Ni Wajih Sheikh,..., namumiss sana. Allikuwa ni favourite wangu mkubwa sana. Ilikuwa waki-team up na Othman Miraji, utapenda kuwasikiliza bila kikomo. I really miss him!
Naelewa kaka anga zako wewe ni kwenye udaku, huko ndiyo huwa huchelewi kutoa majibu muafaka,... news za muhimhu na wewe wapi na wapi!
Hawa wazee wamesha staafu..... nawakumbuka sana maana wakianza kutangaza taarifa ya habari lazima usikilize iishe yote.... walikuwa na mvuto sana na weledi wa hhali ya juu katika tasnia ya habari. Sijui kama tutapata watangazaji kama hawa ambao walikuwa wakiipenda sana kazi yao.
Wengi wamestaafu kama vile Ben Wazir, Abdul Wajih Sheh, Othmani Miraji, Ramadhan Ally....... aliye baki ambaye namfahamu ni yule mama aitwaye
Ni kama vile walivyokuwa akina David Wakati, Abdul Ngalawa, Jacob Tesha na wengine wengi wa R. T. D. ya enzi za mwalimu.
Wapi Othman Miraji!
nilikuwa napenda akiwahoji watu kwa discussion
......... Ramadhan Ally....... ....
Nawakumbuka sana toka wako Berlin.
.... Oumilkheir Hamidou; ....Mohamed Abdulrahman .....
Wapi Othman Miraji!
nilikuwa napenda akiwahoji watu kwa discussion
Ni Wajih Sheikh,..., namumiss sana. Allikuwa ni favourite wangu mkubwa sana. Ilikuwa waki-team up na Othman Miraji, utapenda kuwasikiliza bila kikomo. I really miss him!
Nadhani anaitwa Oumilkheir Hamidou, Acha kabisa. Yaani nilikua nachelewa sana vipindi vya mchana shule ya msingi kwa kusikiliza DW. Ramadhani Ally akikuchambulia michezo, Othman Miraji akikupa darubini haubanduki redioni mkuu.
It's so sad, mkuu Wajih Sheikh alishatangulia mbele ya haki, nadhani kwenye 2008 kama sikosei. Umenikumbusha mbali sana ubarikiwe.
Kutoka Bonn, hiki ni kikosi cha Idhaa yako ya Kiswahili kinachokuletea moja kwa moja taarifa za habari, ripoti, uchambuzi na makala motomoto zilitafitiwa vyema, zilizopimwa na zisizoegemea upande wowote. Kutoka kushoto: Samia Othman, Nina Markgraf, Amina Abubakar, Pendo Ndovie, Sudi Mnette, Andrea Schmidt, Salma Said, Caro Tsuma, Othman Miraji, Abdu Mtullya, Oumilkheir Hamidou; Sekione Kitojo, Mohamed Abdulrahman na Daniel Gakuba.
Ni Wajih Sheikh,..., namumiss sana. Allikuwa ni favourite wangu mkubwa sana. Ilikuwa waki-team up na Othman Miraji, utapenda kuwasikiliza bila kikomo. I really miss him!
Nimefurahia sana mkulu..... kama unaweza tupe kikosi cha akina
Manase Lukungu
Abdul Wajih Sheikh
Ben Wazir
Othman Miraji
Umilkheir Hamidou
Shaban Muhamad Shangama
Erasto Mmbwana
Mohamed Dahaman
Mohamed Abddulhaman
Martin Mule
Kalenga Ramadhani (ambaye baadaye alikuja kuwa waziri wa habari wa Burundi)
Richard Madete.