Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
umemsahau wa chato?Muda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar.
Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar.
Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani huyo rahisi?!
Inachosha bwana!
Bora hata ya Hayati aisee.
Wewe huoni wanavyoiumiza hiyo Nchi?Kwanini uliamua kujiita Asante CCM
Kamfyfue s mnaweza mnakusanyika kawe kwa kufufua waliofariki and then nikuulize samia kwao nanyamba tandahimba au zanzibarMuda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar.
Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar.
Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani huyo rahisi?!
Inachosha bwana!
Bora hata ya Hayati aisee.
Boraye angalau alienda kwao kipindi cha mapumziko ya mwishoni mwa Mwaka. Lakini huyo rahisi wenu kila uchwao yeye na Dotto magari wapo huko!umemsahau wa chato?
Hapo nimekuelewa, yaani kwa namna watu wanavyoisema ccm wewe uishukuru πWewe huoni wanavyoiumiza hiyo Nchi?
Kwa ubabe wawo unataka nisemeje zaidi ya kuwashukuru ki-nafiki!
Too much is harmful!Home Sweet, Home
Ishi nao kinafiki!Hapo nimekuelewa, yaani kwa namna watu wanavyoisema ccm wewe uishukuru π
Arudi Dodoma Atulie, Mwakani CCM Fomu Moja Ya RaisToo much is harmful!
umemsahau wa chato?
Arudi Dodoma Atulie, Mwakani CCM Fomu Moja Ya Rais
Hakika, na siku zote unafiki ni salama kwa afya ya mwiliIshi nao kinafiki!
PajeNi zaidi ya Chato. Tunguu.πππππ
Kajifunze kuandika kwanza.Kamfyfue s mnaweza mnakusanyika kawe kwa kufufua waliofariki and then nikuulize samia kwao nanyamba tandahimba au zanzibar
Paje
Hovyo kabisa!Watanganyika, hasa ninyi CCM, tumeacha mmama wa Zanzibari atutawale. Haya sasa, mzenji anatawala linchi la watu 60m akiwa anapunga upepo huko kijijini kwao.