Komba/
Siri Kali Sera Kali cheza mbali na wajomba/
Kimbiaa, mitihani imevuja nyie hamjasikia!?/
Yanini kusoma huku elimu inanunuliwa/
Kimbiaa, Nchi imeshauzwa hii hamna kusikilizia/
TANESCO, Madini Hadi Air Tanzania/
Watoto wa uswazi hawana matumaini/
Ndoto zao ujambazi sababu ya umaskini/
Matapeli wenye shahada kila hatua tatu/
Makahaba wa miaka kumi na tatu/
Maskani kamsitu, vicheche na machatu/
Usipite pekupeku bila kuvaa viatu/
Aaaah Kimbiaaaaaaaa

Rest Easy LANGA (RIP)
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
vip na report ya ASSAD kuhusu utombo alio fanya JPM wa Trillion 1.5 mbona husemi ule ni ufisadi mkubwa kuwai kufanyika nchini
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Hivi unaweza kuweka hapa sehemu ya ripoti ya CAG ikionesha hela zimeibwa kipindi cha mama zaidi ya hizo 800m za mikopo vikundi halmashauri?
 
Mkuu em kuwa serious basi on critical matters threatening the nation. Weka ushabiki pembeni kwanza.
Hakuna cha serious,
Kama weww uko serious tuwekee ripoti inayoonyesha hela zimeibwa.
SHS 800M ndizo zilizofujwa huko halmashauri, nyingine zipi?
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Hiyo ripoti ya CAG ni kama nyingine tu zilizopita. Tofauti ya hii na ya enzi za JPM ni kwamba mama ameiacha itoke bila kuchujwa. La muhimu tu achukue hatua kwa wahusika.
 
I believe in Law of Karma
Hata mtu wenu alipigwa na karma na ilikuwa mbaya sana!!

Mama ameletwa ili kukamilisha hasira ya Mungu kwa wote waliotenda ubaya!!

She is far better kuliko yule jamaa wa chato aliyekula 1.5 Trilion na bado hela ya Plea bargaining haijulikani ilipo!! Jambazi la kimataifa!
 
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.

Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.

Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.

Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.

Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...

Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.

Em mnipishe kwanza..

Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Sisi wa CUBA Tumeshakuelewa
 
Hata mtu wenu alipigwa na karma na ilikuwa mbaya sana!!

Mama ameletwa ili kukamilisha hasira ya Mungu kwa wote waliotenda ubaya!!

She is far better kuliko yule jamaa wa chato aliyekula 1.5 Trilion na bado hela ya Plea bargaining haijulikani ilipo!! Jambazi la kimataifa!
We andika andiak tu kama umekatwa kichwa vile KARMA IS REAL. unagikiri msoto wanaopata watz ni wa kitoto
 
Back
Top Bottom