Huyu AHMED ALLY wa Simba Kweli 'KIRAKA'

Huyu AHMED ALLY wa Simba Kweli 'KIRAKA'

Ona na ww ulivyo mbumbumbu, Talent ya Manara ni kuongea na ndio maana anaajiriwa kama Msemaji na sio Afisa Habari ila Ethics za Media officer anazijua ni vile hajafanya kazi kwenye TV and Radio

Hata Ahmed Ally anajua ukitaka umaarufu wa haraka ni lazima Umzungumzie Haji S Manara na ndio maana amejiariwa hata wiki haijaisha katupa vichambo vyake kwa Manara kama mara 100 hv, na Manara hata hajamjibu chochote coz anajua mtt mdg anataka mbeleko ya umaarufu
Naomba nipe tofauti mbili za msingi anachofanya Manara na anachofanya mzee Mlipili
 
Hua najiuliza hivi ile mishabiki ya simba inayo ingiaga na midoli ya kitoto ya 'NDEGE' uwanjani pale taifa na viwanja vingine alafu eti wanakua wanaonyesha jinsi ndege inapaa angani, hawa watu hua hamnazo? ndio kushangilia gani huko? au ndio msukuleization inafanya kazi? Wakati watu wanashangilia wanaimba nyimbo za timu yao mawatu mengine yamebebelea midoli ya ndege za kuchezea watoto
Kama siyo Simba kuwabeba mgeenda kimataifa au unakata mauno tu na kujifanya huelewi
 
Naomba nipe tofauti mbili za msingi anachofanya Manara na anachofanya mzee Mlipili
Kwahyo huyo Ahmed Ally anavyopiga vijembe kwa Manara na bila hata kujibiwa, ana tofauti gani na Mwijaku
 
Kwahyo huyo Ahmed Ally anavyopiga vijembe kwa Manara na bila hata kujibiwa, ana tofauti gani na Mwijaku
manara hana cha kujibu pale maana ni ukweli ni mhamasishaji na siyo msemaji
 
leo wako pamoja [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Atajutia majungu yake
Huyu kashafeli kabla ya kuanza, angejibu maswali kwa weledi na siyo kuanza vijembe, namna alivyojibu maswali ni kama Mwijaku tu. Asubiri kujibiwa tena majibu mabovu.
 
Back
Top Bottom