Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Daah...hii siku mandela anaachiwa gerezani naikumbuka sana ilitangazwa sana na rtd kipindi kile.Ndiyo mkuu.... 1993...mandela aliachiwa 1990.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah...hii siku mandela anaachiwa gerezani naikumbuka sana ilitangazwa sana na rtd kipindi kile.Ndiyo mkuu.... 1993...mandela aliachiwa 1990.
Wacha uongo.Morrison wa simba sc
Wengine tumeanzia kwa Lissu pale dodomaDaah...hii siku mandela anaachiwa gerezani naikumbuka sana ilitangazwa sana na rtd kipindi kile.
Hiyo picha nadhani ilipigwa kabla ya mwaka1985 wakati Nyerere akiwa ni mwenyekiti wa kamati ya kuikomboa sehemu yote ya kusini mwa afrika dhidi ya ukuloni wa wazungu (mabeberu ambao leo tuna viongozi wanaomba kura zetu ili wawarudishe). Kulia ni Nyerere aliyekuwa rais wa Tanzania wakati huo, katitati ni Machel aliyekuwa rais wa Msumbiji wakati huo na kushoto ni Kaunda aliyekuwa rais wa Zambia wakati huo. Nyuma ya Nyerere kuna mtu ambaye ninadhani ni komandoo Salmin ambaye sijui wakati huo alikuwa na madaraka gani kwenye jopo la ulinzi wa NyerereWakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099
Yaani inashangaa mwafrika aliezaliwa 2000 kutowajua hao?Msinichukulie vibaya, ila nimeshangaa sana kuona kuna mwafrika hawajui hawa!!!
Wanaotaka kuwarudisha Mabeberu ndio waliowahi kumtukana Nyerere sana piaHiyo picha nadhani ilipigwa kabla ya mwaka1985 wakati Nyerere akiwa ni mwenyekiti wa kamati ya kuikomboa sehemu yote ya kusini mwa afrika dhidi ya ukuloni wa wazungu (mabeberu ambao leo tuna viongozi wanaomba kura zetu ili wawarudishe). Kulia ni Nyerere aliyekuwa rais wa Tanzania wakati huo, katitati ni Machel aliyekuwa rais wa Msumbiji wakati huo na kushoto ni Kaunda aliyekuwa rais wa Zambia wakati huo. Nyuma ya Nyerere kuna mtu ambaye ninadhani ni komandoo Salmin ambaye sijui wakati huo alikuwa na madaraka gani kwenye jopo la ulinzi wa Nyerere
Kabla ya Samora alikuwepo Eduardo Mondlane.Wa katikati ni baba wa Taifa wa Msumbiji
Hahahaha jf kiboko.Kwa hivi sasa anachezea timu ya Simba.
Nani alimuua Mondlane mkuu?Kabla ya Samora alikuwepo Eduardo Mondlane.
Alikuwa assassinated Oysterbay hapa hapa Dar.
View attachment 1590884
Mondlane huyo mrefu kuliko wote waliosimama.
Trivia
Katika hao waliosimama Mondlane aliuawa na waliobaki wote walikuja kuwa marais wa Msumbiji
Nani alimuua Mondlane mkuu?
Duh!Inasemekana ni Wareno, ilikuwa ni katikati ya vita ya uhuru, yeye alikuwa based hapa Dar.
Alitumiwa kifurushi cha zawadi ya Christmas, kufungua kumbe ni bomu.
ndo amewajua nowMsinichukulie vibaya, ila nimeshangaa sana kuona kuna mwafrika hawajui hawa!!!
ilikuaje akauawaKabla ya Samora alikuwepo Eduardo Mondlane.
Alikuwa assassinated Oysterbay hapa hapa Dar.
View attachment 1590884
Mondlane huyo mrefu kuliko wote waliosimama.
Trivia
Katika hao waliosimama Mondlane aliuawa na waliobaki wote walikuja kuwa marais wa Msumbiji
mume wake Graca huyo!Wakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099
Kutoka kushoto ni Mzee Kaunda (Zambia), Camarada Samola Machel (Msumbiji), na mwenyeji wao (JKN) wa TanzaniaWakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099
Vita vya kugombea uhuru wa Msumbiji, yeye ndio alikuwa kiongozi wa mapambano kutokea hapa Dar.ilikuaje akauawa
Kangi rugolaWakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
View attachment 1582099