DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Utateseka sana kama ulitarajia lolote la maana kwenye awamu hii..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo ccm na mifumo yao ya kujuana!Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Mkuu siyo 1.3 trilioni ilikuwa ni wizi wa 1.5 trilioni . Na aliyeziiba alikuwa jiwe mwenyewe akazipeleka Chato.Kuna taarifa pia ya CAG ilibainisha 1.3 trilion hazijulikani zilipo lakini kelele hazikupigwa hivi. Taarifa hii ni ya ukiukwaji tu wa taratibu.
Ila wewe unathibitisha sana kuwa ulikuwa victim wa ufisadi au vyeti fake. Wenzio wana forgiveness na ungerepent Kwa yote uliyoyafanya, you still have a chance of forgivenes. mwenzio JPM hujui yeye na Mungu wake, angalia nafsi yako!Kwanza umetumia lugha isiyokuwa ya kiungwana (vitisho) kwenye uzi wako umesema mama hatofika 2025. Hebu tuambie ataenda wapi?
Si walipewa ruhusa kula kwa urefu wa kamba zao...au wamekata kamba??Tanzania shamba la bibi ,wanavuna wasio walipa kodi jaman
kwahiyo kisa sio ya kwanza basi ni sawa tu wezi kuachwa na isiwe mada tena ? zinjanthropusyyyy bado weng sana karne ya 21 na baadae mnasema Mabeberu ndo wanawafanya muwe maskini 41B unarekebisha masoko ya mikoa yote Tz badala kuwa na vile visoko vya kilwa au Njombe au Kibaha au Simiyu au Singidan , HII NCHI SIO RAIA SIO VIONGOX HOPELESS KBSSukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.
View attachment 2581868
Mbona jiwe alipoiba 1 5 yeye binafsi hukupiga kelele? Unaongelea 41B??? Jiwe aliiba 1.5 trilionikwahiyo kisa sio ya kwanza basi ni sawa tu wezi kuachwa na isiwe mada tena ? zinjanthropusyyyy bado weng sana karne ya 21 na baadae mnasema Mabeberu ndo wanawafanya muwe maskini 41B unarekebisha masoko ya mikoa yote Tz badala kuwa na vile visoko vya kilwa au Njombe au Kibaha au Simiyu au Singidan , HII NCHI SIO RAIA SIO VIONGOX HOPELESS KBS
tuoneshe chochote chake binafsi alichoacha JPM chenye thaman hata nusu ya hiyo 1.3 T , waafrika ni mijitu ya hovyo sana , ilimuua Thomas Sankara , ikamuua , Nasser , ikamuua Haile Selasie ikamuua Samora Machel , ikamuua Patrice Lumumba , ikamuua Ghadaf pia imemuua Jpm , MLIVYO MICHIMPANZEEE HUWA HAMJIULIZ KWANN VIONGOZ KAMA SSH HUTOSIKIA WAKIANDAMWA NA MABEBERU AU UCHINA , ILA KWANN WANAUA VIONGOZ WALIOTHUBUTU KUZISIMAMISHA NCHI ZAO KAMA THOMAS SANKARA AU NASSER , AU HAILE SELASIE AU PATRICE LUMUMBA AU GHADAF AU JPM ? TUNA MIJITU BADO AKILI ZIPO ENZI ZA ZINJANTHROPUS BADO WANAENDESHWA NA MIHEMKO KULIKO UHALISIA KAZI KUSEMA MIRADI ISIYO NA TIJA KANA KWAMBA WALIKUWA WANAPANDA BAISKEL KWENDA CHINA NA UGHAIBUNI KWINGINE , HII NCHI TUNAIUA WENYEW USWAHILI BADO UNATUSUMBUA SANA HATA KAMA UNAMCHUKIA MTU BASI MSAPOTI PALE ANAPOFANYA JAMBO LA KITAIFA ( LONG LIVE ETHIOPIA NDIO NCHI INAJITMBUA SANA WANA UNITY HAINA MFANO HASA KWENYE MASWALA YA KITAIFA HAWANA USWAHILI KAMA SISI , KAMA HUJAFIKA HUTOELEWA) , SASA HV TUNAENDA KUUA BANDARI ZETU ILI KUONESHA MAGUFURI ALIKUWA SIO SAHIHI KUKATAA MRADI WA BAGAMOYO WANAHISI WANAMKOMOA MAREHEM KUMBE WANAWAKOMOA WAJUKUU ZAO WATAOKUWEPO NDAN YA MIAKA 35 IJAYO , BILA KURUHUSIWA KUCHUKUA KODI HAPO BAGAMOYO HUKU UKIZUILIWA KUENDELEZA BANDARI ZOTE ZA BAHARI YA HINDI KWA MIAKA 99 , HII AMEISAINI MTU TIMAMU ANAJIITA RAIS WA NCHI YA TZ UCHAF MTUP HALAF KENGE MMOJA ANAMTETEA KISA TU JPM AONEKANE MBAYA , HATUKOSOI ILI JPM AONEKANE MWEMA TUNAKOSOA ILI TUJIEPUSHE NA MABALAA YA BAADE AFRIKA ILIJIINGIZA KWENYE UKOLON MKAACHIWA ILA LEO HII MNAJIUZA KABISA SIO KUJIKABIZ KAMA MAKOLON BALI KUJIKABIDHI KAMA MALI HALALI YA CHINA , CHINA KUMILIKI KITOVU CHA BANDARI CHA TANZANIA NI KUIKABIDHI NCHI MIKONONI MWAKE MAANA YEYE NDO ATAKUWA MUAMUSHI WA MFUMUKO WA BEI NCHI NZIMA HASA BIDHAA NYING ZINAKUJA KWA NJIA YA MAJINI ( SIAMIN MTU MWENY MIAKA 60 HALIONI HILI ! ) KIUFUPI WAAFRIKA WENG BADO ELIMU HAIJAUONDOA UJINGA VICHWAN MWAOKuna taarifa pia ya CAG ilibainisha 1.3 trilion hazijulikani zilipo lakini kelele hazikupigwa hivi. Taarifa hii ni ya ukiukwaji tu wa taratibu sidhani kama kuna wizi mkubwa sana uliofanyika japokuwa kweli wizi upo! Nchi yangu Tanzania [emoji1241] [emoji177][emoji177]
onesha mali au kitu kaacha chenye thaman hata nusu ya 1.5 T , ( usiseme unabaguliwa ukiitwa majina ya kima huko magharibi sabab wanaona vichwa vyenu akili fupi unaambiwa uongo unaonekana ila kisa humpend mtu fulan bas unaubeba na kueneza uongo huo , ndio maana vita Afrika haziish sio kisa mabeberu bali kisa akili zetu bado zinahitaj msaada wa daktari tunapenda uvumi kuliko ukwel )Mbona jiwe alipoiba 1 5 yeye binafsi hukupiga kelele? Unaongelea 41B??? Jiwe aliiba 1.5 trilioni
Jiwe alikuwa siyo rais. Hakunaga rais anauwa, anateka, anaupiga watu risasi na kupora raia wakeMagufuli alikuwa kwenye taasisi ya kikoba chenu..!??
