Huyo unayemwita fundi wako ndiye mtu anayekupiga sana huku ukimchekea

Kwani lazima niende duka utakalonielekeza?
 
Fundi anakupa bei ya ufundi rahisi.
Kumbe umepigwa kwenye materials.

Hawana urafiki na mteja.
 
Kwa kauli kama hii ndiyo HUWEZI KUWA, yaani najua bei ya saruji ni 100 wewe uje unipangie eti kisa ufaidike 🖐🏾.
 
Huu ni upungufu wa nguvu za akili
Yaani ukijenga nyumba moja nawe ujengewe? Mafundi wangekuwa na nyumba nyingi Sana kuliko wenye nyumba.
 
Kupigwa kupiga ndio maisha yenyewe bongo,ukitaka kujifanya mjuaji mbele ya fundi utapigwa uchakae.Kumdhibiti fundi ni ngumu labda kama duka la vifaa ni la kwako japo hapo utapigwa tuvifaa tudogo.Ukitaka kupunguza(nasema kupunguza)upigwaji kuwa nusunusu kama fundi mwenyewe alivyo.Yaani kama umemwachia hivi lakini unamfuatilia ile ndiyo&siyo,kama hueleweki au unaeleweka hivi kwa njia hiyo unamchanganya fundi muda sahihi wa kukupiga.Utapigwa ila kidogo ila ukijifanya kaksi utgundua umeliwa muda umepita sana
 
Fedha yangu unipangie na Elimu yako ya kuungaunga. Kazi yangu hufanyi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa aki hizi mafundi hamjielewi mnataka kulelewa kama nyumba ndogo sio
 
Mafundi wako smart sana hawadhulumiki, ukijifanya mgumu wa kutoa utapigwa vizuri sana
 
Kwanza kimsingi wewe sio jukumu lako kuleta vifaa vya dukani..wewe jukumu lako ni kutoa huduma ya ujenzi..kwaio wewe utaorodhesha gharama zako za vifaa mteja ataenda kununua mwenyewe na kukuletea vifaa kwaio mnaanza kibargain kwenye ujenzi sio kununua vifaa..hapo ndo shida inapoanzia kwa mafundi..wanataka vifaa wanunue wao wenyewe...
 
Daah ulichoongea kimenitach sana, maana mm ni muhanga wa hilo. Nilishakuwa na fund akawa rafiki kilichonikuta sina hamu
 
Kwa wateja wengi uwachukulia mafundi kama watu cheap/wasiojielewa hivyo ni vigumu kwa Fundi anapo quote vitu kama usafiri, labour inayomlipa, nk kuweza kukubalika kwa mteja hivyo fundi uzidisha kiasi cha ela ili kufidia gharama za ziada au dharura yeyote itakayojitokeza katika kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…