Kwani lazima niende duka utakalonielekeza?hii kujifanya ujuaji ndio mnatandikwa nilimwambia mteja kioo 55000 ila kioo ni 50000 niliongeza 5000 ya kubrashi viatu sasa akajifanya mjuaji twende dukani nikamwambia sAWA kufika dukani muuza duka wanaelewa kabisa fundi akija na mteja kazi ni mmoja kumnyoosha kufika akaambiwa kioo 65000 akalipa na usafifiri akalipa baadae nikarudi kuchukua 15000 yangu
Kwa kauli kama hii ndiyo HUWEZI KUWA, yaani najua bei ya saruji ni 100 wewe uje unipangie eti kisa ufaidike 🖐🏾.Mfano fundi wa kujenga nyumba, unajenga nyumba ya mamilioni, halafu fundi unamlipa malaki huo ni unyonyaji, mafundi wamekuwa wakidharauliwa sana na wateja wao ndio maana wengi wao hawana maendeleo, wanapewa hela ya kula tu, mi kama fundi na shule nimeenda mteja wangu hawezi kuniburuza kwenye bajeti yake ni lazima mimi ndiye nimpangie gharama ya huduma anayotaka kutokana na bei ya vifaa madukani na mimi kama fundi nifaidike nisiishie kumfanyia mteja kazi ya bure
Huu ni upungufu wa nguvu za akiliMfano fundi wa kujenga nyumba, unajenga nyumba ya mamilioni, halafu fundi unamlipa malaki huo ni unyonyaji, mafundi wamekuwa wakidharauliwa sana na wateja wao ndio maana wengi wao hawana maendeleo, wanapewa hela ya kula tu, mi kama fundi na shule nimeenda mteja wangu hawezi kuniburuza kwenye bajeti yake ni lazima mimi ndiye nimpangie gharama ya huduma anayotaka kutokana na bei ya vifaa madukani na mimi kama fundi nifaidike nisiishie kumfanyia mteja kazi ya bure
Fedha yangu unipangie na Elimu yako ya kuungaunga. Kazi yangu hufanyi aisee.Mfano fundi wa kujenga nyumba, unajenga nyumba ya mamilioni, halafu fundi unamlipa malaki huo ni unyonyaji, mafundi wamekuwa wakidharauliwa sana na wateja wao ndio maana wengi wao hawana maendeleo, wanapewa hela ya kula tu, mi kama fundi na shule nimeenda mteja wangu hawezi kuniburuza kwenye bajeti yake ni lazima mimi ndiye nimpangie gharama ya huduma anayotaka kutokana na bei ya vifaa madukani na mimi kama fundi nifaidike nisiishie kumfanyia mteja kazi ya bure
Kwa aki hizi mafundi hamjielewi mnataka kulelewa kama nyumba ndogo sioMfano fundi wa kujenga nyumba, unajenga nyumba ya mamilioni, halafu fundi unamlipa malaki huo ni unyonyaji, mafundi wamekuwa wakidharauliwa sana na wateja wao ndio maana wengi wao hawana maendeleo, wanapewa hela ya kula tu, mi kama fundi na shule nimeenda mteja wangu hawezi kuniburuza kwenye bajeti yake ni lazima mimi ndiye nimpangie gharama ya huduma anayotaka kutokana na bei ya vifaa madukani na mimi kama fundi nifaidike nisiishie kumfanyia mteja kazi ya bure
Kwanza kimsingi wewe sio jukumu lako kuleta vifaa vya dukani..wewe jukumu lako ni kutoa huduma ya ujenzi..kwaio wewe utaorodhesha gharama zako za vifaa mteja ataenda kununua mwenyewe na kukuletea vifaa kwaio mnaanza kibargain kwenye ujenzi sio kununua vifaa..hapo ndo shida inapoanzia kwa mafundi..wanataka vifaa wanunue wao wenyewe...Mfano fundi wa kujenga nyumba, unajenga nyumba ya mamilioni, halafu fundi unamlipa malaki huo ni unyonyaji, mafundi wamekuwa wakidharauliwa sana na wateja wao ndio maana wengi wao hawana maendeleo, wanapewa hela ya kula tu, mi kama fundi na shule nimeenda mteja wangu hawezi kuniburuza kwenye bajeti yake ni lazima mimi ndiye nimpangie gharama ya huduma anayotaka kutokana na bei ya vifaa madukani na mimi kama fundi nifaidike nisiishie kumfanyia mteja kazi ya bure