Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hivi sasa anachezea timu ya Simba.Wakuu habari za asbh,!!ningependa jua huyu aliyeko katikati ya nyerere na uyo mzee mwingine ni nani huyu??kwa sasa yuko wapi??ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099
Wazee wa frontline states katika picha ya pamojaWakuu habari za asbh,!!ningependa jua huyu aliyeko katikati ya nyerere na uyo mzee mwingine ni nani huyu??kwa sasa yuko wapi??ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099
Oliva Tambo rafiki mkubwa wa Mandela....Pia kama sijakosea nyuma ya Nyerere ni Tambo.
Cdm walikuwepo enzi hizo!!!?Hawa wazee wamevaa magwanda ya Chadema hawaa.kuuumbeeee!!
Ndiyo mkuu.... 1993...mandela aliachiwa 1990.Oliva Tambo rafiki mkubwa wa Mandela....
alipigana sana Mandela aachiwe kutoka kifungoni...
akafariki siku chache baada ya Mandela kuwa huru....if I can remember correctly
Wazee wetu hawaa bwanaa dahHuyo wa pembeni ni mzee Kenneth Kaunda... naona amebaki yeye tu
Nchi ngumu hii,ha ha haKwa hivi sasa anachezea timu ya Simba.
Then Mandela betrayed Chriss Han the truest patriotOliva Tambo rafiki mkubwa wa Mandela....
alipigana sana Mandela aachiwe kutoka kifungoni...
akafariki siku chache baada ya Mandela kuwa huru....if I can remember correctly