Kwaio unafurahia kama taifa kuendelea kuibiwa kisa tumezoea maza fantaSukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.
View attachment 2581868
Kwaio unafurahia kama taifa kuendelea kuibiwa kisa tumezoea maza fantaSukuma gang bwana! Kwahiyo ulitaka mbakishwe ninyi? Mama piga kazi. Ripoti ya CAG siyo ya kwanza hii kuonesha wizi na ubadhirifu serikalini. Ni upepo tu huu,. Utapita.
View attachment 2581868
weka ushaidi wa mtu alimuua au kumteka au kupora au kumpiga mtu risasi ( bado tunazid dhihirisha uzinjanthropus wetu , kupenda uvumi kuliko uhalisia )Jiwe alikuwa siyo rais. Hakunaga rais anauwa, anateka, anaupiga watu risasi na kupora raia wake
🤔🤔🤔SASA HV TUNAENDA KUUA BANDARI ZETU ILI KUONESHA MAGUFURI ALIKUWA SIO SAHIHI KUKATAA MRADI WA BAGAMOYO WANAHISI WANAMKOMOA MAREHEM KUMBE WANAWAKOMOA WAJUKUU ZAO WATAOKUWEPO NDAN YA MIAKA 35 IJAYO , BILA KURUHUSIWA KUCHUKUA KODI HAPO BAGAMOYO HUKU UKIZUILIWA KUENDELEZA BANDARI ZOTE ZA BAHARI YA HINDI KWA MIAKA 99 , HII AMEISAINI MTU TIMAMU ANAJIITA RAIS WA NCHI YA TZ UCHAF MTUP HALAF KENGE MMOJA ANAMTETEA KISA TU JPM AONEKANE MBAYA ,
1. Mitumba (mabeloni) kibao yamekutwa nyumbani kwake baada ya kifo chake.onesha mali au kitu kaacha chenye thaman hata nusu ya 1.5 T , ( usiseme unabaguliwa ukiitwa majina ya kima huko magharibi sabab wanaona vichwa vyenu akili fupi unaambiwa uongo unaonekana ila kisa humpend mtu fulan bas unaubeba na kueneza uongo huo , ndio maana vita Afrika haziish sio kisa mabeberu bali kisa akili zetu bado zinahitaj msaada wa daktari tunapenda uvumi kuliko ukwel )
Magufuli alikuja hivihivi kwa visasi.. timuatimua wateuliwa wootee wa JK na kuweka wake. Akimnanga JK kila mahala, nchi ilipigwa..watanzania mmeibiwa saanaa..sisi sio masikini... Akaenda.
Mama akaja, yaleyale. Vijembe kwa mtangulizi wake, Ametimua woote wa Magufuli na kuweka wake. Mbaya zaidi mama amewarejesha wale ambao aonavyo yeye walikuwa na nasaba na JK ambao walitimuliwa na Magufuli.
Sasa tizama hili . Hao Mama aliowarejesha, team msoga. Nchi nzima inafahamika kwamba ndio mafisadi makuu ya nchi hii. Sasa ndio wanaongoza nchi.
Mtaani Watanzania wamekata tamaa.. Repoti ya CAG ndo imeharibu kila kitu. Kilichopo mtaani saivi ni kwamba Mama kawaleta watu wake wapige. Na WANAPIGA.
Sasa kinachotakiwa fanyika hapa sasa ni nini. Mama lazima abadili gia, kinyume na hapo hamalizi 2025.. mtaniambia. Hawezi fanikiwa kamwe. KARMA IS REAL...
Sasa kila mmoja anabeba anapoweza anaenda.
Em mnipishe kwanza..
Salamu kwa POLEPOLE hukooo CUBA.
Kumbe mnajua zipo chato, mwaka wa 3 huu mnasubiri nn kuzirudisha?au mnamuogopa marehemu?Mkuu siyo 1.3 trilioni ilikuwa ni wizi wa 1.5 trilioni . Na aliyeziiba alikuwa jiwe mwenyewe akazipeleka Chato.
Jiwe!!! Naomba serikali inipatie ulinzi nikalichape kaburi lake