Huyu Andy Bikoko aliyewafukuzisha Gamond na Uchebe ni nani huko Tabora United !

Huyu Andy Bikoko aliyewafukuzisha Gamond na Uchebe ni nani huko Tabora United !

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Wanasema huyo Andy Bikoko ndiyo sababu kuu ya kuwafukuzisha wazungu wawili yanga na singida black stars klabu mbili ndugu wa damu.

Eti ni jamaa moja katili sana liliwatia mfukoni Pacome, Azizi Ki, Chama, Maxi na Mzize jana tena Elvis Rupia, Ayubu Lyanga na wenzake wamekutana na jitu baya Andy Bikoko nasikia lina matakoling ya hali ya juu kushinda huyo Bacca.

Hivi ni nani huyo mtu?

Wanamichezo naombeni kufahamishwa kuuliza si ujinga kila la kheri Yanga wanawakilisha taifa!
 
Uchebe kafukuzwa? Timu za bongo wakati mwingine ni kama hawana mipango wao wanachotaka kocha ashinde kila mechi kitu ambacho hakiwezekani
 
Uchebe kafukuzwa? Timu za bongo wakati mwingine ni kama hawana mipango wao wanachotaka kocha ashinde kila mechi kitu ambacho hakiwezekani
yaani ajabu kweli eti wao ndio washinde kila mechi kana kwamba wenzao hawataki matokeo ya ushindi wanayotamani wao sasa ni maana ya mashindano hadi muone aibu nyinyi kufungwa hali wanajua wenzao nao wamekuja kupambana na sio kuwasindikiza wao kwenye mafanikio..! na leo yanga anapigwa 3-1 ndio waone ushindi si kwa ajili yao pekee
 
Back
Top Bottom