Huyu akiondoka hata hiyo Big 4 mutaisikia Redioni tu!

Huyu akiondoka hata hiyo Big 4 mutaisikia Redioni tu!

Mh! We unataka wachungulie kushuka Daraja?
Mfaano Zidane so kwamba ni bonge la koooocha, ila wachezaji wanahamasika kwa sababu yeye ni icon ya mpira, yaani kumuona tu kwenye bechi na kuongea nae tayari mshashinda,.
Barcelona pia huwa wanachukua malegend wao tu ndo maaana timu kama izo hazipotezi falsafa ya mchezo wao, ukiacha sababu nyingine za kuwa na uchumi mzuri

Sent from my HUAWEI Y600-U40 using JamiiForums mobile app
 
Gunners watamkumbuka sana
Watakuwa wanaiona Champions league kwenye DSTV
 
Ndo maana wanakaa muda mfupi ka akili zako zilivyofupi
Mfaano Zidane so kwamba ni bonge la koooocha, ila wachezaji wanahamasika kwa sababu yeye ni icon ya mpira, yaani kumuona tu kwenye bechi na kuongea nae tayari mshashinda,.
Barcelona pia huwa wanachukua malegend wao tu ndo maaana timu kama izo hazipotezi falsafa ya mchezo wao, ukiacha sababu nyingine za kuwa na uchumi mzuri

Sent from my HUAWEI Y600-U40 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom