Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona unafanya ubaguzi wa kielimu tena 😁Kajifunze kuandika kwanza.
Mbali ya uraisi ana majukumu mengine kama mke na mama.
Ikiwa zamu yake imefika inabidi uraisi aweke pembeni apeleke haki ya Baba Abdul.
Raisi kwenu, kwa Baba Abdul ni my wife mke wake. Mzee baba akitamani kuku wa kubanika maza inabidi akwee bombardier akachakarike jikoni.
Shule ya Msingi wamshindwe wengine halafu msalaba ni ubebe mimi?!Mkuu mbona unafanya ubaguzi wa kielimu tena 😁
Daah omba radhi mkuuShule ya Msingi wamshindwe wengine halafu msalaba ni ubebe mimi?!
Akapambane na hali yake.
Alhaj Hafidh Ameir, nyongo mkalia ini wa mama.Una uhakika na unachokinena?😂😂😂😂
Baba Abdul gani?
Nenda weweeweeeMuda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar.
Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar.
Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani huyo rahisi?!
Inachosha bwana!
Bora hata ya Hayati aisee.
Rais haruhusiwi kuingia jikoni kupika ni protocolMbali ya uraisi ana majukumu mengine kama mke na mama.
Ikiwa zamu yake imefika inabidi uraisi aweke pembeni apeleke haki ya Baba Abdul.
Raisi kwenu, kwa Baba Abdul ni my wife mke wake. Mzee baba akitamani kuku wa kubanika maza inabidi akwee bombardier akachakarike jikoni.
Unakuwa nae akiwa na mumewe ndani kwao?Rais haruhusiwi kuingia jikoni kupika ni protocol
Sio kuwa naye ni protocol.Unakuwa nae akiwa na mumewe ndani kwao?
Rudi darasani kwanza...Muda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar.
Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar.
Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani huyo rahisi?!
Inachosha bwana!
Bora hata ya Hayati aisee.
Nenda shule ukasome kuandika ndo uje hapa na uzi! Ni Rais, sio Rahisi!Muda mwingi rahisi atafanya hivi na vile akiwa Zanzibar.
Mara, rahisi yupo na Dotto magari Zanzibar.
Aisee, mbona hakauki huko Zanzibar?! Dodoma ambapo ndipo Ofisi yake ilipo anakaa muda gani huyo rahisi?!
Inachosha bwana!
Bora hata ya Hayati aisee.
Protocols are just guidelines, they can be broken.Sio kuwa naye ni protocol.
Raisirahisi
And not all protocols are easily broken.Protocols are just guidelines, they can be broken.