Huyu Andy Bikoko aliyewafukuzisha Gamond na Uchebe ni nani huko Tabora United !

Huyu Andy Bikoko aliyewafukuzisha Gamond na Uchebe ni nani huko Tabora United !

Attachments

  • Screenshot_20241126_083224_Chrome.jpg
    Screenshot_20241126_083224_Chrome.jpg
    219.1 KB · Views: 2
Ausem ni kocha sana yule jamaa ila kwa vile hatujali professionalism ndio maana
Team ime draw mechi imechezwa kwenye jaruba la mpunga lililokauka na bado unalaumu kocha !?
 
Uchebe amefukuzwa kwa Singida Black Stars kukataa kucheza kinazi dhidi ya Yanga Zanzibar. Kitu kilichosababisha Gamondi ampige kocha msaidizi wa Singida Black Stars. Gamondi aliahidiwa kuwa mechi imeshqpangwa Ausemms akakataa mpango uliopangwa.
Ndio maana mechi ikachezwa Zanzibar kurahisisha mpango.Dakika za mwisho Uchebe akachomoa betri kilichosababisha mechi kuwa ngumu.
Mwenye timu akachukia.
 
Uchebe amefukuzwa kwa Singida Black Stars kukataa kucheza kinazi dhidi ya Yanga Zanzibar. Kitu kilichosababisha Gamondi ampige kocha msaidizi wa Singida Black Stars. Gamondi aliahidiwa kuwa mechi imeshqpangwa Ausemms akakataa mpango uliopangwa.
Ndio maana mechi ikachezwa Zanzibar kurahisisha mpango.Dakika za mwisho Uchebe akachomoa betri kilichosababisha mechi kuwa ngumu.
Mwenye timu akachukia.
Hizi ni za ndaani sana mkuu hebu ongeza kidogo kuna mengi umeyaficha ya aibu zaidi hebu tueleze tusio yajua!
 
Ausem ni kocha sana yule jamaa ila kwa vile hatujali professionalism ndio maana
Team ime draw mechi imechezwa kwenye jaruba la mpunga lililokauka na bado unalaumu kocha !?
Wanatumia gharama kubwa kusajili wanataka kupata ushindi njia za mkato!
 
Wanatumia gharama kubwa kusajili wanataka kupata ushindi njia za mkato!
Watu wa ajabu sana
Mechi yenyewe imechezwa saa nne na pale tabora huwa Kuna figisu za hovyo hovyo sana uwanja ulikuwa unateleza hadi we muangaliaji unateleza bado wanalaumu kupata sare
Yani ukimsikiliza masanza hadi unapata hasira
 
Watu wa ajabu sana
Mechi yenyewe imechezwa saa nne na pale tabora huwa Kuna figisu za hovyo hovyo sana uwanja ulikuwa unateleza hadi we muangaliaji unateleza bado wanalaumu kupata sare
Yani ukimsikiliza masanza hadi unapata hasira
Hatari sana!
 
Back
Top Bottom