KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Isipokuwa kwa kazi maalum au kwa sababu maalum inayofahamika !Nyie watoto mliomaliza kunywa maziwa ya mama majuzi tu, hamjui kuwa kupaki magari saa 12, ni kanuni ya matumizi wa hayo magari toka enzi ya mkoloni.
Serikali ina masaa ya kazi Acha hizo .Muda wa kazi ukiisha nenda kwenu au kalale na gari kapakiHivi kama jiji la dar ,mpaka gari limpeleke boss tegeta jioni na dereva kuja kulipaki Gongo la mboto anapoishi si saa tano usiku, na bado aamke saa kumi usiku.tuache uroboti wa sheria za zamani wakati Mama kafungua nchi masaa 24, hizo ni sheria enzi za nyerere.
Au boss asitoe huduma baada ya kazi akiwaza gari lake linatakiwa likapaki.😂😂huku tunasema wananchi wahudumiwe usiku na mchana huku gari zote za serikali zipaki saa 12 jioni. Futuhi.kila wizara na idara ina ma transport officers wawajibike kufuatiia matumizi ya magari ya umma yatumike kwa shughuli kusudiwa, kama kuna dereva mtovu awajibishwe siyo kutoa tamko la jumla
Tuambie nani huyo na kasema hayo wapiLeo imetolewa hoja kwamba magari ya serikali yapaki saa kumi na mbili. Unajiuliza hawa watu wanapotoa haya matamko wanashindwaga nini kufanya tathimini?
Nchi hii inawaza kuendesha shughuli zake masaa ishirini na nne; Mama anawaza kuona soko la Kariakoo linafanya kazi masaa ishirini na nne kuendana na ratiba ya vyombo vya usafiri.
Tunaelewa kwamba kadri muda wakutoa huduma unavyoongezeka ndivyo serikali inapanua muda wa usimamizi. Leo walevi kipaki magari bar imekuwa ni agenda inayopelekea mteule wa Rais kusema magari yapaki saa kumi na mbili?
Huyu Mbunge aliyetoa hoja alishindwa kupiga picha gari husika akamtumia waziri Dreva au bosi akawajibishwa tukasonga mbele?
Mimi naamini kila gari linasimamiwa na Kiongoz aliyepewa dhamana na serikali. Likitumika vibaya kiongozi anapaswa kushughulikiwa lakini siyo waovu wachache warudishe juhudi za serikali kutoa huduma saa ishirini na nne.
Mnapotoa matamko na makatazo someni sera ya nchi kwanza. Mimi ningesema tumelipokea na tutalifanyia kazi then you go back to the office and communicate.
Ulaya nidhamu imejengwa kwenye uwajibishaji wa watovu wa nidhamu. Tuangaike na tatizo na siyo kufanya vitu jumla.
Mwisho, najiuliza hao watakaotembea usiku na gari za serikali watakamatwa na polisi na kuzuiwa?
Kwahyo wakuache utumie hadi usiku ili uendelee kubebea mikaa na abiriaLeo imetolewa hoja kwamba magari ya serikali yapaki saa kumi na mbili. Unajiuliza hawa watu wanapotoa haya matamko wanashindwaga nini kufanya tathimini?
Nchi hii inawaza kuendesha shughuli zake masaa ishirini na nne; Mama anawaza kuona soko la Kariakoo linafanya kazi masaa ishirini na nne kuendana na ratiba ya vyombo vya usafiri.
Tunaelewa kwamba kadri muda wakutoa huduma unavyoongezeka ndivyo serikali inapanua muda wa usimamizi. Leo walevi kipaki magari bar imekuwa ni agenda inayopelekea mteule wa Rais kusema magari yapaki saa kumi na mbili?
Huyu Mbunge aliyetoa hoja alishindwa kupiga picha gari husika akamtumia waziri Dreva au bosi akawajibishwa tukasonga mbele?
Mimi naamini kila gari linasimamiwa na Kiongoz aliyepewa dhamana na serikali. Likitumika vibaya kiongozi anapaswa kushughulikiwa lakini siyo waovu wachache warudishe juhudi za serikali kutoa huduma saa ishirini na nne.
Mnapotoa matamko na makatazo someni sera ya nchi kwanza. Mimi ningesema tumelipokea na tutalifanyia kazi then you go back to the office and communicate.
Ulaya nidhamu imejengwa kwenye uwajibishaji wa watovu wa nidhamu. Tuangaike na tatizo na siyo kufanya vitu jumla.
Mwisho, najiuliza hao watakaotembea usiku na gari za serikali watakamatwa na polisi na kuzuiwa?
Usipanic, hii nchi ni matamko tu hakuna utekelezajiMimi naamini kila gari linasimamiwa na Kiongoz aliyepewa dhamana na serikali. Likitumika vibaya kiongozi anapaswa kushughulikiwa lakini siyo waovu wachache warudishe juhudi za serikali kutoa huduma saa ishirini na nne.
Yes, utahojiwa unaenda wapi saa hii na gari la serikali kama kuna kazi maalum itajulikana tu, tena ilitakiwa hiyo kazi ya kukamata hayo magari baada ya saa za kazi wapewe polisi wa doria, askari anapoona gari la serikali mahali ambapo sio sahihi awe na uhalali wa kuhoji, dereva akishindwa kutoa maelezo gari linaperekwa kituoni.Mwisho, najiuliza hao watakaotembea usiku na gari za serikali watakamatwa na polisi na kuzuiwa?
Kwani gari ya serikali unaloliongelea ni ipi? Make naona unaondoa gari ya polisi kwenye list ya magari ya serikali. Inaonekana mtoa mada hajaeleweka vizuri.Yes, utahojiwa unaenda wapi saa hii na gari la serikali kama kuna kazi maalum itajulikana tu, tena ilitakiwa hiyo kazi ya kukamata hayo magari baada ya saa za kazi wapewe polisi wa doria, askari anapoona gari la serikali mahali ambapo sio sahihi awe na uhalali wa kuhoji, dereva akishindwa kutoa maelezo gari linaperekwa kituoni.
Kenya wana sheria kari sana za Magari ya Serikali na nahisi yote yana GPS hivyo yanafuatiliwa, Tanzania gari la Serikali ni mali ya DerevaKuna mdau alishauri magari yote ya Serikali yawekwe alama kuonyesha taasisi husika. Nakubaliana na wazo la mdau maana kuna baadhi ya taasisi za Serikali inaonyesha zina usimamizi mbovu sana wa magari yake. Unakuta gari imepaki bar usiku dereva na wapambe wake wanapiga vilevi tu.
Ndio inavyotakiwaKenya wana sheria kari sana za Magari ya Serikali na nahisi yote yana GPS hivyo yanafuatiliwa, Tanzania gari la Serikali ni mali ya Dereva
Hapo wameipu tatizo la wizi wa mafuta kwa sababu dereva hatakubali kuliacha gari lina dizeli wakati wanapewa na serikalLeo imetolewa hoja kwamba magari ya serikali yapaki saa kumi na mbili. Unajiuliza hawa watu wanapotoa haya matamko wanashindwaga nini kufanya tathimini?
Nchi hii inawaza kuendesha shughuli zake masaa ishirini na nne; Mama anawaza kuona soko la Kariakoo linafanya kazi masaa ishirini na nne kuendana na ratiba ya vyombo vya usafiri.
Tunaelewa kwamba kadri muda wakutoa huduma unavyoongezeka ndivyo serikali inapanua muda wa usimamizi. Leo walevi kipaki magari bar imekuwa ni agenda inayopelekea mteule wa Rais kusema magari yapaki saa kumi na mbili?
Huyu Mbunge aliyetoa hoja alishindwa kupiga picha gari husika akamtumia waziri Dreva au bosi akawajibishwa tukasonga mbele?
Mimi naamini kila gari linasimamiwa na Kiongoz aliyepewa dhamana na serikali. Likitumika vibaya kiongozi anapaswa kushughulikiwa lakini siyo waovu wachache warudishe juhudi za serikali kutoa huduma saa ishirini na nne.
Mnapotoa matamko na makatazo someni sera ya nchi kwanza. Mimi ningesema tumelipokea na tutalifanyia kazi then you go back to the office and communicate.
Ulaya nidhamu imejengwa kwenye uwajibishaji wa watovu wa nidhamu. Tuangaike na tatizo na siyo kufanya vitu jumla.
Mwisho, najiuliza hao watakaotembea usiku na gari za serikali watakamatwa na polisi na kuzuiwa?